Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena wewe wa buku jero unaweza ukawa umetoa nyingi kuliko alietoa million 20 maana unaweza ukawa umepiga deiwaka ukalipwa 3000 ukahonga 1,500 (50% ya kipato chako) huku alietoa million 20 ikawa ametoa punje tu kiasi kingi alichoingiza maana anaweza akawa amepiga dili la 500 millionUzuri ni kwamba anayehonga milioni 20 namimi ninayehonga buku jero tuko kundi moja la wahongaji.
Aliyepanga category za wahongaji alikuwa vere fea[emoji1787][emoji1787]
Tupo wanawake tunaovipenda vibamia kwa dhati kabisa,, hivyo jiamini tu, mko vizuri kunako mavituziLabda upate bwawa la mwanamke malaya. Kama ni wa kawaida tu, anafika mshindo. Mke wangu anapata mshindo kila tukionana. Watu wanajitosheleza kwa vidole sembuse kibamia?
Halafu kusema ukweli kuna akina mama wanaojiheshimu sana. Namshukuru Mungu kwa kunipa wa aina hiyo. Anakujua tangu mwanzo kuwa ni kibamia. Anakupenda. Anaomba ndoa. Na anakuwa mwaminifu. Kwa nini na wewe usiwe mwaminifu kwake?
Nimekumbuka haya mambo ya SKUVI sikujua kama Mengi ndio alikuwa ni kinara nadhani at that time Lukuvi ndio alikuwa Waziri anaehusika na hayo mambo na mie nilikuwa najua Lukuvi ndio alikuwa anasimamia show japokuwa sijui kipi kilitokea SKUVI zikafa (au zime-graduate)Kwenye miaka ya 90 alituita vijana wa wakati huo ambao hatukuwa na kazi Dar. Kulikuwa na matangazo mbali mbali kwenye vyombo vyake vya habari kwamba siku fulani tuonane Diamond Jubilee pale. Basi tukajitokeza. Akaja yeye na wasaidizi wake. Akasema atatusaidia pesa. Tuunde vikundi. Akaviita SKUVI (shujaa wa kupiga umaskini vita). Basi tukaunda SKUVI kibao, akatoa pesa. Na kulikuwa na safari ya kwenda Nairobi ili kujifunza toka JUAKALI, wamachinga wa huko. Mengi alikuwa na moyo mzuri sana.
Nimekumbuka haya mambo ya SKUVI sikujua kama Mengi ndio alikuwa ni kinara nadhani at that time Lukuvi ndio alikuwa Waziri anaehusika na hayo mambo na mie nilikuwa najua Lukuvi ndio alikuwa anasimamia show japokuwa sijui kipi kilitokea SKUVI zikafa (au zime-graduate)
Tupo wanawake tunaovipenda vibamia kwa dhati kabisa,, hivyo jiamini tu, mko vizuri kunako mavituzi
Vibamia vitamu sana, usisikilize wanaomiliki masinia hamna chochote kitamu kwaoNaam. Mapenzi ni kumpenda mtu holistically, siyo kasehemu kake. Ukisikia mtu anakwambia anapenda sehemu yako fulani tu, ujue kuna tatizo hapo.
Halafu kuna kitu kingine ambacho watu wengi hawajui. Maumbile ya wanaume yanatofautiana sana yanapokuwa yamesinyaa. Yanapokuwa yamesimama, huwa yana ulinganifu kwa kiasi kikubwa.
Vibamia vitamu sana, usisikilize wanaomiliki masinia hamna chochote kitamu kwao
Vibamia vitamu wewe asikwambie mtu, Hadi machozi yanatoka havichoshi maumbile, haviboi haviumizi,, ngono Ni starehe Sasa kuingiza dude ukaanza kufumba macho na kubana miguu hata hainogi, 🙌🙌 ningeandika zaidi ila acha niishie hapaNakubaliana na wewe. Hapa wifi yako hapa akifika basi mwili unamkakamaa kama kapigwa shoti ya umeme vile. Miaka nenda rudi ni hivyo hivyo, na watoto juu, halafu unambie eti vibamia havina maana,.... Zee Korofi, smaki
Mil 20 kwa mzee ilikua ndogo saanaNimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau, hata walivokutana tena mzee mengi hakuMkumbuka dokii
Miriam odemba wa tangazo la revola naye alikiri kupelekwa uingereza na mzee mengi kwenda kusomeshwa, na alivyofanya tangazo la revola Mengi alimpa pesa Ndefu hadi akaanza kuitumia kujenga nyumba
Hapo sijaongea Na sijajua madam ritha, na Kyln washahongwaga tshs ngapi na huyu mzee..
Kuna watu wanachapisha hela si wengine twatafta hela ya kula Yani unamuhonga mdada million 20, hlf mwaka ujao humkumbuki tena? Looh Sky Eclat
Naona unabishana na tajiri no 1wa dunia ya JF [emoji1][emoji1] mega trillionea anabishana huku JF...Hizi mbwembwe ndo zinanifanya nizidi kukupenda, eti dogo[emoji23]
Mkuu watu wa humu Jf ni wa kuangalia tu, mtu anakwambia eti alikula tenda ya $15 trillion.Naona unabishana na tajiri no 1wa dunia ya JF [emoji1][emoji1] mega trillionea anabishana huku JF...
Kila mtu ana honga kutokana na level yake
Kwani we hajawahi kuhonga?
Ova
Mkuu watu wa humu Jf ni wa kuangalia tu, mtu anakwambia eti alikula tenda ya $15 trillion.
Nadhani alitaka kusema uongo ila hakujua thamani ya fedha anazotaja[emoji23]