Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

Anaweza kuolewa kama atatulia na anaweza kukutana na mkongwe mwezie aliyeshindikana kama yeye ila asije akaweka mbele maharusi ya kupigiwa matarumbeta eti ! anamerere me!! wakati mmeremeto ulishakwisha. Avumilie tuu kwa kuwa alishaaribu avutwe kienyeji basi aendeleze maisha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Humu jamii forum raha sana
 
Yan wakaka baana kujiona wao ndo kila kitu anaolewa mtu na watoto wa2 au wa3 sembuse mmoja afu kaa ukijua kila kitu n mipango ya Mungu binadam kaz yao n kuongea afu hamnaga mtoto acye na baba... Wote wana baba zao labda wew ndo huna.! Kiaz wee
Team Povuuu at work
 
Nimevamia Fani kivipi? Mimi na wewe tunamuomba nani atujaalie na kutufanikishia mambo yetu zaidi ya Allah aliyemkuu kuliko viumbe vyote
Ww leo umeomba mumeo asigundue km umeuza mechi
 
Albino hana tatzo hata mlemavu hana tatzo kibaya ni kuzaa kabla ya ndoa kwanza hata family yenu umeidhalilisha kama wew ni first born umewafungulia njia mbaya wenzio wa kike ni full kuongeza mizigo nyumbani
Aisee Leo single mothers wataisoma number
 
Ww leo umeomba mumeo asigundue km umeuza mechi
Na hato gundua maana wanaume karibu wote mama yenu ni mmoja kasoro matumbo, ufahari wenu ni kuwakandamiza wengine huku nyie mkijipa faraja kuwa bora kuwa na huyu kuliko yule huku ukiwa hujui nini kitakutokea ikiwa mambo yatabadilika Mbele ya safari ukiwa na uyo unayempa sifa, wamama tuliopo kwenye ndoa tuna siri nyingi sana juu ya hawa watoto ila hamjui tu
 
Na hato gundua maana wanaume karibu wote mama yenu ni mmoja kasoro matumbo, ufahari wenu ni kuwakandamiza wengine huku nyie mkijipa faraja kuwa bora kuwa na huyu kuliko yule huku ukiwa hujui nini kitakutokea ikiwa mambo yatabadilika Mbele ya safasi ukiwa na uyo unayempa sifa, wamama tuliopo kwenyr ndoa tuna siri nyingi sana juu ya hawa watoto ila hamjui tu
Ww ni bingwa kuchepuka?!...sasa si bora usingeolewa tu
 
Afu wanaume wanajiona watakatiiiifu ila duh acha tu, kwaiyo hao mnaoona kuwa ni wabichi wametupa wangapi? Hiyo haimfanyi mtu kutoitwa mama maana tayar alishatoa ispokuwa anabak kuwa mama wa asiyeonekana
Ila alietoa rubber yake si kama aliezaa mtoto kilo 5 huyu bado yadai kwa sisi vidume
 
Yani ww unakua excited kupata 1st born wakati mwenzio hana habari alishaanza kuisoma namba mapema kabla yako
 
Yani ww unakua excited kupata 1st born wakati mwenzio hana habari alishaanza kuisoma namba mapema kabla yako
Hili ni tatizo

My mom aliniambia!
Na hili ni kwa wote wanawake /wanaume sio wanawake tu
 
Kwa wote wanaume /wanawake
Cha ajabu sikujiz km fashen kuzaa ,watt wadogo wanazaa na ma boyfrind ,aisee!
 
Back
Top Bottom