Aisee,this is a turnaround.Ngoja tusubiri,tutasikia mengi.Hypocrites have been loosened.
Mimi hua najiuliza, hivi kukopa kumbe ni sifa.Sijawahi kufikiri. hivyo,na sitakuja kufikiri.Siku zote nitaamini kwamba kukopa ni aibu,na the reverse is actually true.Jambo la msingi la kutambua ni kwamba akopaye ameshindwa maisha,kwa hiyo ni mjinga kiasi fulani.Hata vitabu vya dini,Biblia kwa mfano inasema,"akopaye ni mtumwa wa akopeshaye!"Sasa commonsense inaniambia kwamba hakuna mtu apendaye utumwa.
Lakini kwa nini watu wameangukia kwenye mitego ya Shetani na kukubali mifumo yake.The answer is simple,wamemuacha Mungu,kwa hiyo wanatumia akili zao,bila kuongozwa na Mungu katika kufanya mambo yao.This has made it possible for Satan to have a foothold in their lives,including Professor Assad.Hivi kama nina hela kwa nini nikope,nitalipa baadae anyway.Kwani kukopa ni sifa.Funny.