Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.

Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.

Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Kwa hiyo ni yale yale ya makonda. Kumbe huyu wapinzani mnamsifia na yeye aliiba jina. Halafu mnajidai kushangaa ya makonda na madilu? 😂. Muhimu nani ndio kasoma sio nani ndio kaenda shule 🤔🤔
 
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.

Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.

Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Aseme nae alifoji cheti na ndo maana ana nyodo sana.
Kazi.iliisha aache wengine nao wafanye,
Kama hakujiandaa basi elimu anayo afungue hata shule afundushe ili aendelee kujipatia kipato.

Wakiwa makazini wanashauri watu watumei akiri zao kujiajili lakini wao hawawezi.
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Chuma mwenyewe yuko wapi?
Kifupi Mungu ndo hataki wagu wajifananishe nae. Tuishi kwa kuheshimiana sio kulazimisha tuogopane kwa sababu ya mamlaka
 
Tatizo watanzania wengi hawajui Katiba

Nafikiri ni heri ukweli usemwe
Mwendazake aliisigina Katiba waziwazi
 
This man is a genious aise, halafu ana maisha simple sana kuna kipindi nilipishana nae pale millenium tower akisubiri usafiri wa Uber.
Mi nilikutana nae maeneo ya mtendeni kipindi akiwa CAG kasimama pembeni ya fundi anasubiri amshonee koti lake cjui lilitatuka tulibishana na washkaji kama mzee tunaemuona mbele yetu ni CAG au siyo CAG mpaka tukauliza.
 
Humjui bali unasikiliza anachosema na kuamini
Ameshindwa kusema sababu iliyofanya akabadili jina bado wengine wanamlia yamini eti muadilifu! Wengi tuliozaliwa enzi hizo kurudia shule ya msingi ilikuwa sababu kubwa ya kubadili majina.

Anayejua undani wa mtu ni mwenyezi Mungu.
 
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.

Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.

Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.

 
wazee wa legacy mnachukia uozo unapowekwa wazi
Pole sana kama unaamini kila anayepinga mambo kadhaa ni mfuasi wa Magufuli basi ni mwendelezo ule ule wa ufuasi wa Kinyumbu. Ungepata muda tu ukapitia threads zangu nyuma ungegundua nilikuwa nampinga Magufuli.

But sikuwa namchukia. Mpaka leo natumia ufahamu huru. Au umesahau Chadema waliokuwa wanamchukia Lowassa ndiyo waliomkaribisha na kumzungusha nchi nzima huku wao wakizungusha mikono?😁

Siasa ni mikakati. Assad angetakiwa ayaongee haya wakati Marehemu yupo. Kuongea haya wakati hayupo kwenye Uislamu ni kuonesha woga na unafiq. Pia asipende sana publicity .... Akue.
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Hivi hicho kidume kiko wapi muda huu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Profesa uchwara aliyejifanya mhimili wakati mihimili iko 3 tu.

Ajaribu kugombea urais basi labda timu gaidi watamsajili 2025.
Ndugu,
Itakuwa vizuri kama utatueleza vizuri lini na wapi, katika utendaji wake, Prof Assad alitoka nje ya majukumu ya CAG na kujifanya muhimili.
 
Huyu mzee ni baadhi ya wazee ambao walikua hawana time wala walikua hawaogopi simu za jiwe, ilikua kama anapiga jamaa anakata akimwambia sijui nyokonyoko mzee anamwambia acha upuuzi wewwe dunia siyo ya babaaako, kuna maviongozi sasahivi viazi kweli suala ukweli kwao ni kitendawili kisa V8 na matumbo yao, wakwanza Diblo Dibala
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe jamaa acha uongo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom