Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Sio Mama tena ni Bibi? [emoji23]Kwa hiyo kupinga vifungu vya kijuha alivyovikubali huyo bibi yenu ni kosa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Mama tena ni Bibi? [emoji23]Kwa hiyo kupinga vifungu vya kijuha alivyovikubali huyo bibi yenu ni kosa?
Acheni uchonganishi, issue kubwa ni mkataba wa bandari, waliomuunga mkono wengi hata humu wamemgeuka. Mama Tibaijuka hakuna sehemu anagombana na mama, mara zote amepinga huu mkataba kwa hekima kubwa.
Hana nia nzuri hata moja. Arudishe pesa za mboga kwanza.Kwa nini usifikiri kwamba Mh Anna ana nia nzuri na Tanzania kuhusu huo mkataba? Kwani ni lazima kuwa na ugomvi kutetea jambo sahihi?
Karamagi hajawahi kumiliki TictsView attachment 2664321
Hamna hekima yoyote,huyo mama ni mmoja waliokua wamiliki wa ticts yeye na mhaya mwenzake karamagi lao 1,lazima wapotoshe ili kutetea maslahi yao
Samia anauza nchi unataka Prof.Tibaijuka akae kimya?una akili wewe?Ghafla tu Profesa Anna Tibaijuka kawa mkosoaji wa sera za Samia isivyotarajiwa!
Mengi ya maandiko yake kwa siku za hivi karibuni yanaonyesha kupinga waziwazi sera za uwekezaji za Samia.
Je, Anna ndiyo wale tuliowangojea ama tusubiri wengine?
Pia soma
View attachment 2662100
- Anna Tibaijuka: Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential, tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga!
- Prof Tibaijuka amhoji Spika. Ataka kujua Je Bunge ndo limeridhia Mkataba wa Bandari na imeisha hiyo au kuna maboresho yoyote katika mkataba wa msingi?
Karamagi ana hisa 35% ticts na ndio mshirika wa mama wa vijisent vya mbogaKaramagi hajawahi kumiliki Ticts
Acheni uwongo. Prof. Tibaijuka alichota pesa kutoka wapi? Yeye alichangiwa milioni 10 kwaajili ya shule yake. Akaitolea taarifa, akalipa na kodi. Yalipotokea maneno kuwa pesa ile ilikotokea haikuwa halali, akairudisha. Sasa kosa lake lilikuwa ni lipi?Huyu aliyekuwa akizichota wakati ule, ghafla kawa mzalendo? Anyways, watu huwa wanabadilika buana.
Humu kweli tuna mambumbumbu wa kupindukia ambayo hayajui hata tofauti ya milioni na bilioni.Tibaijuka huyu huyu aliyelamba mabilioni ya escrow huku akijinasibu kwamba ni hela ya mboga?
Hivi uzalendo hasa ni nini?
Mzalendo ni nani hasa?
Teuzi !!Ghafla tu Profesa Anna Tibaijuka kawa mkosoaji wa sera za Samia isivyotarajiwa!
Mengi ya maandiko yake kwa siku za hivi karibuni yanaonyesha kupinga waziwazi sera za uwekezaji za Samia.
Je, Anna ndiyo wale tuliowangojea ama tusubiri wengine?
Pia soma
View attachment 2662100
- Anna Tibaijuka: Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential, tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga!
- Prof Tibaijuka amhoji Spika. Ataka kujua Je Bunge ndo limeridhia Mkataba wa Bandari na imeisha hiyo au kuna maboresho yoyote katika mkataba wa msingi?