Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu aliyeelimika vizuri atajiongoza vyema
Akili yako imeishia kwenye kuajiriwa...kwa kuwa umepata elimu mbovuHamna kitu hapo; tutapambana nao kwenye hizi nafasi chache za tamisemi; usikubali uingie mtego wa kuwekeza gharama kubwa, ile ni biashara mkuu; wekeza gharama kubwa kama anaenda kusoma chuo cha nje mfano Oxford, Harvard na asome fani technical zenye tija, sio mambo ya history, sociology n.k.
Ipande tu tubaki wachacheSerikali haina budi kufanya lolote liwezekanalo kufanya Shule hizi za private zisipandishe ada kiholela. Zinaweza zikapunguziwa gharama za uendeshaji ili ziwe na nafuu kwa malipo huko serikali.
Baadhi ya Shule vikao vishaanza. Kuna ongezeko la ada la kutisha na wanajiamulia wenyewe kwa utetezi kwamba gharama za maisha zimepanda. Sina shaka na hili kwani sote, ni mashahidi. Vitu havinunuliki.
Njia pekee ni serikali kuzipunguzia Shule hizi mzigo Wa kodi.
Sijui itakuwaje JANUARY!!? Au wazazi wenzangu mnasemaje!? Tupeleke watoto Kayumba!!!
Kwaio mzee inawezekana haujasimama vizuri kwenye maisha jipange msomeshe mtoto shule bora kua na masters sio hata tija..shule za private mtoto anapata na exposure hawezi kua mzembe mzembe...🤣🤣🤣Mpeleke mtoto shule za serikali na uwe unamkagua na kumfanyia usimamizi, inatosha kabisa.
Wanangu wanasoma Kayumba nawakagua, vitabu vyote nimewanunulia.
Na ratiba ya kusoma nimewapangia kuanzia 7:00 hadi saa 8:30 usiku niwakute mezani. Saa 8:30 hadi saa 9:00 kula.
Saa 9:30 wawe kitandani. Tamthilia wataangalia wiki endi.
Sisi wazazi wao tumesoma shule hizo hizo za St Kayumba na leo tuna masters, na mambo yanaenda.
Wengine wanapeleka watoto huko academy kufuata mkumbo tu. Hasa wazazi wasiosoma shule wazazi wenye elimu ndogo, wazazi vilaza, wanajivunia mtoto kuongea ze ze wanaona ndio mwanao anapaata elimuu.
Hitimisho kama uwezo unaruhusu mpeleke, lakin kama wewe mwenyewe kodi inakushinda halafu unakuja kutupigia kelele hapa.
Hao wanaonunua syllabus kwa 2m ni sababu wazazi wao wanamudu kulipa..tukija kwenye ajira hao wa private wengi hu opt kwenda private wakati waliosoma shule za umma huamini kwa public employment ndo kila kitu...nkt hao wengine exposure inawawezesha kujua public employment haina issue yoyote...90% ya wanaolalamikia ajira za serikali wamesoma shule za serikali waliopiga private education hawataki hata kuzisikia hizo ajira za serikali za 900k kwa mwezi...🤣🤣😍Nakuelewa lazima ulinde ugali wako.
Safari ya elimu Tanzania wanaofanya vizuri darasani vyuo vikuu huwa wanakutana udsm,mzumbe na Muhas .. haijalishi umesoma kayumba ama shule zenu za kina junior
Nenda udsm hata leo hii kafanye research wangapi wamesoma kayumba primary na wangapi wamesoma shule zenu za kinyonyaji..
Elimu ni content na sylabus sio lugha peke yake....
Mtoto wa shule ya msingi Madenge anafundishwa same sylabus yenye content hizo hizo ambazo wa tusiime primary school anafundishwa tofauti ni lugha ya kufundishia tu.
Sasa why ununue same content kwa bei ya milioni 2. Wakati mwenzako anazipata bure... na mwisho wa siku baada ya kidato cha sita hao wa madenge na tusiime wote wanakutana udsm na kwenye ajira za utumishi na mshahara sawa sawa
Sasa mkuu kama ni same content ...kwanini Private schools ndio zinaongoza mitihani ya kitaifa!!?Mtoto wa shule ya msingi Madenge anafundishwa same sylabus yenye content hizo hizo ambazo wa tusiime primary school anafundishwa tofauti ni lugha ya kufundishia tu.
Sasa why ununue same content kwa bei ya milioni 2. Wakati mwenzako anazipata bure... na mwisho wa siku baada ya kidato cha sita hao wa madenge na tusiime wote wanakutana udsm na kwenye ajira za utumishi na mshahara sawa sawa
Wengi waliojiajiri na wenye makampuni makubwa duniani, wana elimu za kawaida tu; kwa hiyo elimu si kigezoAkili yako imeishia kwenye kuajiriwa...kwa kuwa umepata elimu mbovu
Ni sawa na kuku wa kienyeji anayejitafutia chakula chake mwenyewe vs kuku wa kisasa anayeletewa chakula; yule wakisasa atanona tuSasa mkuu kama ni same content ...kwanini Private schools ndio zinaongoza mitihani ya kitaifa!!?
Serikali haina budi kufanya lolote liwezekanalo kufanya Shule hizi za private zisipandishe ada kiholela. Zinaweza zikapunguziwa gharama za uendeshaji ili ziwe na nafuu kwa malipo huko serikali.
Baadhi ya Shule vikao vishaanza. Kuna ongezeko la ada la kutisha na wanajiamulia wenyewe kwa utetezi kwamba gharama za maisha zimepanda. Sina shaka na hili kwani sote, ni mashahidi. Vitu havinunuliki.
Njia pekee ni serikali kuzipunguzia Shule hizi mzigo Wa kodi.
Sijui itakuwaje JANUARY!!? Au wazazi wenzangu mnasemaje!? Tupeleke watoto Kayumba!!!
Kwa hili napinga hii ipo kwa shule zote la muhimu nikuwaombea watoto wetu wawe na hofu ya Mungu na pia kuongea nao... Nina watoto ninao wafahamu wapo shule za kawaida wengine walianza kusagana darasa la 4 mzazi amekuja kugundua mtoto yuko la saba. Walimu wanasema hawana cha kufanya maana watoto wengi katika hiyo shule wako hivyo..Na shule nyingi za English medium watoto wengi wanaanza kuaribikia huko na ushoga na usagaji unaanzia huko nimeshaona mifano mingi na mwisho wa siku mzazi unaanzia kulalamika mtoto ameharibika na kumbe wewe ndio chanzo
Wana elimu nzuriWengi waliojiajiri na wenye makampuni makubwa duniani, wana elimu za kawaida tu; kwa hiyo elimu si kigezo
Braza mahindi kilo ni 1500, maharagwe kilo ni 3400, mchele kilo ni 2800.Serikali haina budi kufanya lolote liwezekanalo kufanya Shule hizi za private zisipandishe ada kiholela. Zinaweza zikapunguziwa gharama za uendeshaji ili ziwe na nafuu kwa malipo huko serikali.
Baadhi ya Shule vikao vishaanza. Kuna ongezeko la ada la kutisha na wanajiamulia wenyewe kwa utetezi kwamba gharama za maisha zimepanda. Sina shaka na hili kwani sote, ni mashahidi. Vitu havinunuliki.
Njia pekee ni serikali kuzipunguzia Shule hizi mzigo Wa kodi.
Sijui itakuwaje JANUARY!!? Au wazazi wenzangu mnasemaje!? Tupeleke watoto Kayumba!!!
Sasa mbona mnalalamika wanapandisha Ada huku mna uwezo wa kulipa , sasa lawama za nini c mlipe tuWewe uwezo ndo unao kusumbua tu hamna lolote sabb zako hazina mashiko
Sasa mkuu kama ni same content ...kwanini Private schools ndio zinaongoza mitihani ya kitaifa!!?
Peleka kayumba mkuu , yaani serekali iingilie shule za private wakati serekali yenyewe inasimamia shule zake ambazo Ada ni bure .Serikali haina budi kufanya lolote liwezekanalo kufanya Shule hizi za private zisipandishe ada kiholela. Zinaweza zikapunguziwa gharama za uendeshaji ili ziwe na nafuu kwa malipo huko serikali.
Baadhi ya Shule vikao vishaanza. Kuna ongezeko la ada la kutisha na wanajiamulia wenyewe kwa utetezi kwamba gharama za maisha zimepanda. Sina shaka na hili kwani sote, ni mashahidi. Vitu havinunuliki.
Njia pekee ni serikali kuzipunguzia Shule hizi mzigo Wa kodi.
Sijui itakuwaje JANUARY!!? Au wazazi wenzangu mnasemaje!? Tupeleke watoto Kayumba!!!