Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Ndio matumizi kk hela haziliwi
 
😂😂😂😂😂
 
Huku ndo umewekeza hela inayolingana na budget ya USA ($-trillions)??

smaki hebu acha maskhara mtoto mzuri😊
USA hawawezi kukwambia budget yao kiukweli tena kwenye mitandao..tatizo ni kuwa hujui Diplomasia za kimataifa zikoje bado mdogo subiri ukikua!! hiyo ni budget ya miaka takriban ishirini ilopita!!
 
Tajiri wa trillion of dollars hawezi kukosa any material thing anachotaka hapa duniani, isipokuwa uhai na afya tu ambavyo ni maamzi ya Mungu.

Tajiri unakosaje bando?? Nakupenda smaki 😂
Muongo sana weye!! hujui mambo weye! nikuulize Mgagani orijino wa kinu! ataupata wapi tajiri??
 
USA hawawezi kukwambia budget yao kiukweli tena kwenye mitandao..tatizo ni kuwa hujui Diplomasia za kimataifa zikoje bado mdogo subiri ukikua!! hiyo ni budget ya miaka takriban ishirini ilopita!!
Okay sawa, nimekubali kwamba ulihongwa kiwanda cha kusambaza karatadi Zimbabwe nzima.

Ninakubali kwamba ulihongwa tender ya Dollar trillion 15 huko USA.

Najua wana JF wengine watakubali pia😂.

smaki bwana😂
 
Juzi kuna demu kataka hela nikampa buku 2 achukue buku halaf anirudishie buku inayobaki kudadeki kala kona mazima nilizinguka bar nzima namtafuta,sijamsahau bado nikimdaka atazitapika buku mbili zangu kavu kavu.
 
Okay sawa, nimekubali kwamba ulihongwa kiwanda cha kusambaza karatadi Zimbabwe nzima.

Ninakubali kwamba ulihongwa tender ya Dollar trillion 15 huko USA.

Najua wana JF wengine watakubali pia😂.

smaki bwana😂
Dogo ukiingia humu wkt una mawazo ya kuachwa na umeshindia vihepe utakuwa chizi one day!! km huamini subiri!

kwa sababu mie sikusema ivo!!usinilishe maneno!! karudie paleee juu usome upya ndo uje!! sijafuta kitu. na hii ndo maana ulishindwa mitihani hivi hivi!!.....yaani km mazungumzo ya kawaida umejichanganya hivi! je mtihani wenye usimamizi wa mgambo?

ndo maana kumbe huna kazi za kufanya!... pia jua kuwa siyo ukubali tu kuwa nina hela ...na kuni heshim pia kuwepo! wkt unaposoma mada zangu sawa dogo!
 
Mengi aliwasaidia,, ndio maana unaona aliwasahau wengine...

But hata kama alichakata nyapu, still alistahili tu..
 
Kama Wewe ni Mwanaume Nikuulize hujawahi kutoa rushwa/ kuhonga?? Wanawake wanapenda sana hongo sana bila hivyo hutapendwa ndg.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…