inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mazuzu ni yale majitu yenye chuki za kidiniZuzu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazuzu ni yale majitu yenye chuki za kidiniZuzu.
Tumemugeuka saangapiiii?Acheni uchonganishi, issue kubwa ni mkataba wa bandari, waliomuunga mkono wengi hata humu wamemgeuka. Mama Tibaijuka hakuna sehemu anagombana na mama, mara zote amepinga huu mkataba kwa hekima kubwa.
Na ndiyo uzee na ubibii huo tunaouhitaji🤣🤣Labda anatanguliza uzalendo kwanza halafu Samia baadaye
Wacheni kupotosha ,hakuna mkataba wa milele.Tatizo ni mkataba mbovu.
Halafu Anna ni Profesa wa kusoma darasani sio huyo fom foo feilia aliyepewa PHd na msoga gang.
Profesa wa kusoma darasani ambaye ni mzalendo hawezi kubali mkataba wa milele.
amekosoa nini hapo?Ghafla tu Profesa Anna Tibaijuka kawa mkosoaji wa sera za Samia isivyotarajiwa!
Mengi ya maandiko yake kwa siku za hivi karibuni yanaonyesha kupinga waziwazi sera za uwekezaji za Samia.
Je, Anna ndiyo wale tuliowangojea ama tusubiri wengine?
Pia soma
View attachment 2662100
- Anna Tibaijuka: Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential, tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga!
- Prof Tibaijuka amhoji Spika. Ataka kujua Je Bunge ndo limeridhia Mkataba wa Bandari na imeisha hiyo au kuna maboresho yoyote katika mkataba wa msingi?
Ghafla tu Profesa Anna Tibaijuka kawa mkosoaji wa sera za Samia isivyotarajiwa!
Mengi ya maandiko yake kwa siku za hivi karibuni yanaonyesha kupinga waziwazi sera za uwekezaji za Samia.
Je, Anna ndiyo wale tuliowangojea ama tusubiri wengine?
Pia soma
View attachment 2662100
- Anna Tibaijuka: Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential, tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga!
- Prof Tibaijuka amhoji Spika. Ataka kujua Je Bunge ndo limeridhia Mkataba wa Bandari na imeisha hiyo au kuna maboresho yoyote katika mkataba wa msingi?
Yeyote asiye Chawa lazima ahoji hayo maswali. Ukiwa mkweli pia hutakaa kimya Bandari kuuzwaGhafla tu Profesa Anna Tibaijuka kawa mkosoaji wa sera za Samia isivyotarajiwa!
Mengi ya maandiko yake kwa siku za hivi karibuni yanaonyesha kupinga waziwazi sera za uwekezaji za Samia.
Je, Anna ndiyo wale tuliowangojea ama tusubiri wengine?
Pia soma
View attachment 2662100
- Anna Tibaijuka: Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential, tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga!
- Prof Tibaijuka amhoji Spika. Ataka kujua Je Bunge ndo limeridhia Mkataba wa Bandari na imeisha hiyo au kuna maboresho yoyote katika mkataba wa msingi?
Mwenzetu upo Milembe? Hoja hapa ni BandariTibaijuka huyu huyu aliyelamba mabilioni ya escrow huku akijinasibu kwamba ni hela ya mboga?
Hivi uzalendo hasa ni nini?
Mzalendo ni nani hasa?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Afu huyo Form Four failure ndio RAIS, na AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA au sio?Tatizo ni mkataba mbovu.
Halafu Anna ni Profesa wa kusoma darasani sio huyo fom foo feilia aliyepewa PHd na msoga gang.
Profesa wa kusoma darasani ambaye ni mzalendo hawezi kubali mkataba wa milele.
Kumbe wanaompinga Samia ni wale ambao haziivi na rais? Mtajulikani taratibu kutoka kuwa wazalendo kuwa wapinga maendeleoGhafla tu Profesa Anna Tibaijuka kawa mkosoaji wa sera za Samia isivyotarajiwa!
Mengi ya maandiko yake kwa siku za hivi karibuni yanaonyesha kupinga waziwazi sera za uwekezaji za Samia.
Je, Anna ndiyo wale tuliowangojea ama tusubiri wengine?
Pia soma
View attachment 2662100
- Anna Tibaijuka: Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential, tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga!
- Prof Tibaijuka amhoji Spika. Ataka kujua Je Bunge ndo limeridhia Mkataba wa Bandari na imeisha hiyo au kuna maboresho yoyote katika mkataba wa msingi?
Pamoja na vyeo vyote hivyo ila hana akili hata kidogo.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Afu huyo Form Four failure ndio RAIS, na AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA au sio?
Tibaijuka hadi ana kifo chake hatokaa awe hata Waziri Mkuu.
Huyo mama ni timu karamagi lazima apingeInasemekana analalamika kwakuwa mshakaji wake nasri karamagi amefukuzwa bandari kwa utapeli wake wa kihaya anataka kutapeli serekali
"Maendeleo ni matokeo chanya ya kuzifanyia kazi changamoto zitokanazo na Wakosoaji na siyo uwingi wa Wafuasi".Ghafla tu Profesa Anna Tibaijuka kawa mkosoaji wa sera za Samia isivyotarajiwa!
Mengi ya maandiko yake kwa siku za hivi karibuni yanaonyesha kupinga waziwazi sera za uwekezaji za Samia.
Je, Anna ndiyo wale tuliowangojea ama tusubiri wengine?
Pia soma
View attachment 2662100
- Anna Tibaijuka: Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential, tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga!
- Prof Tibaijuka amhoji Spika. Ataka kujua Je Bunge ndo limeridhia Mkataba wa Bandari na imeisha hiyo au kuna maboresho yoyote katika mkataba wa msingi?