Atakuwa aliwapitia, akawaacha. Dokii alipojileta, mengi akajitia kumsahauKwa hayo maelezo ya dokii na miriam odemba mbona inaonekana kama mzee aliwasaidia tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa aliwapitia, akawaacha. Dokii alipojileta, mengi akajitia kumsahauKwa hayo maelezo ya dokii na miriam odemba mbona inaonekana kama mzee aliwasaidia tu.
Yaani mtu awe bilionea halafu asihonge wanadamu?!!!
Unataka ahonge majini?!!!!
Mkuu japo ni ya zamani lakn Ongeza nyama kidogo kwenye hiliKabisa na moyo wa kuhonga wanao.
Nadhani iko ndani ya damu yao.
Motie ndo alikuwa anamuweka Sachko mjini na kumpa jina.
AiseeNimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau, hata walivokutana tena mzee mengi hakuMkumbuka dokii
Miriam odemba wa tangazo la revola naye alikiri kupelekwa uingereza na mzee mengi kwenda kusomeshwa, na alivyofanya tangazo la revola Mengi alimpa pesa Ndefu hadi akaanza kuitumia kujenga nyumba
Hapo sijaongea Na sijajua madam ritha, na Kyln washahongwaga tshs ngapi na huyu mzee..
Kuna watu wanachapisha hela si wengine twatafta hela ya kula Yani unamuhonga mdada million 20, hlf mwaka ujao humkumbuki tena? Looh Sky Eclat
Nimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau, hata walivokutana tena mzee mengi hakuMkumbuka dokii
Miriam odemba wa tangazo la revola naye alikiri kupelekwa uingereza na mzee mengi kwenda kusomeshwa, na alivyofanya tangazo la revola Mengi alimpa pesa Ndefu hadi akaanza kuitumia kujenga nyumba
Hapo sijaongea Na sijajua madam ritha, na Kyln washahongwaga tshs ngapi na huyu mzee..
Kuna watu wanachapisha hela si wengine twatafta hela ya kula Yani unamuhonga mdada million 20, hlf mwaka ujao humkumbuki tena? Looh Sky Eclat
kila mwanaume anahongaNimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau, hata walivokutana tena mzee mengi hakuMkumbuka dokii
Miriam odemba wa tangazo la revola naye alikiri kupelekwa uingereza na mzee mengi kwenda kusomeshwa, na alivyofanya tangazo la revola Mengi alimpa pesa Ndefu hadi akaanza kuitumia kujenga nyumba
Hapo sijaongea Na sijajua madam ritha, na Kyln washahongwaga tshs ngapi na huyu mzee..
Kuna watu wanachapisha hela si wengine twatafta hela ya kula Yani unamuhonga mdada million 20, hlf mwaka ujao humkumbuki tena? Looh Sky Eclat
Mengi kawakunguta sana
Nakumbuka nlipokuwa nakutana naye
Sea cliff mzee anakuja kwenye massage ahh Acha bana
Sema mengi alikuwa mtu poa sana ukipata wasaa wa kuongea naye mtaongea mtacheka...
Na akiondoka hakuachi hivi hivi
Ova
Hadi saivi roho yake ni nzuri ndo maana watu wengi tunaendelea kufaidi jitihada zakeAlikuwa ana roho nzuri
AiseeHadi saivi roho yake ni nzuri ndo maana watu wengi tunaendelea kafaidi jitihada zake
Saguda de 47 Saguda47 the woodpecker amelikeWanaume wote wanahonga tunazidiana viwango tu
Ila mwanaume ukiwa na hela hivyo ndio unatakiwa kuishi unahonga na kugonga na kuacha nakusahau kabisa nakuendelea na wengine wageni no permanent relationship. Tena unabagua tu wenye chura. Hakuna kupoteza hela zako kwa maflat screen.Kila mtu ana honga kutokana na level yake
Kwani we hajawahi kuhonga?
Ova
Hakuna haja ya kuoa utagongewa na hela zako kwenda kwa wanaume wengine.Sasa jamani mtu una mabilion ya pesa kweli do u thonk its a lrudent way to spend that money just parking expensive cars while u can marry four to six wives ukanifaisha familia sita na marafiki zao?
Tuache ubinafsi
niwekee ile video ile shule ya kikobazi wakibambiana ukutani niliifuta bahati mbaya
Wee nafaka hz hbr za uongo na uzushi umetoa wapi je ulikuwepo kwenye walivyo kuwa wanaongea rumitha alikuambiaaMadam ritha anakwambia ametembea hii dunia amekula raha kisa mzee mengi. Hakuna la kumshangaza mengi alimpeleka kote.
Anasema mengi alimpenda madam kisa tu walikuwa wanakutana gym hapo madam katoka zimbabwe masomoni anashangaa watu wanamshobokea mengi wakati yeye hajui hata mengi ni nani.
Mzee akajisogeza kwa madam, na madam anakwambia alikuwa na bwanake huyo foreigner ana ela kinoma anasukuma.ndinga za maana na bwanake hataki afanye kazi.
Mzee eti akamuuliza unanijua mimi nani, madam akamwambia skujui hata [emoji1787][emoji1787]
To cut the story short, madam anadai hatowahi kuja mpenda mwanaume kama alivyompenda mzee. Na anadai anajua hata mzee alikuwa nampenda mpaka nyakati za mwisho.