Uchumi level ya nchi sisawa na levo ya familia uelewe,kuna utaalamu wa kiuchumi na hesabu zake kifaida pale unapoingia kwenye big businesses!! Ndege sio bodaboda ulipe cash!! Anayo pesa mbona kunawatoto wanasoma wamekaa chini? Mbona deni lataifa limeongezeka? Msidanganyike kwa maneno ya siasa za kijinga.
Jiwe alijua kilakitu alijipa utaalamu kwenye uchumi,udaktari,kodi,uinjinia,kilimo hakutaka wataalamu wasekta kumshauri.
Ametutia hasara kubwa kwa walichosema waandishi kenya "ukaidi usiofaa"!!
Ukishauri tofauti na awazavyo unageuka adui,unafukuzwa kazi!! Wasaidizi wake walipata shida sana kwakweli