Prof. Assad: Ni wajinga tu ndio wanaonunua ndege kwa cash

Prof. Assad: Ni wajinga tu ndio wanaonunua ndege kwa cash

Mpigania haki/Uhuru wa kweli hujitokeza hadharani na kumwonesha mgandamizaji wa haki/ Uhuru bila hofu yoyote ili nae atambue Yale ambayo hayakubaliki kwa watu wake.
#His legacy will never die no matter what.
Exactly Brother.!
Walikuwa waoga kusema ukweli, sasa wamekuja kusema ukweli huo ukweli wanamwambia nani?
Hakuna dhambi mbaya kama kumsema mtu asiyekuwepo hata kama yu Hai.
Kama hivyo ndivyo walikuwa wapi kushauri kuondolewa kwa usiri wa kiapo ili kila kitu kiwe wazi kwa wananchi?
 
Magu alikuwa libukeni mmoja hivi! Haya midege yenyewe inalitia hasara taifa...kila kitu alitaka misifa - miguvu mingi akili kidogo!!

Waliokuwa wanampigia makofi wote wameingia mitini....kazi kubwa!!
 
Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:

Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."


Mjinga kama taasisi na siyo Marehemu.
Shikamoo professor
 
Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:

Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."


Huyu Prof. ana elimu lakini hana maarifa.

Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:

Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."


Huyu Prof. ni msomi na elimu lakini hana maarifa.
hitilafu kubwa sana na wanasiasa wa nchi hii.
Zitto huna maarifa hata kidogo ya kuchambua mambo ya umeme waachie wataalamu wa umeme. Usilete siasa kwenye mambo ya msingi kuna wataalamu wake.
Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:

Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."


Huyu Prof. ni msomi lakini hana maarifa."People confuse education with intelligence. You can be a professor and still be an idiot" Biashara ya ndege unaweza kupata hasara lakini ikafidiwa sehemu nyingine, kwanza biashara hii inaongeza ajira na mapato yatokanayo na kodi kwa serikali. vilevile biashara ya ndege inachochea utalii kwa kiasi kikubwa sana ndiyo maana unaweza kupata hasara kidogo kwenye ndege lakini ikajifidia na kupata faida kubwa kwenye utalii .
 
Exactly Brother.!
Walikuwa waoga kusema ukweli, sasa wamekuja kusema ukweli huo ukweli wanamwambia nani?
Hakuna dhambi mbaya kama kumsema mtu asiyekuwepo hata kama yu Hai.
Kama hivyo ndivyo walikuwa wapi kushauri kuondolewa kwa usiri wa kiapo ili kila kitu kiwe wazi kwa wananchi?
Ugali mtamu, walikuwa 'wameufyata'.
 
Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:

Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."


Mnhhhh... Watu walikuwa na yao moyoni aisee..

Hatarii..
 
Kauli hii ya kizalendo imetolewa na Profesa Musa Assad alipokuwa akiongea kwenye kongamano la chuo kikuu cha Kiislam Morogoro.

"Kwenye miradi hii ya muda mrefu mikopo ni sahihi , cash ina kazi yake na mikopo ina sehemu yake "

Nini maoni yako kwenye hili?
Somo:Tuwatumie wataalamu ktk kutekeleza mipango ya kitaifa.... Uongozi ni dhamana, Urais ni taasisi. Huwezi kuaibika na ndoto,matamanio,maono yako tika nyumbani bila kuhusisha wataalamu na kuyatekeleza kwa gharama za wavuta jasho kwa kigezo cha uzalendo
 
Ndiyo maana watu kama hawa hata wakiambiwa kuna tatizo ni wagumu kuelewa.
 
Back
Top Bottom