Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Professor anasema waliowengi wanabemenda katiba au Sheria au utaratibu kwa kuendekeza njaa na V8. Ujumbe kuntu kwa walengwa na nafsi zao zinawasuta.Kiongozi Mkuu anachagua wasaidizi wampe ushauri wa kitaalam(Professional advice) kutoa ushauri professionally ni udhaifu mkubwa.
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Katika maeneo aliyochemsha Magu ni kwenye hili.kwa Nini umtoe mtu kisa kasema ukweli 1.5T matumizi hayaonekani!! Hapo ndipo tulipotilia shaka uadilifu wake.
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?

Huyo kidume yuko wapi sasa [emoji28]..tumuone mahali alipo akitoa amri
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Kwani hata sasa nchi si inakwenda bila ya yule aliyemuondoa?
 
Katika maeneo aliyochemsha Magu ni kwenye hili.kwa Nini umtoe mtu kisa kasema ukweli 1.5T matumizi hayaonekani!! Hapo ndipo tulipotilia shaka uadilifu wake.
Magu alikuwa sahihi kabisa huyu mzee mara agombane na bunge mara achokonoe mambo ya ikulu...sasa naona maumivu ya kupigwa benchi hayajapona.

Hii ni nchi ukitaka uwa outshine wenye mamlaka lazima upigwe na kitu kizito.
 
Back
Top Bottom