Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Ila ana roho fulani ya ubinafsi ilitakiwa akae atulie hii ya kulia lia katika media inamtia doa kwa kujiona yeye ni bora zaidi ya wengine.

Na hii inaleta tafasri ya kwamba aliumia mno kutumbuliwa [emoji28]
Kutumbuliwa bila kufwata sheria
 
Aliyeulizwa juu ya hiyo tl 1.5 ikulu ni Dotto James ndugu. Assad alikuwa akilalamika kwa uwazi kabisa juu ya binge kupitisha bajeti halafu Magufuli kuingilia na kupanga tena anavyotaka yeye. Na mojawapo ikiwepo kipunguzwa kwa bajeti ya ofisi yake ikiwemo kuondolewa posho ya HIV positives kwenye ofisi yake.
 
si kila mmoja anaweza kua shujaa, wengine acha tuchumie tumbo kuleta uwiano au sio wajomba?
 
Assad alihoji 1.5trl, hilo lilisababisha mtukufu jiwe akasirike na kumtumbua nje ya utaratibu, hayo mengine ya kujiabudu ni maoni yako chief [emoji23]
mamereta escrow etc mbona hakuhoji?
 
Mpuuzi sana huyu mzee, mtu ayepambana nae hayuko, Mungu kamchukua, alafu kumbe jina sio lake la Musa.. Hii ni tatizo, asema Musa wa kweli yuko wapi? Kuna kitu hapa kaficha
 
Kwani baada ya 17.03 nchi imesimama?

Hii nchi haina mwenye hatimiliki yake, wote tutapita lakini nchi yetu itabaki na itaendekea kuwepo
 
huyu nae atulie sasa don't talk to much ameshajenga heshima yake inatosha sasa anakuwa Kama manara bhana let it go asonge mbele sasa
 
Kuna watu humu inaelekea wamemchukia kwa ajili ya jina tu?
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Hiki chuma kilikua level nyingine
 
Uzuri yeye alijifanya muhimu zaidi katangulia na kawaacha alio waona taka taka.

Kifo banaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787],aliinua pembeeeeee
 
Kah! Huyu prof. alipenda UCAG aisee. Bado analia hadi leo? Aache tamaa ya madaraka.
 
Cc mwendazake
 
Tanzania yetu na mambo yake.
 
Wewe utakuwa umeanza kufatilia siasa juzi... waulize watu humu Assad aliulizwa mbele ya Rais .....kuhusu hizo trillion 1.5 akasema kabisa hakuna zilizopotea tena hadharani ....labda useme alishikwa uoga lakini ukweli ni kwamba Assad hakuwai kupamba na Magufuli hata mara moja.... Assad alipambana na Ndugai tuuu lakini si Magufuli na wala asingelithubutu.... Tanzania kulikuwa na wanaume wawili tuu Lissu na Magufuli... wengine wameibuka baada ya Magu kufa akiwemo huyo Assad...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…