Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

Uongo mtupu.

Dunia hii kuna wanaume haswa ambao hawaogopi majukumu. Na wanachukulia kuleta mtoto kama kitu Cha kawaida tu.

ni mwanaume/vijana ambao wamebalehe lakini wamekataa kukua kiakili na kimwili. Ndio wanaokimbia majukumu.

afrodenzi!!!!!!!!! ni wewe kweli? long time aisee...long time...how have you been!??
 
Mbona mie shoga yangu kaolewa na Dr. Tena kijana tu wa miaka 30's. Alizalishwa akiwa na miaka 23 binti yake ana miaka 4. Tusikalili ndio maana waswahili walisema ukipenda boga penda na ua lake. After all kuzaa sio hoja tabia matters
 
Umeongea Pumba ambazo hazina faida, yani Pumba ambazo hata kuku huwezi kula, Am single mom, Sitaki kijana, eti age mate, namtaka anaenizidi hata miaka 20 ili niwalee hao watoto wake ninaolingana nao.
NATAMANI KUTUKANA MMMXXXXIIIEEEEEWWWW
 
Asanteeee.
Single mom's oyeeeeee
Tena najivunia sana tu kuzaa mapema.
 
Yan wakaka baana kujiona wao ndo kila kitu anaolewa mtu na watoto wa2 au wa3 sembuse mmoja afu kaa ukijua kila kitu n mipango ya Mungu binadam kaz yao n kuongea afu hamnaga mtoto acye na baba... Wote wana baba zao labda wew ndo huna.! Kiaz wee
 
w
 
Kusema kweli tu kua single mother ni kukosea step ishu sio kuogopa majukumu wala nini ishu tu siwezi kuoa single mother labda na mm nikutwe na majanga ila hvhv hapana
 
Akili zako fupi, nina wasiwasi na kimo chako pia, hakuna wanawake wanajua kutafuta pesa kama single mamas kwa Taarifa yako, naweza kuolewa na nisitegemee hata shiringi Mia ya mwanaume kuhudumia mwanangu.
 
Akili zako fupi, nina wasiwasi na kimo chako pia, hakuna wanawake wanajua kutafuta pesa kama single mamas kwa Taarifa yako, naweza kuolewa na nisitegemee hata shiringi Mia ya mwanaume kuhudumia mwanangu.
Ishu sio pesa ishu picha halinogi naanza na life na single mama wakat wadada single wapo
 
we
wewe wasema
Yan wakaka baana kujiona wao ndo kila kitu anaolewa mtu na watoto wa2 au wa3 sembuse mmoja afu kaa ukijua kila kitu n mipango ya Mungu binadam kaz yao n kuongea afu hamnaga mtoto acye na baba... Wote wana baba zao labda wew ndo huna.! Kiaz wee
nimeipenda hyoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…