Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mtoto koomah huyo, yani humu watu wanajitutumua kweli kumbe wengi maskini wenzetu tu. Haina haja ya mtu kujimaliza eti unapambana na ada za shule za mamilion badala ya kumuwekezea mtoto mali.Kwahiyo Mimi nawewe Nani anajua zaidi kuwa huyo alikopa kwajili ya kitu gani Kati ya hivyo?
Maana ni jirani yangu na Ni mshkaji pia.