kacnia
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 4,024
- 15,796
imeisha iyoChadema twende na Asad 2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imeisha iyoChadema twende na Asad 2025
Hana hela [emoji16][emoji28]This man is a genious aise, halafu ana maisha simple sana kuna kipindi nilipishana nae pale millenium tower akisubiri usafiri wa Uber.
Pesa ipo sema hana show off tajiri.Hana hela [emoji16][emoji28]
Jiwe alikuwa jiwe kweli kweli...si unaona Prof bado analia machozi ya damu haja-move on 😄😄😄😄😄 Hatimae nchi inaenda bila yeye aliyejiita jiwe, aliyekua anajisemesha eti akiwa hayupo nchi hii itaendaje as if aliiumba yeye nchi hii 😁😁😁😁
Katika maeneo aliyochemsha Magu ni kwenye hili.kwa Nini umtoe mtu kisa kasema ukweli 1.5T matumizi hayaonekani!! Hapo ndipo tulipotilia shaka uadilifu wake.Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Hayo matatizo ni siri sana!?Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani
Nimeshindwa kuona uhusiano wa jina na mada husika.Au alighushi vyeti, na kutumia jina la mtu mwingine! Achunguzwe.
Na Mwamba Assad Yuko zake mjini anadunda tu huku aliyempiga fitina sijui ye Yuko wapi SA hivi 😁😁😁😁Jiwe alikuwa jiwe kweli kweli...si unaona Prof bado analia machozi ya damu haja-move on 😄😄😄
Akae kwa kutulia wapo wengine wanachapa kaziAssad ni mmojawapo wa wazalendo wachache wasio wachumia tumbo tu waliobaki.
Aligushi huyoooooSuala la jina (Mussa badala ya Jaffar) lina uhusiano na kuondolewa kwake kazini kwani?
Yaani Prof.Assad ni uchwara?!! Duuh 🤣🤣Profesa uchwara aliyejifanya mhimili wakati mihimili iko 3 tu.
Ajaribu kugombea urais basi labda timu gaidi watamsajili 2025.
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Kwani hata sasa nchi si inakwenda bila ya yule aliyemuondoa?Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Acha kuchanganya madesa wewe! Hatuna Profesa uchwara. Isipokua tumeshawahi kuwa na Dikteta Uchwara.Profesa uchwara aliyejifanya mhimili wakati mihimili iko 3 tu.
Ajaribu kugombea urais basi labda timu gaidi watamsajili 2025.
Magu alikuwa sahihi kabisa huyu mzee mara agombane na bunge mara achokonoe mambo ya ikulu...sasa naona maumivu ya kupigwa benchi hayajapona.Katika maeneo aliyochemsha Magu ni kwenye hili.kwa Nini umtoe mtu kisa kasema ukweli 1.5T matumizi hayaonekani!! Hapo ndipo tulipotilia shaka uadilifu wake.