Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Mh
 
Mkuu watu wa humu Jf ni wa kuangalia tu, mtu anakwambia eti alikula tenda ya $15 trillion.

Nadhani alitaka kusema uongo ila hakujua thamani ya fedha anazotaja[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na wakati huo alikuwa na mke........
 
Vipindi vinapangwa, umekomaa so emotional...so emotional

Akili za wabongo bwana, maana wasanii wanawakamata na kiki
 
Ukweli ndo huu sasa, [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwa hayo maelezo ya dokii na miriam odemba mbona inaonekana kama mzee aliwasaidia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…