Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Madam wakati anakwambia alikuwa na bwana ana maela punda habebi🤣🤣🤣🤣 madam anazingua.
Ukute alienda kwenye hiyo gym purposely kwa ajili ya kumtega mzee wa watu..
Ila ndo hawezi kusema sasa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madam wakati anakwambia alikuwa na bwana ana maela punda habebi🤣🤣🤣🤣 madam anazingua.
Ukute alienda kwenye hiyo gym purposely kwa ajili ya kumtega mzee wa watu..
Ila ndo hawezi kusema sasa....
Kabisa na moyo wa kuhonga wanao.Motie ndie alimpa vifaa vya digital masterjay.
Masterjay anasema motie alikuja studio akawa anatazama anafanya production, akamuuliza hivi vifaa vya ksasa bei gani, master akamwambia pesa ndefu, motie akataka kukua uktaka kufungua inahtajika ninj na nini, master akataja. Ikapita muda, siku moja akamwita ofsini kwake, master kufika pale anaona mzigo wa vifaa akawaza huyu kumbe alitaka fungua studio ya kisasa atufunike. Wakapiga story master ikafika muda wa kuaga, motie ndo akasema halafu kidogo nisahau, nimekuita ili uchukue mzigo wako huu.
Master anasema hakuamini.
Walikuwa na moyo wa kutoa hao jama mtu na baba yake
🤣🤣🤣🤣 mimi siamini.Madam wakati anakwambia alikuwa na bwana ana maela punda habebi
Kakweli raha ya pesa kwa mwanaume uwahonge wanawake mpaka waseme baaasi, sema usje honga kama dallas wa wolperKabisa na moyo wa kuhonga wanao.
Nadhani iko ndani ya damu yao.
Motie ndo alikuwa anamuweka Sachko mjini na kumpa jina.
Madam unamwonaje wewe, hapo alikuwa tayar ana watoto wawili lakn anawaka kama vile kadondoshwa toka juu🤣🤣🤣🤣 mimi siamini.
Ni kweli anawaka.Madam unamwonaje wewe, hapo alikuwa tayar ana watoto wawili lakn anawaka kama vile kadondoshwa toka juu
Sema na wewe unakula maisha ndugu... Acheni kula nchi peke yenu hata sisi ni binadamu mjueNi kweli anawaka.
Mda kidofo nilikuwa namuona Lounge fulani masaki.
Anawaka hatariiiiii guu guuu.
ndio umesema kweli,ameandika hili pia kwenye kitabu chake.....
Kwenye huo huo msiba kuna wanafunzi walitoka shule na uniform wanalia sana kumbe walikuwa wanasomeshwa na Mutie, Mengi alikuwa hajui akashangaa.
Siyo maisha na msoto mkaliiiiiiii tumepitia.Sema na wewe unakula maisha ndugu... Acheni kula nchi peke yenu hata sisi ni binadamu mjue
Pain and gainSiyo maisha na msoto mkaliiiiiiii tumepitia.
Hivi huyu Madame ana mtoto mkuu?Madam ritha anakwambia ametembea hii dunia amekula raha kisa mzee mengi. Hakuna la kumshangaza mengi alimpeleka kote.
Anasema mengi alimpenda madam kisa tu walikuwa wanakutana gym hapo madam katoka zimbabwe masomoni anashangaa watu wanamshobokea mengi wakati yeye hajui hata mengi ni nani.
Mzee akajisogeza kwa madam, na madam anakwambia alikuwa na bwanake huyo foreigner ana ela kinoma anasukuma.ndinga za maana na bwanake hataki afanye kazi.
Mzee eti akamuuliza unanijua mimi nani, madam akamwambia skujui hata [emoji1787][emoji1787]
To cut the story short, madam anadai hatowahi kuja mpenda mwanaume kama alivyompenda mzee. Na anadai anajua hata mzee alikuwa nampenda mpaka nyakati za mwisho.
Anasema ana watoto wawili Ila Mimi nilimuona mmoja wa Kike. Ni mzuri Sana. Ila watoto wake ni nje ya Camera kabisa. Yani hutawadikia. Madam ana private life Sana siyo kama Yule Gold digger anataka kufilisi Mali za family. The Family fortune iliyopambaniwa decades ago anakuja Danga tu anataka kufilisi.Hivi huyu Madame ana mtoto mkuu?
🤣🤣🤣🤣 halafu leo hii Klyn anang'ang'ania mali zote anasahau kuna baraka na mikono ya watoto wa Mzee Mengi.ndio umesema kweli,ameandika hili pia kwenye kitabu chake
Yes, wawiliHivi huyu Madame ana mtoto mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahYaani mtu awe bilionea halafu asihonge wanadamu?!!!
Unataka ahonge majini?!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaahHawa ndio wale wanaokuwa mabilionea alafu wanajaza magari ya kifahara kumi. Wewe honga ule mbususu....sii u aona jamaa kabadilisha maisha ya hao warembo...mabilionea wanatakiwa kuwa na wake wengi ili kunufaisha jamiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila ritha ashukuru kapata mtaji wa BSS.Madam ritha anakwambia ametembea hii dunia amekula raha kisa mzee mengi. Hakuna la kumshangaza mengi alimpeleka kote.
Anasema mengi alimpenda madam kisa tu walikuwa wanakutana gym hapo madam katoka zimbabwe masomoni anashangaa watu wanamshobokea mengi wakati yeye hajui hata mengi ni nani.
Mzee akajisogeza kwa madam, na madam anakwambia alikuwa na bwanake huyo foreigner ana ela kinoma anasukuma.ndinga za maana na bwanake hataki afanye kazi.
Mzee eti akamuuliza unanijua mimi nani, madam akamwambia skujui hata [emoji1787][emoji1787]
To cut the story short, madam anadai hatowahi kuja mpenda mwanaume kama alivyompenda mzee. Na anadai anajua hata mzee alikuwa nampenda mpaka nyakati za mwisho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafuuu kuna limtu elf 10 tu linakua lichoyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimewaza hivyo pia mie.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] madam anazingua.
Ukute alienda kwenye hiyo gym purposely kwa ajili ya kumtega mzee wa watu..
Ila ndo hawezi kusema sasa....