I noted that as well. Mara nyingi hizi regulations haziwi published. Unakumbuka ile sheria aliyo-cite Magufuli inayompa mamlaka ya kupandish nauli feri? Wengi tulikuwa hatujawahi kuisikia. Ni mpaka itokee issue ndio zinaenda kutafutwa kwenye makabati. Lakini kama ulivyosema, hiyo sheria inaipa NECTA extensive and discretionary powers.
Ni kweli mkuu regulations nyingi sana huwa haziwi published ila kukiw ana issue utaziona
Ila its time now sheria na kanuni nyingi kuwa published na kwa hili nilidhani TLS wana jukumu kubwa sana kuhakikisha kuwa sheria na kanuni zote zinakuwa kwenye mtandao na uwepo wa access ya sheria na kanuni kwa kila mwenye uwezo wa kufanya hivyo
Ila sijui TLS wanafanya kazi gani maana kazi zao ni hizo na pia kutetea sheria na kanuni nyingi kuwa kwenye lugha ambayo inaeleweka kwa watu wote kuliko kubakia kuwa chama ambacho kinakutana kutoa matamko tuu yasiyo na nguvu au utekelezaji