Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Hawa ndio wale wanaokuwa mabilionea alafu wanajaza magari ya kifahara kumi. Wewe honga ule mbususu....sii u aona jamaa kabadilisha maisha ya hao warembo...mabilionea wanatakiwa kuwa na wake wengi ili kunufaisha jamiii
Ndio maana ulimtetea yule dada alokuwa anatunywesha chai eeh?
 
Nimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau, hata walivokutana tena mzee mengi hakuMkumbuka dokii

Miriam odemba wa tangazo la revola naye alikiri kupelekwa uingereza na mzee mengi kwenda kusomeshwa, na alivyofanya tangazo la revola Mengi alimpa pesa Ndefu hadi akaanza kuitumia kujenga nyumba

Hapo sijaongea Na sijajua madam ritha, na Kyln washahongwaga tshs ngapi na huyu mzee..

Kuna watu wanachapisha hela si wengine twatafta hela ya kula Yani unamuhonga mdada million 20, hlf mwaka ujao humkumbuki tena? Looh Sky Eclat
Madam ritha anakwambia ametembea hii dunia amekula raha kisa mzee mengi. Hakuna la kumshangaza mengi alimpeleka kote.
Anasema mengi alimpenda madam kisa tu walikuwa wanakutana gym hapo madam katoka zimbabwe masomoni anashangaa watu wanamshobokea mengi wakati yeye hajui hata mengi ni nani.
Mzee akajisogeza kwa madam, na madam anakwambia alikuwa na bwanake huyo foreigner ana ela kinoma anasukuma.ndinga za maana na bwanake hataki afanye kazi.
Mzee eti akamuuliza unanijua mimi nani, madam akamwambia skujui hata 🤣🤣
To cut the story short, madam anadai hatowahi kuja mpenda mwanaume kama alivyompenda mzee. Na anadai anajua hata mzee alikuwa nampenda mpaka nyakati za mwisho.
 
Madam ritha anakwambia ametembea hii dunia amekula raha kisa mzee mengi. Hakuna la kumshangaza mengi alimpeleka kote.
Anasema mengi alimpenda madam kisa tu walikuwa wanakutana gym hapo madam katoka zimbabwe masomoni anashangaa watu wanamshobokea mengi wakati yeye hajui hata mengi ni nani.
Mzee akajisogeza kwa madam, na madam anakwambia alikuwa na bwanake huyo foreigner ana ela kinoma anasukuma.ndinga za maana na bwanake hataki afanye kazi.
Mzee eti akamuuliza unanijua mimi nani, madam akamwambia skujui hata [emoji1787][emoji1787]
To cut the story short, madam anadai hatowahi kuja mpenda mwanaume kama alivyompenda mzee. Na anadai anajua hata mzee alikuwa nampenda mpaka nyakati za mwisho.
Mengi alikua mtu POA Sana, kaumaliza mwendo.
Sio unatafta afu unajinyima mno[emoji4]
 
Madam ritha anakwambia ametembea hii dunia amekula raha kisa mzee mengi. Hakuna la kumshangaza mengi alimpeleka kote.
Anasema mengi alimpenda madam kisa tu walikuwa wanakutana gym hapo madam katoka zimbabwe masomoni anashangaa watu wanamshobokea mengi wakati yeye hajui hata mengi ni nani.
Mzee akajisogeza kwa madam, na madam anakwambia alikuwa na bwanake huyo foreigner ana ela kinoma anasukuma.ndinga za maana na bwanake hataki afanye kazi.
Mzee eti akamuuliza unanijua mimi nani, madam akamwambia skujui hata 🤣🤣

Hizo ni story za madem kujipandisha level.

Kuna dada alikuwa miss nigeria . Alihojiwa anakwambia mume wake alivyokuja kumtongoza mara ya 1 alikuwa hamjui ni nani? Wakat huyo mumewe alikuwa maarufu nigeria nzima alikuwa anacheza ligi ya uingereza na nahodha wa timu ya taifa ya nigeria.

Marafiki zake ndio wakamwambia huyo kaka ni fulani. Walikutana kwenye harusi
 
.....
hilo amelisema kwenye kitabu chake akatoa mfano wakati wa Msiba wa mwanae Rodney kuna bibi alikaa pale nyumbani hata baada ya waombolezaji kuondoka so ikabidi mengi amfuate
Mengi anadai alidhani bibi anataka pesa ila alipotaka kumpa pesa yule bibi alikataa na kusema "umewahi kunisaidia pesa nikafanya biashara na sasa zipo vizuri tu hivo sihitaji pesa ila niko hapa kuomboleza" Mengi anasema hakuwa anakumbuka kwamba amewahi msaidia huyo bibi
Kwenye huo huo msiba kuna wanafunzi walitoka shule na uniform wanalia sana kumbe walikuwa wanasomeshwa na Mutie, Mengi alikuwa hajui akashangaa.
 
Nimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau, hata walivokutana tena mzee mengi hakuMkumbuka dokii

Miriam odemba wa tangazo la revola naye alikiri kupelekwa uingereza na mzee mengi kwenda kusomeshwa, na alivyofanya tangazo la revola Mengi alimpa pesa Ndefu hadi akaanza kuitumia kujenga nyumba

Hapo sijaongea Na sijajua madam ritha, na Kyln washahongwaga tshs ngapi na huyu mzee..

Kuna watu wanachapisha hela si wengine twatafta hela ya kula Yani unamuhonga mdada million 20, hlf mwaka ujao humkumbuki tena? Looh Sky Eclat
Kwahyo unataman ungekua unahongwa wew.. hatar
 
Hizo ni story za madem kujipandisha level.

Kuna dada alikuwa miss nigeria . Alihojiwa anakwambia mume wake alivyokuja kumtongoza mara ya 1 alikuwa hamjui ni nani? Wakat huyo mumewe alikuwa maarufu nigeria nzima alikuwa anacheza ligi ya uingereza na nahodha wa timu ya taifa ya nigeria.

Marafiki zake ndio wakamwambia huyo kaka ni fulani. Walikutana kwenye harusi
Madam anasema alikuwa katoka zimbabwe hata mengi mwenyewe hakuwa anamfaham, from there meng akajua sijui kasoma masuala ya vipindi, akamwambia ampe kazi halafu mshahara kiduchu kama 30000 hivi. Madam akakataa baadae akawaza sasa kasoma why asifanye tu, basi akaanza kazi bwanake akamwambia achague kazi au yeye, madam akachagua kazi.
Anasema akafundishwa vingi akakutanishwa na watu, baadae akamsimamisha kazi, madam anadai aliumia ila eti, eti lakini anadai alimsimamisha eti ndipo aje amtokee maana kumtokea wakati kamwajiri isingekuwa sawa..
 
Madam ritha anakwambia ametembea hii dunia amekula raha kisa mzee mengi. Hakuna la kumshangaza mengi alimpeleka kote.
Anasema mengi alimpenda madam kisa tu walikuwa wanakutana gym hapo madam katoka zimbabwe masomoni anashangaa watu wanamshobokea mengi wakati yeye hajui hata mengi ni nani.
Mzee akajisogeza kwa madam, na madam anakwambia alikuwa na bwanake huyo foreigner ana ela kinoma anasukuma.ndinga za maana na bwanake hataki afanye kazi.
Mzee eti akamuuliza unanijua mimi nani, madam akamwambia skujui hata 🤣🤣
To cut the story short, madam anadai hatowahi kuja mpenda mwanaume kama alivyompenda mzee. Na anadai anajua hata mzee alikuwa nampenda mpaka nyakati za mwisho.
🤣🤣🤣🤣 madam anazingua.
Ukute alienda kwenye hiyo gym purposely kwa ajili ya kumtega mzee wa watu..
Ila ndo hawezi kusema sasa....
 
Mbona mimi bwanangu si bilionea kama Mengi lakini kanipa mapesa mengi zaidi ya hayo....
Kutoa ni kipaji

Kwenye huo huo msiba kuna wanafunzi walitoka shule na uniform wanalia sana kumbe walikuwa wanasomeshwa na Mutie, Mengi alikuwa hajui akashangaa.
Motie ndie alimpa vifaa vya digital masterjay.
Masterjay anasema motie alikuja studio akawa anatazama anafanya production, akamuuliza hivi vifaa vya ksasa bei gani, master akamwambia pesa ndefu, motie akataka kukua uktaka kufungua inahtajika ninj na nini, master akataja. Ikapita muda, siku moja akamwita ofsini kwake, master kufika pale anaona mzigo wa vifaa akawaza huyu kumbe alitaka fungua studio ya kisasa atufunike. Wakapiga story master ikafika muda wa kuaga, motie ndo akasema halafu kidogo nisahau, nimekuita ili uchukue mzigo wako huu.
Master anasema hakuamini.
Walikuwa na moyo wa kutoa hao jama mtu na baba yake
 
Back
Top Bottom