Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Na Mwamba Assad Yuko zake mjini anadunda tu huku aliyempiga fitina sijui ye Yuko wapi SA hivi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwakua Assad nae atakufa, maana yake ni kwamba kila sehemu atamkuta ni imara zaidi yake. Hapa duniani hakuwa chochote mbele ya JPM na hata huko kuzimu atakuwa mgeni mbele ya JPM.
 
Kwani hata sasa nchi si inakwenda bila ya yule aliyemuondoa?
Na inaenda hata bila huyo Assad,hivyo akae kimya watu wapige kazi.

Jamaa ana madeni sana,kustafishwa kwake ghafla kumemaliza kisaikolojia.
 
Wewe ni mke wake? Kama sio, unathibitishaje utajiri wake??
Unaweza ukawa kimada wake kwa kuwa umezichuma za kutosha kutoka kwake basi unajua mzee hana fedha pole yako kwa kuuza utu wako kwa vipande vya fedha.
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Then kidume kikadondoshwa na corona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
The guy(Jiwe) was sadist indeed
 
Unaweza ukawa kimada wake kwa kuwa umezichuma za kutosha kutoka kwake basi unajua mzee hana fedha pole yako kwa kuuza utu wako kwa vipande vya fedha.
Umepanick mkuu😂. Wewe ndo uliyesema kuwa unajua jamaa ni tahiti sana ila anapanda Uber kwakua hapendi show off.

Mimi sikuwa na nia mbaya nilipotaka kujua kama wewe ni mke wake, maana hapa jF wote ni anonymous huenda wewe ni wa kike.
 
This man is a genious aise, halafu ana maisha simple sana kuna kipindi nilipishana nae pale millenium tower akisubiri usafiri wa Uber.
Haya ndiyo maisha ya mtu mwenye haki. Ni rahisi, ya amani na furaha maana anakuwa hana hofu kwa kuwa hajadhulumu wala kuibia mtu yeyote....

Hata hivyo, tumepewa akili na Mungu kuzitumia ktk maisha yetu. Mlio karibu naye, mshaurini awe makini ktk mienendo yake dhidi ya hila za adui zake...

Anavyowakosoa hivi, asidhani kuwa wanafurahia. Wanatamani wamfunge mdomo [wamuue] once and for all...
 
Umepanick mkuu😂. Wewe ndo uliyesema kuwa unajua jamaa ni tahiti sana ila anapanda Uber kwakua hapendi show off.

Mimi sikuwa na nia mbaya nilipotaka kujua kama wewe ni mke wake, maana hapa jF wote ni anonymous huenda wewe ni wa kike.
Hahha huwenda ukawa wa kike pia maana huku wote ni anonymous, kawaida sana hiyo
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Huyo Kidume wako sasa analiwa mishikaki na funza
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Eti,hapa ndo anadhihirisha upunguani wake! Kila siku analialia kumbe anapenda cheo mpuuzi huyu, sasa kama mwanaume si angemjibu Magufuli wakati huo?

Yaani huwa namuona mjinga asiyejielewa huyu mtu. Kila kukicha anajikosha,mara aseme 60% ya watumishi wote wajinga kumbe jinga lenyewe qummke
 
Angemjibu Magufuli haya wakati huo. Nakumbuka aliulizwa kama kweli 1.5T zilipotea au? Akajibu hapana ahahahahah dah Magu aisee alikuwa kifaru, zee la sijida likaingiwa na hofu badae likatimuliwa na kujifanya juaji. Fla sana
 
Profesa uchwara aliyejifanya mhimili wakati mihimili iko 3 tu.

Ajaribu kugombea urais basi labda timu gaidi watamsajili 2025.
Huyu ni profesa nguli alifanyia fitina na PhD uchwara
 
Hiyo ya kutofata maelekezo ya mtu amenikumbusha Spika alivyoraruliwa ufisadi wa matibabu India
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?

Mwisho wa sku chuma kikaliwa na kutu.... ahahaa
 
Kwenye kubadilishwa jina kutoka Jaffar kwenda Musa alisikiliza mtu sio. Pathetic
Mbona hakuyasema haya wakati ule wa operation majina na vyeti feki kama kweli anajiamini.
 
Watu kama hawa Tanzania ya leoi ni wachache sana.

Huyu anastahili hata kuwa Raisi wa nchi hii.
 
Akae kimya, angesema wakati JPM yupo ningemuona kidume.

Atakuwa na matatizo ya usahaulifu huyu alinyanyuliwa na JPM mbele ya kamera na dunia ikitazama akaulizwa Professa kuna tatizo lolote kwenye ukaguzi wako na dhani kuhusu manunuzi ya ndege(niko tayari kusahihishwa) aliufyta akasema hakuna, leo hii anataka kumdanganya nani ili afaidike na nin?. Na alinyoshwa na Spika Ndungai vilevile, atulie alee vitukuu.

Kutoa kauli kama hii ni kuwadharau wengine na kuwaona wana akili za usahaulifu kama kuku buroila.
 
Back
Top Bottom