Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Assad 3-0 lumumba.
Mzee uwa anapiga kwenye mshono.alafu ni jeshi la mtu mmoja
 
Ndugu mbona mambo yako wazi siku hizi? Aliulizwa Dotto na akajibu mheshimu Rais hazina tuko salama. Ndugu tulia fuatilia taratibu hapa hatutafuti mshindi tunakumbushana.
 
kipindi cha mwendazake ulikua usiponafkia au usipo kuwa mnafki hutoboi.

Asad yeye alishindwa kuusoma upepo wa wakati ule na kuendana nao sambamba.
 
Ila ana roho fulani ya ubinafsi ilitakiwa akae atulie hii ya kulia lia katika media inamtia doa kwa kujiona yeye ni bora zaidi ya wengine.

Na hii inaleta tafasri ya kwamba aliumia mno kutumbuliwa 😅
Aendelee kunyamizia uvunjwaji wa makusudi mazima wa katiba, eti ndio uungwana?
 
Kidume nan???yule alijitutumua kumbe ana shot ya umeme????
 
This man is a genious aise, halafu ana maisha simple sana kuna kipindi nilipishana nae pale millenium tower akisubiri usafiri wa Uber.
Role number one
"Never outshine the master"
 
Nadhan hujui huyu Mzee alipo sasa hana elimu ya magumashi kama yule iblis wenu
Magu alikuwa sahihi kabisa huyu mzee mara agombane na bunge mara achokonoe mambo ya ikulu...sasa naona maumivu ya kupigwa benchi hayajapona.

Hii ni nchi ukitaka uwa outshine wenye mamlaka lazima upigwe na kitu kizito.
 
Naona wajitahidi kukwepa suala halisi. Katiba ilivunjwa waziwazi kwa makusudi na Jiwe.
Inashangaza sana Jiwe anaposifiwa kwa tabia ya kuvunja Katiba. Waimba mapambio nao
Mkono wa Mungu ndio ulituokoa na udhalimu huu uliyokuwa unakuwa kwa kasi kubwa.
 
Mkuu kama ni kweli huyo MZEE ni mnyenyekevu sana
This man is a genious aise, halafu ana maisha simple sana kuna kipindi nilipishana nae pale millenium tower akisubiri usafiri wa Uber.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…