Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Manake unanionea wivu!! ninavohongwa!! sha kwambia ke'' lazima nihongwe!! km me usipohonga huna kuna wa type yako!

Usipo niona saana jua Nina fanya kazi!! siwezi shinda mtandaoni!! kushinda kwa key board hii ni kazi ya Jobless km weye!! muda wa kazi huu baba!!!

Endelea kupiga ramli huenda ukafanikiwa kupata tulio na nyota za mafanikio!!...... nakuhakikishia u-jobless utaisha!

Unauhakika gani kuwa mie ni Mbongo! au kwa vile naongea kiswahili??
Mtu mwenye trillions of dollar hahitaji kufanya kazi kwaajili ya hela, bali hela ndo zitafanya kazi kwaajili yake. Wewe sema unapotea sana humu (hata siku tatu) kwakukosa hela ya bando.

Nakupenda smaki 😄
 
Mtu mwenye trillions of dollar hahitaji kufanya kazi kwaajili ya hela,
Hao ni ma-trionnaires wa kizamani sana dogo!!! hivi si mnaimbaga hapo kwenu kila siku kuwa kazi ni Uhai Binadamu au!!.... hili nalo rahisi hivi huelewi?? kuimba wanaimba wanawashauri msikie!
 
Mie sikuhamia ila nimetaka uni hakikishie kuwa mie ni mbongo!! kwa kuiona comment yangu humu tu!
Nafikiri nina haki ya kuamini kuwa wewe ni mbongo kwakua hakuna ushahidi wowote unaoonyesha wewe si mbongo.

Ila kwa kuzingatia lugha za uswahilini unazoandika humu, haihitaji ramli kujua kwamba wewe ni mtz tena daraja la tatu.
 
Hao ni ma-trionnaires wa kizamani sana dogo!!! hivi si mnaimbaga hapo kwenu kila siku kuwa kazi ni Uhai Binadamu au!!.... hili nalo rahisi hivi huelewi?? kuimba wanaimba wanawashauri msikie!
Mtu mwenye trillions of dollars smaki 😄
 
kwakukosa hela ya bando.
Yes!! hujakosea!! huwa ninakosa sana tu!!....sasa bundle tajiri mzima la nini kwanza mie?? lkn pia kukosa inadhihirisha ubinadamu wangu ujue!!! .... hata mpishi anahisi njaa sometimes!! japo msosi upo tele mbele yake! na

na mie tajiri vilevile sometimes sinaga hata shillingi mia mfukoni! kwa muda wake!......yaani Bakhresa ukimvamia Mtaani yule hata Buku hana kabisaa!!! ndo tabia zetu.....akae na hela za nini kwanza!!! ukiona mtu ana hela tena za Bundle basi ni maskini kweli!!

siyo kwa kuwa nina utajiri,ndege, na Magari siwezi tembea kwa miguu!! big nooo!! uko Mulemule hayoo!! ndo mawazo Mgando ya maskini woooote Duniani! ndo mlivyo!! sana! ndo maana nasema akili zako ni za mtoto wa miaka 12 hivi!..

tena kwa taarifa yako sie matajiri ndo tunaongoza kwa kutembea mda mrefuuuu kwa miguu! unajua kwa nini?? .... tatizo hujawahi jua muda na wakati wa viwanja vyetu!! na kamwe hutojua kwa umaskini huo!
 
Nafikiri nina haki ya kuamini kuwa wewe ni mbongo kwakua hakuna ushahidi wowote unaoonyesha wewe si mbongo.

Ila kwa kuzingatia lugha za uswahilini unazoandika humu, haihitaji ramli kujua kwamba wewe ni mtz tena daraja la tatu.
Ushahidi gani unataka zaidi ya kauli yangu binafsi? zaidi ya hapo una tatizo la msingi? linalo hitaji maombi ya Gwajima!

kama umefika mahali ukanijua mie ni Mtz Daraja la tatu!! ... unafuatilia hoja zangu tengefu ,.....ni wazi pasi shaka kuwa umenikubali, safi sana endelea!! ndo navotaka na kupenda pia ajili ya kuwa humu huwa ninatoa zawadi kila mwaka!

Zaidi km Lugha inapanda waweza nipata hapa www//smaki dziencinstwa hapo utafurahia uwepo wangu hapa Duniani!
LOGO-768x653.png
sawa dogo siesiyo mumiani..njoo ule shavu usiogope!
 
Yes!! hujakosea!! huwa ninakosa sana tu!!....sasa bundle tajiri mzima la nini kwanza mie?? lkn pia kukosa inadhihirisha ubinadamu wangu ujue!!! .... hata mpishi anahisi njaa sometimes!! japo msosi upo tele mbele yake! na

na mie tajiri vilevile sometimes sinaga hata shillingi mia mfukoni! kwa muda wake!......yaani Bakhresa ukimvamia Mtaani yule hata Buku hana kabisaa!!! ndo tabia zetu.....akae na hela za nini kwanza!!! ukiona mtu ana hela tena za Bundle basi ni maskini kweli!!

siyo kwa kuwa nina utajiri,ndege, na Magari siwezi tembea kwa miguu!! big nooo!! uko Mulemule hayoo!! ndo mawazo Mgando ya maskini woooote Duniani! ndo mlivyo!! sana! ndo maana nasema akili zako ni za mtoto wa miaka 12 hivi!..

tena kwa taarifa yako sie matajiri ndo tunaongoza kwa kutembea mda mrefuuuu kwa miguu! unajua kwa nini?? .... tatizo hujawahi jua muda na wakati wa viwanja vyetu!! na kamwe hutojua kwa umaskini huo!
Tajiri wa trillion of dollars hawezi kukosa any material thing anachotaka hapa duniani, isipokuwa uhai na afya tu ambavyo ni maamzi ya Mungu.

Tajiri unakosaje bando?? Nakupenda smaki 😂
 
Ushahidi gani unataka zaidi ya kauli yangu binafsi? zaidi ya hapo una tatizo la msingi? linalo hitaji maombi ya Gwajima!

kama umefika mahali ukanijua mie ni Mtz Daraja la tatu!! ... unafuatilia hoja zangu tengefu ,.....ni wazi pasi shaka kuwa umenikubali, safi sana endelea!! ndo navotaka na kupenda pia ajili ya kuwa humu huwa ninatoa zawadi kila mwaka!

Zaidi km Lugha inapanda waweza nipata hapa www//smaki dziencinstwa hapo utafurahia uwepo wangu hapa Duniani!View attachment 2184891sawa dogo siesiyo mumiani..njoo ule shavu usiogope!
Huku ndo umewekeza hela inayolingana na budget ya USA ($-trillions)??

smaki hebu acha maskhara mtoto mzuri😊
 
Nakuja aunt,
Wee tajiri yupi na wa wapi?
Wajomba maresh gan bongo hii wana hela chafu hivyo?

Vidampa tunanyooshwa, mwenzetu lokole kahongwa harrier, hatupumui. Anasemaje sasa.
"Mtakesha na kuvizia hapo kidimbwi, elements, KFC, ila mie niko tu home ndinga inanifata enyewe" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kina delicious na kisura, pk kimodo walivoanza kumcharukia sasa mie hoi. Nimecheka mbavu cna. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji849][emoji849]
 
Back
Top Bottom