Kwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri.
Sasa kama cash ipo kwa nini tusilipe taslimu..
Twende tu ula ifafika wakati tutaanza kuukizia zile ndege zetu alizotuachia Magufuli zote zimeuzwa na mafisadi. Hapo ndo tutataka kujua kati ya Mshamba na ao wenyewe elimu kubwa waliostarabika nani alikuwa na Maarifa?
Leta ushahidi!Kama pesa zipo kwa nini mkwapue pesa za wakulima wa korosho korosho na za wafanyakazi katika mifuko ya jamii?
Leta ushahidi!
Sio walio lalamika hapa JF..Kauchukue kwa Hawa Ghasia, Nape na mashangazi zake Majaliwa huko kusini.
Kwani hujui kwamba ni "Mtanga" huyo...Huyu mzee huwa anaongea kama Hayati Mkapa, ana vijembe hatari
Hivi unafikiri Assad ukimpa Nchi ndo hakutokuwa na watu wanapiga hizo hela chini? Unafikiri ndo ataweka mikataba wazi? Unafikiri atafanya nini ili kuifikia ata China mnayosema mlikuwa sawa kwenye miaka 60?Huyu mzee presentation yake kwa wanaoelewa kiingereza ni muhimu sana kuitazama. Ameonyesha matatizo tuliyonayo waafrika exactly. Ni aibu tulikua juu ya nchi nyingi za Asia kiuchuki miaka ya 1960 leo hii tupo palepale wao wamekua haraka mno. Waafrika mmelaaniwa Tanzania ina vilaza wengi mno
Hajamaanisha faida au hasara ya biashara ya ndege.Ndege zisizo za keshi ndizo huingiza faida??
Mzee alikuwa na mengi sn moyoni lakini alishindwa kusema ukweliHii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:
Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."
Da MUNGU ametusaidia sn kumtoa mwendazakeWapi Marehemu katukanwa? Hujaelewa nini hapo na umeshaambiwa hakuna anayenunua ndege cash labda awe mjinga
Mjinga sio tusi ni sifa ya hali fulani, na kuna ile "upumbavu" nayo ina nafasi yake, lakini usisahau kuna kiburi na umimiKwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri.
Kwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri.
Anaweza asiwe mjinga bali ni katika kutimiza msemo wa "Chukua Chako Mpema".Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:
Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."
Ilikuwa ushamba sababu jamaa alikuwa hajui kuiba kwa akili, pia alizoea kuwa kama papaa so unajua ndugu zetu wa huko kidogo mambo ya mjini na ujanja umewapita kushoto ? No wonder alikuwa anatembea na fuko la hela kila anapoenda na kugawa kama kina papaa Msofe
Ndege hatukopi (Borrowing, Lending) ila tunafanya mkataba wa matumizi (Aircraft Leasing).Aisee,this is a turnaround.Ngoja tusubiri,tutasikia mengi.Hypocrites have been loosened.
Mimi hua najiuliza, hivi kukopa kumbe ni sifa.Sijawahi kufikiri. hivyo,na sitakuja kufikiri.Siku zote nitaamini kwamba kukopa ni aibu,na the reverse is actually true.Jambo la msingi la kutambua ni kwamba akopaye ameshindwa maisha,kwa hiyo ni mjinga kiasi fulani.Hata vitabu vya dini,Biblia kwa mfano inasema,"akopaye ni mtumwa wa akopeshaye!"Sasa commonsense inaniambia kwamba hakuna mtu apendaye utumwa.
Lakini kwa nini watu wameangukia kwenye mitego ya Shetani na kukubali mifumo yake.The answer is simple,wamemuacha Mungu,kwa hiyo wanatumia akili zao,bila kuongozwa na Mungu katika kufanya mambo yao.This has made it possible for Satan to have a foothold in their lives,including Professor Assad.Hivi kama nina hela kwa nini nikope,nitalipa baadae anyway.Kwani kukopa ni sifa.Funny.
sasa kama alinunua ndege kwa keshi sisi tufanyajeKwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri.
We naye acha kukariri uchumi hauna formula moja.... Mfano hapo hapo china kuna eneo linaitwa Macau uchumi wake umekua na kupaa sababu ya gaming industry yaani watu wanakula bata sana na kucheza kamari kutoka kote duniani hadi uchumi unapaa.Hivi unafikiri Assad ukimpa Nchi ndo hakutokuwa na watu wanapiga hizo hela chini? Unafikiri ndo ataweka mikataba wazi? Unafikiri atafanya nini ili kuifikia ata China mnayosema mlikuwa sawa kwenye miaka 60?
Leo mnatamani kuzifikia China kiuchumi..!! Utaweza wewe mlalamishi kufunga mikanda kama waliyofunga China mpaka wakafikia maendeleo ayo? Au unadhani EROUPE imejengajwe? Au America imejengajwe? Kaa chini tuliza tako we unaendhani wenzetu walijenga nchi zao kwa kidai mishahara sijui na upupu wenu mnaona una faida kwa sana kuliko kuzijenga nchi zao.