Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.

Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.

Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
The best CAG mwenye akili na anayesimamia nidhamu ya KAZI na Sheria, kanuni na miongozo. Yule dictator asingekubaliana na mtu ambaye angezuia massive money relocation to Chattel projects. Iko siku Mungu atampa cheo kikubwa zaidi Prof Assad. Mh. Rais Prof. Assad atakusaidia mno mtumie na uaminifu wake utauona. Ni chapakazi la kutegemewa. Mimi ni mkristo na sifungamani na mambo ya dini ninachoangalia ni utendaji wa mtu na uadilifu.
 
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.

Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.

Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Huyu Professa naye ni mswahili swahili sana... Anapenda attention sana. Nlikuwa namkubali before but now naona anapenda sana umaarufu na kusikika
 
The best CAG mwenye akili na anayesimamia nidhamu ya KAZI na Sheria, kanuni na miongozo. Yule dictator asingekubaliana na mtu ambaye angezuia massive money relocation to Chattel projects. Iko siku Mungu atampa cheo kikubwa zaidi Prof Assad. Mh. Rais Prof. Assad atakusaidia mno mtumie na uaminifu wake utauona. Ni chapakazi la kutegemewa. Mimi ni mkristo na sifungamani na mambo ya dini ninachoangalia ni utendaji wa mtu na uadilifu.
Huyu Prof Mswahili swahili hamna kitu hapo... Anataka tu naye kusikika ... Huyu ni mroho na kichwani si smart. Muda ule nlidhani ana akili later on nikagundua anapenda sana umaarufu na sifa za kijinga akina Uttoh walikuwa smart na wamenyamaza tu
 
Matagaaaaa 🎵🎶
Matagaaa wamepaniki🎶
Matagaaaaa
Mataga wamepaniki🎶🎵

Ukweli unawachoma
Tena unawachoma Sana🎶

Naona mmepaniki wazeee taratibu tutaelewana tu siku zote hua nawaambia Mwendawazimu jiwe alikua anasigina katiba mnapaniki kindezi
Haya wapi CAG Assad Musa?
😂😂😂😂😂
Waambie mkuu. Alihoji pesa ya Chattel na mengine mengi maovu. Yule Mungu shetani akamtoa. Ila Mungu ni fundi zaidi. Yako wapi sasa?
 
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.

Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.

Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Source
 
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.

Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.

Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.

The rest is history.
Aendelee na majukumu aliyopewa na Muumba kuwashauri vijana kuhusu upendo, kusameheana na amani.
 
Huyu mzee Assad hafai, ni mjivuni sana na ni kati ya watu wasiojali utu wala huruma kwa wengine. Zamani nilikuwa simjui nilidhani ni mtu safi kwa sababu ni muislam na sijda juu lakini nilipomfahamu zaidi ndio nikajua huyu mzee hafai kuwa kiongozi.

Kwa sasa ni makamu mkuu wa chuo kikuu cha waislam Morogoro (MUM), amesababisha wanafunzi wengi walioshindwa kumaliza ada zao kuacha vyuo na wengine kurudia semester yote kwa sababu alikataa katakata kuwasikiliza sababu zao. Aliteuliwa kuwa makamu mkuu wa chuo kipindi kile 2019 ambapo covid ndio imepamba moto na wazazi hawakuwa vizuri kiuchumi kwa hiyo wanafunzi wengi waliomba kufanya mtihani bila kukamilisha ada lakini hili zee lilikataa kuwasikiliza.

Ni mzee mshenzi asiyefaa kukaa ofisi ya umma. Ana maringo sana mpuuzi huyu.
 
Magu alikuwa sahihi kabisa huyu mzee mara agombane na bunge mara achokonoe mambo ya ikulu...sasa naona maumivu ya kupigwa benchi hayajapona.

Hii ni nchi ukitaka uwa outshine wenye mamlaka lazima upigwe na kitu kizito.
Sampuli ya watu aina yako mnaishi kwa kujipendekeza, namna hii ya kufikiri huchangiwa kwa kiasi kikubwa na ukosefu wa lishe bora utotoni. Lisha uzao wako lishe bora wasije haribikiwa kama wewe [emoji23][emoji23]
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Hivi yuko wapi siku hizi huyo unayemuita "mbaba"?Merde!
 
Waambie mkuu. Alihoji pesa ya Chattel na mengine mengi maovu. Yule Mungu shetani akamtoa. Ila Mungu ni fundi zaidi. Yako wapi sasa?
Ndio hapo Sasa nadhani Kimbunga Jobo akiongoza kamati ya roho mbaya Kwa ushauri wa Chakubanga Slow slow,walijiona wao Ndio walioipa nchi uhuru wa pili mwaka 2015
Mwendakuzimu alijiona baba wa kambo wa taifa na ana hatimiliki ya nchi Ndio maana Alikua anafanya vitu Kwa kuufuta ubongo wa bichwa lake lenye mabonde mabonde ya ufa!
😁😁😁😁😁
 
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.

Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.

Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Sawaaaaa

Atulie basi na yeyeeee
 
Hiki chuma inabidi mama akirudishe tu ofisini, na apeleke bungeni muswada wa dharura wa kubadili kipengele cha katiba kinacho mzuia kuajiriwa na gov.
Kwa sheria za nchi huyu hawezi tena kupata cheo kingine serikalini.
Labda mjumbe wa bodi kwenye mashirika
 
Back
Top Bottom