Prof. Assad: Ni wajinga tu ndio wanaonunua ndege kwa cash

Prof. Assad: Ni wajinga tu ndio wanaonunua ndege kwa cash

Tutawapa nyie mataga msafirie nazo kwenda chato taifa liachane na biashara kichaa
Twende tu ula ifafika wakati tutaanza kuukizia zile ndege zetu alizotuachia Magufuli zote zimeuzwa na mafisadi. Hapo ndo tutataka kujua kati ya Mshamba na ao wenyewe elimu kubwa waliostarabika nani alikuwa na Maarifa?
 
Huyu mzee presentation yake kwa wanaoelewa kiingereza ni muhimu sana kuitazama. Ameonyesha matatizo tuliyonayo waafrika exactly. Ni aibu tulikua juu ya nchi nyingi za Asia kiuchuki miaka ya 1960 leo hii tupo palepale wao wamekua haraka mno. Waafrika mmelaaniwa Tanzania ina vilaza wengi mno
Hivi unafikiri Assad ukimpa Nchi ndo hakutokuwa na watu wanapiga hizo hela chini? Unafikiri ndo ataweka mikataba wazi? Unafikiri atafanya nini ili kuifikia ata China mnayosema mlikuwa sawa kwenye miaka 60?

Leo mnatamani kuzifikia China kiuchumi..!! Utaweza wewe mlalamishi kufunga mikanda kama waliyofunga China mpaka wakafikia maendeleo ayo? Au unadhani EROUPE imejengajwe? Au America imejengajwe? Kaa chini tuliza tako we unaendhani wenzetu walijenga nchi zao kwa kidai mishahara sijui na upupu wenu mnaona una faida kwa sana kuliko kuzijenga nchi zao.
 
Ndege zisizo za keshi ndizo huingiza faida??
Hajamaanisha faida au hasara ya biashara ya ndege.
Ameongelea taratibu sahihi za uwekezaji katika biashara ya ndege duniani kote.
 
Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:

Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."


Mzee alikuwa na mengi sn moyoni lakini alishindwa kusema ukweli
 
Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:

Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."


Anaweza asiwe mjinga bali ni katika kutimiza msemo wa "Chukua Chako Mpema".
 
Nawaza isakwe akaunti yake labda uganda, rwanda au hata zimbabwe ela zirudishwr ziwafae watanzania, lazima uyu msukuma ameficha madola somewhere
Ilikuwa ushamba sababu jamaa alikuwa hajui kuiba kwa akili, pia alizoea kuwa kama papaa so unajua ndugu zetu wa huko kidogo mambo ya mjini na ujanja umewapita kushoto ? No wonder alikuwa anatembea na fuko la hela kila anapoenda na kugawa kama kina papaa Msofe
 
Aisee,this is a turnaround.Ngoja tusubiri,tutasikia mengi.Hypocrites have been loosened.

Mimi hua najiuliza, hivi kukopa kumbe ni sifa.Sijawahi kufikiri. hivyo,na sitakuja kufikiri.Siku zote nitaamini kwamba kukopa ni aibu,na the reverse is actually true.Jambo la msingi la kutambua ni kwamba akopaye ameshindwa maisha,kwa hiyo ni mjinga kiasi fulani.Hata vitabu vya dini,Biblia kwa mfano inasema,"akopaye ni mtumwa wa akopeshaye!"Sasa commonsense inaniambia kwamba hakuna mtu apendaye utumwa.

Lakini kwa nini watu wameangukia kwenye mitego ya Shetani na kukubali mifumo yake.The answer is simple,wamemuacha Mungu,kwa hiyo wanatumia akili zao,bila kuongozwa na Mungu katika kufanya mambo yao.This has made it possible for Satan to have a foothold in their lives,including Professor Assad.Hivi kama nina hela kwa nini nikope,nitalipa baadae anyway.Kwani kukopa ni sifa.Funny.
Ndege hatukopi (Borrowing, Lending) ila tunafanya mkataba wa matumizi (Aircraft Leasing).
 
Hivi unafikiri Assad ukimpa Nchi ndo hakutokuwa na watu wanapiga hizo hela chini? Unafikiri ndo ataweka mikataba wazi? Unafikiri atafanya nini ili kuifikia ata China mnayosema mlikuwa sawa kwenye miaka 60?

Leo mnatamani kuzifikia China kiuchumi..!! Utaweza wewe mlalamishi kufunga mikanda kama waliyofunga China mpaka wakafikia maendeleo ayo? Au unadhani EROUPE imejengajwe? Au America imejengajwe? Kaa chini tuliza tako we unaendhani wenzetu walijenga nchi zao kwa kidai mishahara sijui na upupu wenu mnaona una faida kwa sana kuliko kuzijenga nchi zao.
We naye acha kukariri uchumi hauna formula moja.... Mfano hapo hapo china kuna eneo linaitwa Macau uchumi wake umekua na kupaa sababu ya gaming industry yaani watu wanakula bata sana na kucheza kamari kutoka kote duniani hadi uchumi unapaa.

Kuna nchi uchumi umepaa sababu ya utalii tu, wengine mpaka industry ya ngono imekuza uchumi, kuna nchi remittances tu zinakuza Balance of payment kuliko hta mauzo ya bidhaa zingine.

Tanzania uchumi ulikua 7 percent na haukuwahi kushuka muda wote wa JK ila kwani mishahara haikupanda? Kulikua hakuna ufisadi? Tulifunga mikanda?
 
Ni kweli kabisa mwenda zak alikua mjinga sana sana
 
Back
Top Bottom