Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Motie ndie alimpa vifaa vya digital masterjay.
Masterjay anasema motie alikuja studio akawa anatazama anafanya production, akamuuliza hivi vifaa vya ksasa bei gani, master akamwambia pesa ndefu, motie akataka kukua uktaka kufungua inahtajika ninj na nini, master akataja. Ikapita muda, siku moja akamwita ofsini kwake, master kufika pale anaona mzigo wa vifaa akawaza huyu kumbe alitaka fungua studio ya kisasa atufunike. Wakapiga story master ikafika muda wa kuaga, motie ndo akasema halafu kidogo nisahau, nimekuita ili uchukue mzigo wako huu.
Master anasema hakuamini.
Walikuwa na moyo wa kutoa hao jama mtu na baba yake
Video ya masterjay akisema hivi naipataje YouTube Nafaka
 
Video ya masterjay akisema hivi naipataje YouTube Nafaka
Aisee sina hakika kama itakuwepo youtube, ila ilikuwa interview ya zamani sana master aliifanya radio free africa wakati bado hata kidbway hajaondoka hapo na mambo ya youtube hajapamba moto.
 
Hawa ndio wale wanaokuwa mabilionea alafu wanajaza magari ya kifahara kumi. Wewe honga ule mbususu....sii u aona jamaa kabadilisha maisha ya hao warembo...mabilionea wanatakiwa kuwa na wake wengi ili kunufaisha jamiii
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom