Privacy Law: Mwanaasha J. Kikwete kuwashitaki NECTA?

Privacy Law: Mwanaasha J. Kikwete kuwashitaki NECTA?

Matokeo yanatakiwa yawe wazi kwa kila mtu kwa ndugu jamaa na marafiki.
Unajua kuna utaratibu wa shule kutuma matokeo kwa wazazi kwa njia ya Posta haya matokeo kwa lengo la hilo Privacy unayo itetea sisi kama wazazi huwa hayatufikii watoto wanacho kifanya nikutoa anwani za uongo wanazo zijua wao. Yakibandikwa shuleni au kuweka kwenye wavuti inasaidia kila mzazi mlezi jirani kujua uwezo wa mtoto

Ndugu na jamaa wanahusika vipi na matokeo ya mwanafunzi...............???

Mbona wengine wanakosa karo wakati wana ndugu na jamaa kibao wenye uwezo??

Je uzembe wa wahusika kutuma matokeo au wazazi kufuatilia matokeo unahalalisha makosa ya kumwaga matokeo ya watu hadharani??

Babu DC!!
 
Mkuu Matola, kwani kuwa wakili lazima usimame mahakamani?. Dr. Hawa Sinare ni miongoni mwa mawakili mahiri kabisa, top paid wa level ya Nimrod Mkono, jee umewahi kumuona mahakamani?.

Kwenye uwakili, kuna mawakili wanaokwenda mahakamani na kuna mawakili ambao hufanya due diligenzi na kutoa tuu ushauri wa kisheria kama "legal opinions" na ndio wanaovuta pesa ndefu!. Na katika sheria, sheria ngumu kuspecialize ni "criminology" na wanasheria wanaotetea kesi za jinai, ndio the least paid lawyers!. Speciality ya Investment Law ndio mteremko mkubwa, ila kwenye soko ndio the highest paid lawyers!, na sio lazima kukanyaga mahakamani!.
Hivi ushamaliza ile kitu yako?
kwahiyo na wewe unavyopenda shilingi lazima uta-specialize kwenye investment law........si ndio mkuu!!!!
 
Usiri ndio ulioifikisha nchi hii hapa tulipo............
wenzenu wanakwenda mbele, nyie mnataka kurudi nyuma.

Hata HIV test results watu wanashawishiwa kuweka hadharani.............ndie matokeo tu ya vinaja wenu mnataka yawe siri.

Haki za binadamu!!!.???? my Abdala kichwa wazi!!!!
 
  • Thanks
Reactions: RR
NAONA TUMESAHAU KUMPONGEZA JK KWA KUSOMESHA MWANAE BONGO
ameonyesha uzalendo wa kuthamini elimu ya nyumbani kwani tunasema kila siku
watoto wa vigogo wanasoma nje kumbe sivo wajamini,,binti kafeli ni bahati mbaya
mbona hata vyuo kuna sup na disco bwana yategemea tu aliamkaje wkt wa exams
au kalikuwa na stress...licha ya kufeli nampongeza JK kwa kutotumia rasilimali
zetu kwa maufaa ya mwanae kusomea nje.
msinishambulie ni mtizamo wangu.HII ITAMPA CHANGAMOTO YA KUINUA MISHAHARA YA WALIMU
NA KUBORESHA ELIMU YA NYUMBANI.
 
NAONA TUMESAHAU KUMPONGEZA JK KWA KUSOMESHA MWANAE BONGO
ameonyesha uzalendo wa kuthamini elimu ya nyumbani kwani tunasema kila siku
watoto wa vigogo wanasoma nje kumbe sivo wajamini,,binti kafeli ni bahati mbaya
mbona hata vyuo kuna sup na disco bwana yategemea tu aliamkaje wkt wa exams
au kalikuwa na stress...licha ya kufeli nampongeza JK kwa kutotumia rasilimali
zetu kwa maufaa ya mwanae kusomea nje.
msinishambulie ni mtizamo wangu.HII ITAMPA CHANGAMOTO YA KUINUA MISHAHARA YA WALIMU
NA KUBORESHA ELIMU YA NYUMBANI.

Ningempongeza kwa mikono miwili kama huyu mwanae angekuwa anasoma kwenye Secondary za kata, lakini pale alipokuwa anasoma huyu binti school fees yake ni zaidi ya school fees ya shule nyingi tu za ulaya na Marekani. kwahiyo hoja yako ni dhaifu kabisa au tunaweza kusema huna hoja bali wewe una mawazo mgando na mufilisi
 
NAONA TUMESAHAU KUMPONGEZA JK KWA KUSOMESHA MWANAE BONGO
ameonyesha uzalendo wa kuthamini elimu ya nyumbani kwani tunasema kila siku
watoto wa vigogo wanasoma nje kumbe sivo wajamini,,binti kafeli ni bahati mbaya
mbona hata vyuo kuna sup na disco bwana yategemea tu aliamkaje wkt wa exams
au kalikuwa na stress...licha ya kufeli nampongeza JK kwa kutotumia rasilimali
zetu kwa maufaa ya mwanae kusomea nje.
msinishambulie ni mtizamo wangu.HII ITAMPA CHANGAMOTO YA KUINUA MISHAHARA YA WALIMU
NA KUBORESHA ELIMU YA NYUMBANI
.

Hapo kwenye bold Jakaya atapafanyia kazi maana chukulia huyu mtoto angesoma st kayumba ingekuwaje?
 
Hujanishawishi bado, mtoto wa Rais ana stress gani za maisha!!??

Kwako stress za maisha ni zipi kwani?

Na je, kuwa hounded kila sehemu uendako, kuwa kwenye microscope kila wakati, ukiumwa mafua kila mtu anajua, n.k., hudhani hayo yote sio ma stress?

Au stress kwako ina maana gani?
 
Well,

i have learn two things...
  • Ni vema kutunza privacy za watu na hasa watoto kwani some exposure may lead to complete destroy of their life 😛oa
  • Huwa tunaamka tu pale ambapo mtoto wa "mkubwa" anapoguswa - we dont give a sh!t about oother hadi iwe ya mtoto wa fulani, some people have ridiculed Pasco humu na degree yake, some people waliongelea akina fulani kupata degree za chupi nk, but all that triggered nothing hadi alipokuja Mwanaasha:A S 112::A S 112:
Hypocrisy is our way of life.... I hope NECTA watabadili mfumo na kuturudishia wa namba tu, kama ule wa vyuoni (unless wamebadili siku hizi)
 
Kwako stress za maisha ni zipi kwani?

Na je, kuwa hounded kila sehemu uendako, kuwa kwenye microscope kila wakati, ukiumwa mafua kila mtu anajua, n.k., hudhani hayo yote sio ma stress?

Au stress kwako ina maana gani?

Wewe unatress sana! Hebu tuondolee hizo stree zako vinginevyo tutakuandikia Antistress wengine hapa ni watabibu
 
naam Kupenge uko sawa
topic yako nimeipenda sana changamoto kubwa ni kuwa kwa
tanzania bado tunasuasua kuwa na sheria maalumu ya data protection law,
tatizo wapo wachache sana waliosoma ICT law wanaweza kufundisha.
Mzumbe wanayo lkn bado walimu na sheria zenyewe zina mashaka hata vitabu wanaotumia ni vya UK kama electronic communication law.e-commerce law. data protection law,cybercrime law nk.
Open nao wanayo lkn hata walimu hawana wanafundishwa kidogo sana
tena wiki 2 kwa kozi ya kufundishwa miezi kumi na nane.
watanzania nao na hata wabunge sijawasikia wakizungumzia kuhusu hili
bado tuna safari ndefu sana.nadhani kuna phd holder yuko stokholm anaweka materia ktk mtandao wa tanzania legal news kuhusu ICT. changamoto ni kubwa sana sio huyo binti wa Jk pekee hata magazeti yanaweka picha za watu bila idhini. hapa Jf tunabandika picha za watu,au tunacopy emails zao au facebook page tunaweka bila ruhusa yao nk.
nadhani sasa hapa ni changamoto kwa JK AHAKIKISHE KABLA HAJATOKA MADARAKANI TUNAKUWA NA DATA PROTECTION LAW au PRIVACY ACT au PERSONAL DATA ACT. guidliness zipo katika ICCPR, ECHR,UN guidliness on computerized personal data files ya mwaka 1990. sioni kwa nn tunashindwa kuwa na hiyo sheria na pia lazima wananchi washiriki kuiandaa.South afrika wanayo na wlaitumia miaka mingi kuiandaa na wananchi kushirikishwa.
Hapo kwenye bold Jakaya atapafanyia kazi maana chukulia huyu mtoto angesoma st kayumba ingekuwaje?
 
naam Kupenge uko sawa
topic yako nimeipenda sana changamoto kubwa ni kuwa kwa
tanzania bado tunasuasua kuwa na sheria maalumu ya data protection law,
tatizo wapo wachache sana waliosoma ICT law wanaweza kufundisha.
Mzumbe wanayo lkn bado walimu na sheria zenyewe zina mashaka hata vitabu wanaotumia ni vya UK kama electronic communication law.e-commerce law. data protection law,cybercrime law nk.
Open nao wanayo lkn hata walimu hawana wanafundishwa kidogo sana
tena wiki 2 kwa kozi ya kufundishwa miezi kumi na nane.
watanzania nao na hata wabunge sijawasikia wakizungumzia kuhusu hili
bado tuna safari ndefu sana.nadhani kuna phd holder yuko stokholm anaweka materia ktk mtandao wa tanzania legal news kuhusu ICT. changamoto ni kubwa sana sio huyo binti wa Jk pekee hata magazeti yanaweka picha za watu bila idhini. hapa Jf tunabandika picha za watu,au tunacopy emails zao au facebook page tunaweka bila ruhusa yao nk.
nadhani sasa hapa ni changamoto kwa JK AHAKIKISHE KABLA HAJATOKA MADARAKANI TUNAKUWA NA DATA PROTECTION LAW au PRIVACY ACT au PERSONAL DATA ACT. guidliness zipo katika ICCPR, ECHR,UN guidliness on computerized personal data files ya mwaka 1990. sioni kwa nn tunashindwa kuwa na hiyo sheria na pia lazima wananchi washiriki kuiandaa.South afrika wanayo na wlaitumia miaka mingi kuiandaa na wananchi kushirikishwa.

Dr Mbamba pale udsm is good at ICT amesadia watu wengi pale UDSM

I think now it is time for URT kuimplement on Privacy act

Privacy act imetungwa na bunge lakini imewekwa kwenye makabati mende wanakula
 
kwa kuweka matokeo hadharani itatusaidia kwa baadae pale watu wanapoomba nafasi zakuwa viongozi wanchi yetu tuwajue historia zao huenda ndio maana nchi yetu inayo matatizo kibao maana tunaongozwa na raia wenzetu ambao mwanzo wao haujulikani.HONGERA NECTA japokuwa matokea mabaya ya mtihani sio kukosa kili kitu hata hivyo bint alichopata ndio waliCHopata wanafunzi wengi wanaosemekana WAPEPASI
 
To hell with your stupid laws!!! Kwakuwa kafeli ndio unatuletealetea visheria vyako...stupid!! angekuwa amefaulu je? GIGO!!! unategemea kenge azae mamba????
 
Great thinkers, msiwe watu wa majungu na mnaofikiria kwa kutumia masaburi. Mnamnyanyapaa mtoto wa watu kwa sababu gani? mie nilipata div 4 point 26 lakini I am now having a good job na watoto wanapishana chooni. I congratulate Mwanaasha as she archived what she got, alikua in the position hata ya kupewa mitihani in advance. Thank you Mr. Kikwete kama unasoma humu, kumbe sio fisadi. Kwenye jamvi humu mpo mnaodai mlipata marks za kueleweka ilihali mlitumia zana, mafake n.k. Matokeo ya mtihani haya reflect your destination in life kama unabisha kamuulize uni dropped out William Henry Gates III . Shame on you na kama you still have guts in you weka na wewe matokeo yako kabla ya kuanza kuponda kumbaf!
Hapo nilipobold Bill Gates - Wikipedia, the free encyclopedia hakudrop out of university kwa sababu ya kufeli mitihani, USA kuna List of college dropout billionaires - Wikipedia, the free encyclopedia si kwamba walifeli masomo yao. Kulinganisha situation ya Bill Gates na huyo umteteaye si sahihi.
 
Hivi ushamaliza ile kitu yako?
kwahiyo na wewe unavyopenda shilingi lazima uta-specialize kwenye investment law........si ndio mkuu!!!!
Nilimaliza kitambo, nikweli ni specialize kwenye Investment , Inter Buss na Private Inter. Kiukweli toka ndani ya moyo wangu sipendi shilingi ndio maana hiyo LL.B inaozea kabatini huku mimi nikigalagala kwenye vumbi kuendeleza fani yangu ya awali ya Journalism. It has nothing but I do it just for the love of it!. Bado niko masikini vile vile ila ni masikini jeuri. Fanikio ni moja tuu siku hizi sitembelei boda boda, natembelea bajaj!.
 
Mkuu Pasco, usidhani sina ufahamu kwa kile nilichokieleza, inawezekana tu labda namna ya nilivyokiwasilisha ndio hukunielewa, maana yangu kubwa ni kwamba hawa ni mafisadi na wametajirika kwa migongo ya Watanzania ndio maana hawa hata mahakamani wao wanaona ni kwenda kupoteza muda tu.

Huyu Sinare unayemsema wewe sio ndio yule wakili alietuingiza mkenge kupinga malipo ya Dowans huku akijuwa hukumu inatamka kwamba mahakama ya usuluhishi ndio ya mwisho!!?? je huyu hana undugu na Balozi wa Tanzania nchini Marekani? Je unaweza kututhibishia uhalali wa utajili wa Ridhiwani miaka 5 tu baada ya kumaliza chuo kikuu?
Mkuu Matola, Dr. Hawa na Mwanaidi ni sisters na wote ni lawyers na walikuwa patners kwenye Epitome Law Firm. Ni kweli Dr. Sinare amehusika in one way or another kuandika legal opinion ya Dowans but its through a specific legal firm hivyo hiyo firm ndio itabeba corporate liability!.

Kuhusu ukwasi wa kutisha in a short period of time. Its possible!. Nina class mate wangu ni Lawyer, kuna siku nilimuibukia kwenye law firm yaka anifanyie paper work nipate bond ya M.10 nikatibiwe South, baada ya kuniona hali niliyokuwepo, alivuta draw akatoa US 10,000 cash! na kuniwekea mezani na kuniambia just take!. Nikasita kwa sababu bond niliohitaji ni ya TZS M.10 hivyo hiyo US $ 10,000 ni over and above sitaweza kulipa!. He said take it and go!.

Ndipo akanieleza he did a single transaction worth billions and his legal feez is above 10 Billions!. Jamaa alinunua a beach house masaki, bought himself 2 vogue in UK na akazileta aboard British Airways Cargo!, akalipia ushuru TZS 86 Millions each!. Sasa ameturn in real estate developer amezinunua hizo nyumba za Oysterbay na kuzi re develop. Law firm ipo kaajiri vijana.

Ukiona success ya ghafla kwa watu basi ndio unageuka fisadi!.

Kitu kimoja ambacho ni wazi, ili kushika hizo super deals, one got to have connections!. Kijana ni lawyer kama my friend who is nobody amevuna more than 10 bilions in a single transaction how about somebody?!.

Ila pia kutokana na lever ya umasikini wetu, we have lots of hate preachers kwa kila mwenye nacho kumuita fisadi!. Kwetu uswazi Vogue imebatizwa jina ni gari ya mafisadi, whoever atakayeshuka toka ndani ya vogue ni fisadi hata kama umepewa lift tuu!.
 
Pasco na hicho ki LL.B chako cha UDSM!
Yes nimekipata kwa taabu sana na msoto mkubwa wa ajabu ukijumlisha kucheza disco, na haswa kwa kuzingatia kazi yangu ni pen pusher and more suprising sikifanyii chochote!. Once a pen pusher, always a pen pusher!.
 
Kuhusu ukwasi wa kutisha in a short period of time. Its possible!. Nina class mate wangu ni Lawyer, kuna siku nilimuibukia kwenye law firm yaka anifanyie paper work nipate bond ya M.10 nikatibiwe South, baada ya kuniona hali niliyokuwepo, alivuta draw akatoa US 10,000 cash! na kuniwekea mezani na kuniambia just take!. Nikasita kwa sababu bond niliohitaji ni ya TZS M.10 hivyo hiyo US $ 10,000 ni over and above sitaweza kulipa!. He said take it and go!.

Really? He gave you ten grand (in USDs) just like that?

He must be ballin'....
 
Yes nimekipata kwa taabu sana na msoto mkubwa wa ajabu ukijumlisha kucheza disco, na haswa kwa kuzingatia kazi yangu ni pen pusher and more suprising sikifanyii chochote!. Once a pen pusher, always a pen pusher!.

Sasa kuna kitu sielewi na naomba unieleweshe. Mimi nilidhani hapo UDSM uki-disco ndo basi tena. Sasa wewe uli-disco halafu ukaendelea kusoma hapo hapo?

How did you pull that one off?
 
Back
Top Bottom