cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Haswaaaah kafaidi nyapu yule baba lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si alikuwa pendapenda hahaha
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaaaah kafaidi nyapu yule baba lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si alikuwa pendapenda hahaha
Ova
Dea miss u mnooo. [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]Hahaha [emoji23][emoji23]
Miss you too dearieDea miss u mnooo. [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Mie mzima sana.Miss you too dearie
Vipi mzima wewe ?
Kuna kuhonga na kusaidia.
Kuhonga ni kitendo cha kutoa fedha kwa ajili ya kupata kitu fulani in return.
Kusaidia ni kutoa msaada na pasipokutegemea malipo ya aina yeyote.
Kwa kuwa sijaona popote wahusika uliowataja hapo kukiri kuwa walimpa Mzee Mengi chochote baada ya kugharamikiwa basi usiite Hongo. Bali MSAADA. Tena amesahau kwamba alishamsaidia mhusika.
Nakusihi ubadilishe heading ya uzi wako.
Huko kwa wajanaja hawashindanishi kibongo!! bongo!!! unasikia!!! usikurupike km nguruwe pori!! uwe unauliza kwanza!tender ya USA ulishindaje
Muongo mkubwa weye!! ni yake aliifyatulia mtaa wa wapi?? mibongo bana sijui inakulaga miharage ya wapi sometimes?? .........toa hela hizo zirudi zilikotoka faster! kenge kabisa!Ni yake, wewe tafuta yako.
ulikuja mjini mwaka gani?. mimi ni mzawa wa jiji...born town kitambo....nayajua mengi yaliyokuwa yanawahusu watu maarufu wa late 90s to early and mid 2000s.Mmmmmmh ila watu khaaah.
Na wewe nasikia alikuondoa marinda.Unafikiri a kulala nao fala wewe?
😅😅😅Yaani mtu awe bilionea halafu asihonge wanadamu?!!!
Unataka ahonge majini?!!!!
Mwandiko mbaya wa kwenye electronic device ni tofauti na ule wa kwenye karatasi(darasani), hapa ukiambiwa una mwandiko mbaya maana yake ni hujui mpangilio wa maandishi na kanuni za uandishi.Weye endelea kusugua tu na Mbagala yako!! na wotewa huko hamnaga akili kabisaaa!! sijui Mbagala yoote na maji matitu kuna nini vile??..... Daktari anaandika yasiyoeleweka lkn bado mtu unapona!!..sembuse mie??
sasa kwa taarifa yako km hujui!! wenye mwandiko mbaya ndo wanatusuaga Drsani!! bila shaka weye ulikuwaga failure mbaya!
Huko kwa wajanaja hawashindanishi kibongo!! bongo!!! unasikia!!! usikurupike km nguruwe pori!! uwe unauliza kwanza!
Kwani tuko kwenye chumba mtihani Dogo?? hata ivo kwa usahihi zaidi weye hujui kutunga sentensi sahihi!! wala hujui kiswahili sanifu, ungesema hivi ''chapisho lisiko sahihi/pungufu" siyo mwandiko! ni makosa!!...... hapa nina type!! siandiki. unasikia dogo??Mwandiko mbaya wa kwenye electronic device ni tofauti na ule wa kwenye karatasi(darasani), hapa ukiambiwa una mwandiko mbaya maana yake ni hujui mpangilio wa maandishi na kanuni za uandishi.
Mtu aliyetusua darasani anaandikaje bila kujua sehemu ya kuweka nukta na comma?😂😂😂😂
Umekusudia kuropoka tu dogo, tumia japo akili kidogo baasi, tet!!!! ete!! tet siyo kila aliye JF ni Mtanzania!!! halafu usidhani JF iko Bongo tu! ni Dunia nzima sawa!!.......nijue procedure mfu za kibongo ili iweje kwanza!! hizo zitakusumbua weye na Mayanga const........NIULIZE NINI SASA KWA HUO UJINGA ??
Hahahahah hapo ulipo hujui hata procedure za tendering, ila upo hapa kudanganya watu kuwa ulishinda tender ya $trillion utajiri ambao hakuna hata mtz mwenye nao.
Unazijuia $trillion wewe.
Naona leo shemeji kakuhonga bando umerudi tena kusumbua.Kwani tuko kwenye chumba mtihani Dogo?? hata ivo kwa usahihi zaidi weye hujui kutunga sentensi sahihi!! wala hujui kiswahili sanifu, ungesema hivi ''chapisho lisiko sahihi/pungufu" siyo mwandiko! ni makosa!!...... hapa nina type!! siandiki. unasikia dogo??
umeshindwa kujiongeza? km button zangu zina stuck je? au niko kwa gari!! au napata kiraji!! hizi ni Total primitive perfectionisms, na hili tatizo wabongo mnalo sana hasa watu wa Mikoani/vijijini huko!
kwanza nikusaidie tu wanao tusua Darasani hawana uandishi mzuri ndo siri nakupa hiyo!..wao wanakimbizana na muda kujibu maswali wanayo jua vyema sasa dogo mtu km huyo atalemba mwandiko saa ngapi??
Lakini vilaza wanalemba sana mwandiko kwa kuwa ni weupe kichwani!! km mie muongo angalia Madaktari wakali wooote!! km utasoma maandishi yao!
By de way kuna somo liko kwa syrabus zenu linaitwa hivi nanukuu ''Learn through Mistakes'' km halitoshi ukienda higher learning inst. kuna kitu kinaitwa ''common errors'' ni wazi haya masomo hukuyapitia kwa sababu ya waalimu wako viio!! na haya ni ya madarasa ya chini huko!!!
na Speech zenye common mistakes ziko mahali poooote Duniani!......hata kwa Biblia takatifu zimo zimejaa tele ! inabidi sasa msomaji utumie akili kudadavua jambo lkn weye una stuck hapo! sasa huoni una safari ndefu Academic wise???
inaonyesha wazi hujasoma. sana tu!! sikupi pole kwa kuwa weye ni Mzembe enzi zenu Elimu ilikuwa bure kwa wote!..Gumbaru!!
Tuambie ni tender gani ya serikali ya USA uliyoshinda, maana sidhani kama tender ya $ trillions itakuwa ni ya vichocholoni.Umekusudia kuropoka tu dogo, tumia japo akili kidogo baasi, tet!!!! ete!! tet siyo kila aliye JF ni Mtanzania!!! halafu usidhani JF iko Bongo tu! ni Dunia nzima sawa!!.......nijue procedure mfu za kibongo ili iweje kwanza!! hizo zitakusumbua weye na Mayanga const........
halafu mlivo vilaza mnadhani nyie tu ndo mnajua kiswahili mweee!
Kweli mkuu ninakumbuka SCUVI. Kulikuwa na vibanda kibao vya biashara. Mambo ya bomoabomoa yaliviumiza. Kuna mmoja ninamfahamu alifanikiwa mpaka kuanzisha welding ya vitu vya chuma. Ni fundi haswa kwenye vitanda hakuna mfano. Pia unakumbuka alikuwa anatoa misaada Kwa vicoba vya akina mama mpaka 100m. Pia kabla hajafa alitoa lile jengo lake la pale Sabasaba (IPP) Kwa ajili ya Ofisi za Taasisi inayosimamia Biashara za akina mama. Yaani tulimpoteza mzalendo wa kweli. Rest in Peace Mzee MENGI. Tunakukumbuka.Kwenye miaka ya 90 alituita vijana wa wakati huo ambao hatukuwa na kazi Dar. Kulikuwa na matangazo mbali mbali kwenye vyombo vyake vya habari kwamba siku fulani tuonane Diamond Jubilee pale. Basi tukajitokeza. Akaja yeye na wasaidizi wake. Akasema atatusaidia pesa. Tuunde vikundi. Akaviita SKUVI (shujaa wa kupiga umaskini vita). Basi tukaunda SKUVI kibao, akatoa pesa. Na kulikuwa na safari ya kwenda Nairobi ili kujifunza toka JUAKALI, wamachinga wa huko. Mengi alikuwa na moyo mzuri sana.
Yaani unategemea hawa viumbe tajwa hapo juu waje kusema walikuwa wanapigwa miti na Mengi ili iweje sasa?Kuna kuhonga na kusaidia.
Kuhonga ni kitendo cha kutoa fedha kwa ajili ya kupata kitu fulani in return.
Kusaidia ni kutoa msaada na pasipokutegemea malipo ya aina yeyote.
Kwa kuwa sijaona popote wahusika uliowataja hapo kukiri kuwa walimpa Mzee Mengi chochote baada ya kugharamikiwa basi usiite Hongo. Bali MSAADA. Tena amesahau kwamba alishamsaidia mhusika.
Nakusihi ubadilishe heading ya uzi wako.