Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Madam ritha anakwambia ametembea hii dunia amekula raha kisa mzee mengi. Hakuna la kumshangaza mengi alimpeleka kote.
Anasema mengi alimpenda madam kisa tu walikuwa wanakutana gym hapo madam katoka zimbabwe masomoni anashangaa watu wanamshobokea mengi wakati yeye hajui hata mengi ni nani.
Mzee akajisogeza kwa madam, na madam anakwambia alikuwa na bwanake huyo foreigner ana ela kinoma anasukuma.ndinga za maana na bwanake hataki afanye kazi.
Mzee eti akamuuliza unanijua mimi nani, madam akamwambia skujui hata [emoji1787][emoji1787]
To cut the story short, madam anadai hatowahi kuja mpenda mwanaume kama alivyompenda mzee. Na anadai anajua hata mzee alikuwa nampenda mpaka nyakati za mwisho.
Mimi na mengi inawezekana ni mapacha, tuliofanana kila kitu kasoro utajiri tuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Madam ritha anakwambia ametembea hii dunia amekula raha kisa mzee mengi. Hakuna la kumshangaza mengi alimpeleka kote.
Anasema mengi alimpenda madam kisa tu walikuwa wanakutana gym hapo madam katoka zimbabwe masomoni anashangaa watu wanamshobokea mengi wakati yeye hajui hata mengi ni nani.
Mzee akajisogeza kwa madam, na madam anakwambia alikuwa na bwanake huyo foreigner ana ela kinoma anasukuma.ndinga za maana na bwanake hataki afanye kazi.
Mzee eti akamuuliza unanijua mimi nani, madam akamwambia skujui hata 🤣🤣
To cut the story short, madam anadai hatowahi kuja mpenda mwanaume kama alivyompenda mzee. Na anadai anajua hata mzee alikuwa nampenda mpaka nyakati za mwisho.
Ila madam anatupiga za kichwa......
Eti alikuwa anampenda sana na hatowahi kuja mpenda mwanaune kama alivyompenda.
🤣🤣🤣 Hayo maneno yamekaa kimchongo zaidi
 
Amini nakuambia.
Wanaume wenye pesa na majina huwa wanategwa na kuwindwa sana ila hawajui kuwa wanawindwa.

Mwanaume anaingia king mwenyewe, anaanza mchakato kumbe mtu ametegwa akategeka.
Dada angu wewe unawawindia viwanja vipi....umeshajiokotea mmoja?!!!
 
Nakuja aunt,
Wee tajiri yupi na wa wapi?
Wajomba maresh gan bongo hii wana hela chafu hivyo?

Vidampa tunanyooshwa, mwenzetu lokole kahongwa harrier, hatupumui. Anasemaje sasa.
"Mtakesha na kuvizia hapo kidimbwi, elements, KFC, ila mie niko tu home ndinga inanifata enyewe" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kina delicious na kisura, pk kimodo walivoanza kumcharukia sasa mie hoi. Nimecheka mbavu cna. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
🤣
 
Nimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau, hata walivokutana tena mzee mengi hakuMkumbuka dokii

Miriam odemba wa tangazo la revola naye alikiri kupelekwa uingereza na mzee mengi kwenda kusomeshwa, na alivyofanya tangazo la revola Mengi alimpa pesa Ndefu hadi akaanza kuitumia kujenga nyumba

Hapo sijaongea Na sijajua madam ritha, na Kyln washahongwaga tshs ngapi na huyu mzee..

Kuna watu wanachapisha hela si wengine twatafta hela ya kula Yani unamuhonga mdada million 20, hlf mwaka ujao humkumbuki tena? Looh Sky Eclat
Sasa Cha ajabu nini hapo?kuonga au kiasi Cha pesa!!
Pesa huna wewe,wengine hizo ni vijisenti tu.
 
Nakuja aunt,
Wee tajiri yupi na wa wapi?
Wajomba maresh gan bongo hii wana hela chafu hivyo?

Vidampa tunanyooshwa, mwenzetu lokole kahongwa harrier, hatupumui. Anasemaje sasa.
"Mtakesha na kuvizia hapo kidimbwi, elements, KFC, ila mie niko tu home ndinga inanifata enyewe" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kina delicious na kisura, pk kimodo walivoanza kumcharukia sasa mie hoi. Nimecheka mbavu cna. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ziko you tube.... nashindwa kuweka wananitafakarisha sana.

Screenshot_20220408-235824_YouTube.jpg


Screenshot_20220408-235706_YouTube.jpg
 
Tafuta pesa acha tabia za kimaskini kujadili waliofanikiwa, unakuta mtu kapanga chumba kama stoo kafanikiwa kununua bando, badala ya bando lile kulitumia kutafuta fursa mtandaoni anamjadili Mengi, Manji, MO na wengine wa level hiyo
 
Back
Top Bottom