Prof. Anna Tibaijuka haziivi na Rais Samia?

Prof. Anna Tibaijuka haziivi na Rais Samia?

Ghafla tu Profesa Anna Tibaijuka kawa mkosoaji wa sera za Samia isivyotarajiwa!

Mengi ya maandiko yake kwa siku za hivi karibuni yanaonyesha kupinga waziwazi sera za uwekezaji za Samia.

Je, Anna ndiyo wale tuliowangojea ama tusubiri wengine?
Acha kupotosha onyesha wapi kapinga Sera zake zaidi ya kupinga kuzwa ka bandari zetu,

Ukiona mtu anapongeza au anapiga debe bandari zetu ziuzwe ujue sio mtanzania au ana uraia pacha.
 
Ghafla tu Profesa Anna Tibaijuka kawa mkosoaji wa sera za Samia isivyotarajiwa!

Mengi ya maandiko yake kwa siku za hivi karibuni yanaonyesha kupinga waziwazi sera za uwekezaji za Samia.

Je, Anna ndiyo wale tuliowangojea ama tusubiri wengine?
Acha majungu wewe,kwani Samia kazuia mtu kujadili?watu wako huru na uhuru huu kauruhusu yeye mwenyewe....
 
Tibaijuka huyu huyu aliyelamba mabilioni ya escrow huku akijinasibu kwamba ni hela ya mboga?

Hivi uzalendo hasa ni nini?

Mzalendo ni nani hasa?

Kwani shetani hawezi kuwa malaika baada ya kuokoka?

Mzalendo ni yyte anayevaa tai ya bendera ya taifa huku ana misuse public funds
 
Prof. Tibaijuka hana shida na Mama, naamini wanapendana.

Prof. yeye anaongelea mapungufu aliyoyaona kama yeye yaliyopo kwenye mkataba na kama kweli hayo mapungufu yapo na Mama hakuweza kuyaona na kama atayapitia vizuri akiwashirikisha wataalam wa mikataba wenye nia nzuri na nchi yetu basi atayafanyia kazi.
 
Kwani shetani hawezi kuwa malaika baada ya kuokoka?

Mzalendo ni yyte anayevaa tai ya bendera ya taifa huku ana misuse public funds
Kama kweli kaokoka arejeshe hadharani pesa yote ya walipa kodi aliyojipatia kinyume na utaratibu kisha ajivike koti la utakatifu.

Unachanganya mambo mawili ambayo hayachangamani. Ya kaisari yabaki kwa kaisari na ya Mungu yabaki kwa Mungu.
 
Pamoja na yote,hawez kukubari,wazanzibar wauze bandari yetu wakati ya kwao wameiyacha,kama kweli inamanufaa waweke na zanzibar
#kataa Muungano,Muungano ni utapel
 
Kama kweli kaokoka arejeshe hadharani pesa yote ya walipa kodi aliyojipatia kinyume na utaratibu kisha ajivike koti la utakatifu.

Unachanganya mambo mawili ambayo hayachangamani. Ya kaisari yabaki kwa kaisari na ya Mungu yabaki kwa Mungu.

Wewe ndiye unachanganya...

Sisi tunaangalia ni nini kimesemwa na siyo nani kasema.
 
Ghafla tu Profesa Anna Tibaijuka kawa mkosoaji wa sera za Samia isivyotarajiwa!

Mengi ya maandiko yake kwa siku za hivi karibuni yanaonyesha kupinga waziwazi sera za uwekezaji za Samia.

Je, Anna ndiyo wale tuliowangojea ama tusubiri wengine?
Mkiristo,kapewa maagizo na viongozi wake wa dini
 
Back
Top Bottom