Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Maana yake ulifoji jina?
 
Nyie ndio mazuzu mnaozungumziwa
 
Assad alihoji 1.5trl, hilo lilisababisha mtukufu jiwe akasirike na kumtumbua nje ya utaratibu, hayo mengine ya kujiabudu ni maoni yako chief [emoji23]
 
kumbe umezoea kuiba hata jina siyop lako utatuambia nini na ukaja kula tena mahela ya nssf yaani madaraka yakikoma akili nazo zina koma mzee ungekuwa muungwana kama ungekaa kimya kama makonda
 
Hata yeye alikuwa anaamini bila yeye nchi haiendi..... asante ziraili ulifanya kazi njema

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kamfufue bas huyo chuma wa nyuokooor
 
Yuko wapi huyo chuma JPM? Ni mara 100 kuondolewa kazini kuliko kuondolewa duniani,ni mara 100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…