Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Kuhonga ina level zake, kuna boda mmoja yeye anahonga usafiri wa boda bure kwa mademu fulani, akisafirisha demu fulani mara 2 hv anapewa bure sbb katoa usafiri bure.
 
Uzuri ni kwamba anayehonga milioni 20 namimi ninayehonga buku jero tuko kundi moja la wahongaji.

Aliyepanga category za wahongaji alikuwa vere fea[emoji1787][emoji1787]
Tena wewe wa buku jero unaweza ukawa umetoa nyingi kuliko alietoa million 20 maana unaweza ukawa umepiga deiwaka ukalipwa 3000 ukahonga 1,500 (50% ya kipato chako) huku alietoa million 20 ikawa ametoa punje tu kiasi kingi alichoingiza maana anaweza akawa amepiga dili la 500 million
 
Labda upate bwawa la mwanamke malaya. Kama ni wa kawaida tu, anafika mshindo. Mke wangu anapata mshindo kila tukionana. Watu wanajitosheleza kwa vidole sembuse kibamia?

Halafu kusema ukweli kuna akina mama wanaojiheshimu sana. Namshukuru Mungu kwa kunipa wa aina hiyo. Anakujua tangu mwanzo kuwa ni kibamia. Anakupenda. Anaomba ndoa. Na anakuwa mwaminifu. Kwa nini na wewe usiwe mwaminifu kwake?
Tupo wanawake tunaovipenda vibamia kwa dhati kabisa,, hivyo jiamini tu, mko vizuri kunako mavituzi
 
Kwenye miaka ya 90 alituita vijana wa wakati huo ambao hatukuwa na kazi Dar. Kulikuwa na matangazo mbali mbali kwenye vyombo vyake vya habari kwamba siku fulani tuonane Diamond Jubilee pale. Basi tukajitokeza. Akaja yeye na wasaidizi wake. Akasema atatusaidia pesa. Tuunde vikundi. Akaviita SKUVI (shujaa wa kupiga umaskini vita). Basi tukaunda SKUVI kibao, akatoa pesa. Na kulikuwa na safari ya kwenda Nairobi ili kujifunza toka JUAKALI, wamachinga wa huko. Mengi alikuwa na moyo mzuri sana.
Nimekumbuka haya mambo ya SKUVI sikujua kama Mengi ndio alikuwa ni kinara nadhani at that time Lukuvi ndio alikuwa Waziri anaehusika na hayo mambo na mie nilikuwa najua Lukuvi ndio alikuwa anasimamia show japokuwa sijui kipi kilitokea SKUVI zikafa (au zime-graduate)
 
Sikumbuki Lukuvi ktk jambo hili. Ila kuhusu kifo cha SKUVI sijui ni kwa nini. Ila baadhi yetu tulikuwa wanafunzi wakati tukisubiri kuendelea na masomo baadae. Muda wa kuendelea na masomo ulipofika, tukaendelea na masomo yetu, tukaachana na biashara.
Nimekumbuka haya mambo ya SKUVI sikujua kama Mengi ndio alikuwa ni kinara nadhani at that time Lukuvi ndio alikuwa Waziri anaehusika na hayo mambo na mie nilikuwa najua Lukuvi ndio alikuwa anasimamia show japokuwa sijui kipi kilitokea SKUVI zikafa (au zime-graduate)
 
Naam. Mapenzi ni kumpenda mtu holistically, siyo kasehemu kake. Ukisikia mtu anakwambia anapenda sehemu yako fulani tu, ujue kuna tatizo hapo.

Halafu kuna kitu kingine ambacho watu wengi hawajui. Maumbile ya wanaume yanatofautiana sana yanapokuwa yamesinyaa. Yanapokuwa yamesimama, huwa yana ulinganifu kwa kiasi kikubwa.
Tupo wanawake tunaovipenda vibamia kwa dhati kabisa,, hivyo jiamini tu, mko vizuri kunako mavituzi
 
Naam. Mapenzi ni kumpenda mtu holistically, siyo kasehemu kake. Ukisikia mtu anakwambia anapenda sehemu yako fulani tu, ujue kuna tatizo hapo.

Halafu kuna kitu kingine ambacho watu wengi hawajui. Maumbile ya wanaume yanatofautiana sana yanapokuwa yamesinyaa. Yanapokuwa yamesimama, huwa yana ulinganifu kwa kiasi kikubwa.
Vibamia vitamu sana, usisikilize wanaomiliki masinia hamna chochote kitamu kwao
 
Nakubaliana na wewe. Hapa wifi yako hapa akifika basi mwili unamkakamaa kama kapigwa shoti ya umeme vile. Miaka nenda rudi ni hivyo hivyo, na watoto juu, halafu unambie eti vibamia havina maana,.... Zee Korofi, smaki
Vibamia vitamu wewe asikwambie mtu, Hadi machozi yanatoka havichoshi maumbile, haviboi haviumizi,, ngono Ni starehe Sasa kuingiza dude ukaanza kufumba macho na kubana miguu hata hainogi, 🙌🙌 ningeandika zaidi ila acha niishie hapa
 
Nimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau, hata walivokutana tena mzee mengi hakuMkumbuka dokii

Miriam odemba wa tangazo la revola naye alikiri kupelekwa uingereza na mzee mengi kwenda kusomeshwa, na alivyofanya tangazo la revola Mengi alimpa pesa Ndefu hadi akaanza kuitumia kujenga nyumba

Hapo sijaongea Na sijajua madam ritha, na Kyln washahongwaga tshs ngapi na huyu mzee..

Kuna watu wanachapisha hela si wengine twatafta hela ya kula Yani unamuhonga mdada million 20, hlf mwaka ujao humkumbuki tena? Looh Sky Eclat
Mil 20 kwa mzee ilikua ndogo saana
 
Jacky na ndugu zake na mapacha walikua wanapelekwa Hyatt regency kupata lunch na mzee Mengi analipa, imagine sahani moja ya msosi Hyatt regency ni sh ngap hlf upige mara ndugu wa Jacky Sky Eclat
 
Wema na ukarimu wa marehemu unatumika kama fimbo ya kumchapa mwenda zake...
Watanzania baadhi yetu ubinadamu hatuna.. Yaani zilo kabisa..
 
Back
Top Bottom