Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
ĺeehKakweli raha ya pesa kwa mwanaume uwahonge wanawake mpaka waseme baaasi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ĺeehKakweli raha ya pesa kwa mwanaume uwahonge wanawake mpaka waseme baaasi,
Video ya masterjay akisema hivi naipataje YouTube NafakaMotie ndie alimpa vifaa vya digital masterjay.
Masterjay anasema motie alikuja studio akawa anatazama anafanya production, akamuuliza hivi vifaa vya ksasa bei gani, master akamwambia pesa ndefu, motie akataka kukua uktaka kufungua inahtajika ninj na nini, master akataja. Ikapita muda, siku moja akamwita ofsini kwake, master kufika pale anaona mzigo wa vifaa akawaza huyu kumbe alitaka fungua studio ya kisasa atufunike. Wakapiga story master ikafika muda wa kuaga, motie ndo akasema halafu kidogo nisahau, nimekuita ili uchukue mzigo wako huu.
Master anasema hakuamini.
Walikuwa na moyo wa kutoa hao jama mtu na baba yake
Sahii kabisa[emoji4][emoji106]Kabisa mkuu, raha ya pesa uitumie sio unatafuta ela unaifunga izaane kama ng'ombe wa wamasai wa kitambo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaa
[emoji23][emoji23]Hawa ndio wale wanaokuwa mabilionea alafu wanajaza magari ya kifahara kumi. Wewe honga ule mbususu....sii u aona jamaa kabadilisha maisha ya hao warembo...mabilionea wanatakiwa kuwa na wake wengi ili kunufaisha jamiii
Madam RitaKwa mengi hio ni peanuts
Aliemfaidi Mengi ni Klyn
Kweli kabisaWeee kama kweli ameukata.
Kweli usililie uzuri lilia bahati.
Maua namuonaga ana sura personal sana
Ni kweli aseeeMwenyezi Mungu anapokuinua kifedha basi ujue ndani yake pia kuna "haki" za wengine....
Matajiri wanawasaidia sana dada zetu kuishi vyema mijini.....
[emoji108][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nashukuru nilimuwinda, ila hakujua kama nimemuwinda,
Kaninyooshea mambo yangu....
Vyote kafanya bwanaamengi hajaonga bali amesaidia
[emoji23][emoji23][emoji23]Alafu cha kushangaza huyo huyo aliyemtega eti anaaza kukasirika mwanamke mwengine akimtega huyo big boy wake
[emoji23][emoji23]kwannIla Dokii alikuwa ana mapepo kama ya mfalme Zumaridi wa Mwanza
Nyie ndio udhaifu wenu...mnataka already made hamuangalii potential. Wee tulia tuu maumivu yaingie vizuri[emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee najuta kuna mtu nilimkataa mwaka Jana,ningekuwa mbali sahibi looo
Khaaaa laki 2[emoji3]Kama bilionea mmoja wa kikenya marehemu sahivi, anaitwa Chris kirubi, alikuwa bahili hatari, alikuwa hahongi wadada kihivyo, mdada akihongwa sana ni laki 2 DeepPond