Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Nimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau, hata walivokutana tena mzee mengi hakuMkumbuka dokii

Miriam odemba wa tangazo la revola naye alikiri kupelekwa uingereza na mzee mengi kwenda kusomeshwa, na alivyofanya tangazo la revola Mengi alimpa pesa Ndefu hadi akaanza kuitumia kujenga nyumba

Hapo sijaongea Na sijajua madam ritha, na Kyln washahongwaga tshs ngapi na huyu mzee..

Kuna watu wanachapisha hela si wengine twatafta hela ya kula Yani unamuhonga mdada million 20, hlf mwaka ujao humkumbuki tena? Looh Sky Eclat
Ndio matumizi kk hela haziliwi
 
wewe unasema million 20tu!! mie nilihonga kiwanda chote cha kufyatua karatasi zimbabwe!! kwa kuwa tu nilitembea na kijana mmoja mwenye kismati hatare!! huyu baada ya mambo yetu yale ghafla nilipata tender ya kuiuzia serikali ya USA Maligahafi za Nuclear!

Advance nikapewa cash $USD tirion kumi na tano!...sasa kwa nini nisihonge na mie?? Mleta Mada inaonekana hujawahi kuhongwa/wala kuhonga damu mbaya hiyo!! yamkini ukoo wenu hamuhongwi!! Basi nakushauri usizae Binti!...atateseka mnoo!!

tena haka kadokii siju kako wapi siku hizi??
😂😂😂😂😂
 
Huku ndo umewekeza hela inayolingana na budget ya USA ($-trillions)??

smaki hebu acha maskhara mtoto mzuri😊
USA hawawezi kukwambia budget yao kiukweli tena kwenye mitandao..tatizo ni kuwa hujui Diplomasia za kimataifa zikoje bado mdogo subiri ukikua!! hiyo ni budget ya miaka takriban ishirini ilopita!!
 
Tajiri wa trillion of dollars hawezi kukosa any material thing anachotaka hapa duniani, isipokuwa uhai na afya tu ambavyo ni maamzi ya Mungu.

Tajiri unakosaje bando?? Nakupenda smaki 😂
Muongo sana weye!! hujui mambo weye! nikuulize Mgagani orijino wa kinu! ataupata wapi tajiri??
 
USA hawawezi kukwambia budget yao kiukweli tena kwenye mitandao..tatizo ni kuwa hujui Diplomasia za kimataifa zikoje bado mdogo subiri ukikua!! hiyo ni budget ya miaka takriban ishirini ilopita!!
Okay sawa, nimekubali kwamba ulihongwa kiwanda cha kusambaza karatadi Zimbabwe nzima.

Ninakubali kwamba ulihongwa tender ya Dollar trillion 15 huko USA.

Najua wana JF wengine watakubali pia😂.

smaki bwana😂
 
Nimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau, hata walivokutana tena mzee mengi hakuMkumbuka dokii

Miriam odemba wa tangazo la revola naye alikiri kupelekwa uingereza na mzee mengi kwenda kusomeshwa, na alivyofanya tangazo la revola Mengi alimpa pesa Ndefu hadi akaanza kuitumia kujenga nyumba

Hapo sijaongea Na sijajua madam ritha, na Kyln washahongwaga tshs ngapi na huyu mzee..

Kuna watu wanachapisha hela si wengine twatafta hela ya kula Yani unamuhonga mdada million 20, hlf mwaka ujao humkumbuki tena? Looh Sky Eclat
Juzi kuna demu kataka hela nikampa buku 2 achukue buku halaf anirudishie buku inayobaki kudadeki kala kona mazima nilizinguka bar nzima namtafuta,sijamsahau bado nikimdaka atazitapika buku mbili zangu kavu kavu.
 
Okay sawa, nimekubali kwamba ulihongwa kiwanda cha kusambaza karatadi Zimbabwe nzima.

Ninakubali kwamba ulihongwa tender ya Dollar trillion 15 huko USA.

Najua wana JF wengine watakubali pia😂.

smaki bwana😂
Dogo ukiingia humu wkt una mawazo ya kuachwa na umeshindia vihepe utakuwa chizi one day!! km huamini subiri!

kwa sababu mie sikusema ivo!!usinilishe maneno!! karudie paleee juu usome upya ndo uje!! sijafuta kitu. na hii ndo maana ulishindwa mitihani hivi hivi!!.....yaani km mazungumzo ya kawaida umejichanganya hivi! je mtihani wenye usimamizi wa mgambo?

ndo maana kumbe huna kazi za kufanya!... pia jua kuwa siyo ukubali tu kuwa nina hela ...na kuni heshim pia kuwepo! wkt unaposoma mada zangu sawa dogo!
 
Mengi aliwasaidia,, ndio maana unaona aliwasahau wengine...

But hata kama alichakata nyapu, still alistahili tu..
 
Kama Wewe ni Mwanaume Nikuulize hujawahi kutoa rushwa/ kuhonga?? Wanawake wanapenda sana hongo sana bila hivyo hutapendwa ndg.....
 
Back
Top Bottom