Prof. Florens Luoga: Crypto-currencies are not safe as far as we know

Prof. Florens Luoga: Crypto-currencies are not safe as far as we know

Ukisoma comments za baadhi ya watu unagundua mtazamo wao ni kutokana na kutokujua au kuelewa jambo lakini ndio wamejivika usemaji wa jambo. Ukinunua mahindi kwa kilo 600, kisha ukahifadhi ghalani, ukakuta sokoni kilo ni 800. Mbona ndio same logic ya price appreciation kwenye crypto na pia price ya mahindi nayo si inaweza kushuka, same as cryptos. Nisiwe msemaji sana maana mwisho wa siku kila mtu anashinda mechi zake na si kila coin will make it as Bitcoin & Ethereum ni sawa na Amazon na Apple kipindi cha internet bubble (from 1980s to early 2000s)
 
Wapo shallow sana kwenye haya mambo.

Hapo nina uhakika hakuna hata mmoja aliesoma hata kitabu chenye page 30 cha bitcoin, zaidi zaidi wameangalia zile video za dakika 2 za youtube 😂😂

we vuta picha tu hata ishu ya paypal kupokea pesa mpaka leo imeshindikana kwasababu ya hao wazee wenye mawazo mgando ya miaka ya 90.

ila ukiwaangalia kwa kigezo cha cheo, miwani, suti, vyeo na elimu zao za miaka ya 90 kabla hata bitcoin haijaanza, unaweza kudhani wanajua 😂😂

hopeless kabisa!! haya mambo ilibidi wadau wanaohusika direct ambao wengi ni vijana wawekezaji wa cypto currency ndio wasikilizwe zaidi, sasa hawa wazee wapi na wapi wanaamua hatma ya vitu ambavyo hawana hata maarifa yake, yani hapo hao wazee hata ukiwaambia wallet ya bitcoin, hawaelewi kitu.
 
Wapo shallow sana kwenye haya mambo.

Hapo nina uhakika hakuna hata mmoja aliesoma kitabu cha bitcoin zaidi ya kuangalia zile video za dakik 2 za youtube [emoji23][emoji23]

ila ukiangalia kwa kigezo cha cheo, miwani na suti unaweza kudhani anajua [emoji23][emoji23]
Umeongea ukweli sana mpaka sio vizuri. Cryptos ni pana na wengi ni sawa na kipofu amshike tembo then mwambie akueleze tembo yukoje, kama kashika mkia si atakwambia tembo ni kama nyoka. Hata hizi investments za watu kuchangiana cryptos na wengine wakalizwa hapo, usihesabu kuwa unaijua cryptos. Unachokijua ni kidogo sana
 
Tuna viongozi wa aina gani, unaanzaje kutoa hitimisho kabla ya hoja. Eti "Crypto hazipo safe, ila bado tunafanya utafiti"...Kama security ni main concern, Block Chain ni most secured technology tuliyo nayo kwa sasa na ndio future inapoelekea

Kila kitu ni centralized in China, Communist Party Of China inataka ku control kila kitu, na wapo sahihi cause bila hivyo system nzima ya uongozi ita collapse,Crypto ni decentralized, watumiaji wake ndio wenye total control
Lakini hawajawahi sema Crypto sio salama
 
Lielewe hili, China imepiga marufuku shughuli zote zinazohisiana na cryptocurrency.
Hiki kibano kipya kilipitishwa rasmi mwezi WA Tisa, Cryptocurrency ni haramu China.



Kampuni kama huobi haipokei tena wateja toka China bara(Mainland China).

Ufanyaji kazi WA digital yuan ni tofauti na coin zingine IPO Chini ya state control na sio decentralisation.
Nashukuru kwa taarifa, na ni kweli usemayo juu ya Yuan. Ni kweli si kila coin ni sawa.
 
Tuna viongozi wa aina gani, unaanzaje kutoa hitimisho kabla ya hoja. Eti "Crypto hazipo safe, ila bado tunafanya utafiti"...Kama security ni main concern, Block Chain ni most secured technology tuliyo nayo kwa sasa na ndio future inapoelekea

Kila kitu ni centralized in China, Communist Party Of China inataka ku control kila kitu, na wapo sahihi cause bila hivyo system nzima ya uongozi ita collapse,Crypto ni decentralized, watumiaji wake ndio wenye total control
Lakini hawajawahi sema Crypto sio salama
Ilibidi amalize hiyo tafiti ndio aje na conclusion!
 
Wapo shallow sana kwenye haya mambo.

Hapo nina uhakika hakuna hata mmoja aliesoma kitabu cha bitcoin zaidi ya kuangalia zile video za dakik 2 za youtube [emoji23][emoji23]

ila ukiangalia kwa kigezo cha cheo, miwani, suti na elimu zao za miaka ya 90 kabla hata bitcoin haijaanza, unaweza kudhani anajua [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama chanjo za corona zilianzia huko mamtoni walugaluga mkaletewa mkazikubali

Once Bitcoin ikija kiwa global crypto-currency wachimbachumvi hamtokuwa na sauti ya kuipinga.

Itakuja tu soon na mtaikubali

Hamuwezi shindana na mabadiliko ya technology
 
Rais wa Elsalvador amesema wamenunua bitcoin 100 hivi karibuni,buy dip kulingana na decline ya 7.7percent this month, ni kweli risky lakini hakuna kisicho na risky benk kuu wanashindwa kurisk hata 2ml dollar kama bil 4 kununua bitcoin kadhaa na baadhi ya crypto zenye future?. Naiona BTC kwenye $100K kabla ya au ndani ya january ,
Hawa wazee wanatupoteza tu kila mtu na akili zake
No one can stop Btc
 
Back
Top Bottom