Prof. Assad: Ni wajinga tu ndio wanaonunua ndege kwa cash

Prof. Assad: Ni wajinga tu ndio wanaonunua ndege kwa cash

Kwasasa sababu ya korona ni kama vile kila shirika la ndege duniani linalia biashara ni mbaya.

Lakin hata kabla ya korona niliona biashara hii tunatumbukiza hela ambako siko. Kwa kujipanga kupi kuliko fanyika? Biashara ya kuendesha kisiasa Na mabavu? Wewe mkuu unafikiri mashirika yetu makubwa ufanisi ni mdogo Na mengine yalikufa kwasababu zipi? Hamna wateja?
Karibia kila nchi duniani inazo ndege zake ni nchi chache sana zenye makampuni binafsi na hizo nchi zenye kampuni binafsi wanaufanya usafiri wa ndege kuwa ni kitu cha anasa kweli.
 
Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:

Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."


Where was he? Alikuwa wapi bwege huyu? Ufahamu huu ameutoa wapi baada ya kifo cha JPM? Naye alitolewa jalalani leo hii naye anajifanya yuko fit!

Lile suala la Nyumba huko Tanga alirudisha?
 
Watu wako bado wanachangia maji na ng'ombe kwenye sima kimoja hiyo cash inatoka wapi, wanafunzi darasani wako 100 walimu hawatoshi hiyo cash ya kuchezea inatoka wapi? barabara za vumbi kufika mawilayani, vituo vya afya viko mbali nk na hivyo nilivyokutajia hakuna anayeweza kukukopesha
Sasa kwani watu kuchangia maji na ngmbe ndo kuonyesha kuwa hakuna kash?
 
Nya jalalani tu! Alikuwa kajifungia wapi? Tunaanza kuambiwa ni mmoja wa watu walionunuliwa kuandaa mazingira ya ufisadi awamu ya 2.
Unauonaje ushauri kuwa huyu bwana apewe Ukurugenzi waTume ya Uchaguzi
 
Hizi tweets kwenye seminar za MUM alizikataa kuwa so zake. Amesema hana access ya tweeter kwa muda na hivyo aliacha ku tweet.

Pengine kuna watu wanamchonganisha tu.

Na to be fair, kwenye seminar hiyo kuna sehemu anasema ni ufisadi kukopa wakati una pesa za kulipa (but hakuwa anazungumzia issue ndege specifically).
 
Unauonaje ushauri kuwa huyu bwana apewe Ukurugenzi waTume ya Uchaguzi
HUwa simwamini mtu kwa tukio moja la kujidai alikuwa CAG mzuri. Kikwete alipata umaarufu kwa kujidai kumfuatilia Malima. alipopewa urais akawa bwege, bwege!
 
Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:

Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."


Lini alitow acomment hii, isiwe ni miaka 2 nyuma?
 
Kwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri.
Asad ni fisadi tu, akiwa CAG hakukagua nssf wakati wamenunua viawanja kigamboni na kule arusha kwa bei mbaya haijawahi kutokea lakini ali mute, sasa leo anajimwambafai kwa lipi zuri?
 
Nacho kiona kwa Mwendazake ni ushamba na kutaka kuwaona watangulizi wake kwamba hawakuwa chochote ili yeye apate jina na sifa zote (actually alikuwa anapenda sifa sana)

Kwamba yeye ndo aliweza kudhibiti mianya ya upotevu wa pesa na tuna pesa nyingi sasa na hata eti ameweza kununua ndege kwa pesa taslim (Cash) sasa kumbe kwa Dunia ya leo mambo hayaendi hivyo lkn kwa kutaka sifa na ego yake ilikuwa juu basi akaona akitoa ma pesa hayo taslim ndo ataonekana yeye ndo mwamba na wengine walikuwa hamnazo hasa tawala zilizopita

Na labda hata kwake binafsi hakukuwa na ufisadi zaidi ya ulimbukeni huo ambao kwa sasa unalitafuna Taifa

He was sick
 
Wacha watu watapike watakavyo dhidi ya mwendazake, kwa kuwa alivyokuwa hai watu hawakuthubutu kuyatamka hayo kutokana na jamaa alivyokuwa mlipaji visasi kwa yeyote anayeonekana anampinga kutokana na jinsi anavyoiendesha nchi yetu shaghala baghala
Mwanamume ni Lissu peke yake na angezubaa baada ya uchaguzi angeuawa na wala haikuwa utani. Huu ni ushahidi Tosha wa ' Nyamaza uishi, piga kelele, kiloba'.
 
Mpigania haki/Uhuru wa kweli hujitokeza hadharani na kumwonesha mgandamizaji wa haki/ Uhuru bila hofu yoyote ili nae atambue Yale ambayo hayakubaliki kwa watu wake.
#His legacy will never die no matter what.
 
Mpigania haki/Uhuru wa kweli hujitokeza hadharani na kumwonesha mgandamizaji wa haki/ Uhuru bila hofu yoyote ili nae atambue Yale ambayo hayakubaliki kwa watu wake. Umekuwa kimya sana kumuhusu Siku zote za maisha yake.
#His legacy will never die no matter what.
 
Back
Top Bottom