Private schools (English medium) ada kupanda maradufu 2023. Serikali iingilie kati

Private schools (English medium) ada kupanda maradufu 2023. Serikali iingilie kati

Serikali haina budi kufanya lolote liwezekanalo kufanya Shule hizi za private zisipandishe ada kiholela. Zinaweza zikapunguziwa gharama za uendeshaji ili ziwe na nafuu kwa malipo huko serikali.

Baadhi ya Shule vikao vishaanza. Kuna ongezeko la ada la kutisha na wanajiamulia wenyewe kwa utetezi kwamba gharama za maisha zimepanda. Sina shaka na hili kwani sote, ni mashahidi. Vitu havinunuliki.

Njia pekee ni serikali kuzipunguzia Shule hizi mzigo Wa kodi.

Sijui itakuwaje JANUARY!!? Au wazazi wenzangu mnasemaje!? Tupeleke watoto Kayumba!!!
Unachotaka ni mtoto asome shule ya ghali au afaulu masomo yake?
 
Peleka kayumba mkuu , yaani serekali iingilie shule za private wakati serekali yenyewe inasimamia shule zake ambazo Ada ni bure .
Kumpeleka mtoto wako private ni kihere here chako tu, Kama huwezi mpeleke kayumba acha kulalamika , waachie wenye uwezo waende private
Dahh!!! Wacha tuone kwanza.
 
Back
Top Bottom