Prof. Florens Luoga: Crypto-currencies are not safe as far as we know

Prof. Florens Luoga: Crypto-currencies are not safe as far as we know

Wapo shallow sana kwenye haya mambo.

Hapo nina uhakika hakuna hata mmoja aliesoma hata kitabu chenye page 30 cha bitcoin, zaidi zaidi wameangalia zile video za dakika 2 za youtube 😂😂

we vuta picha tu hata ishu ya paypal kupokea pesa mpaka leo imeshindikana kwasababu ya hao wazee wenye mawazo mgando ya miaka ya 90.

ila ukiwaangalia kwa kigezo cha cheo, miwani, suti, vyeo na elimu zao za miaka ya 90 kabla hata bitcoin haijaanza, unaweza kudhani wanajua 😂😂

hopeless kabisa!! haya mambo ilibidi wadau wanaohusika direct ambao wengi ni vijana wawekezaji wa cypto currency ndio wasikilizwe zaidi, sasa hawa wazee wapi na wapi wanaamua hatma ya vitu ambavyo hawana hata maarifa yake, yani hapo hao wazee hata ukiwaambia wallet ya bitcoin, hawaelewi kitu.
Speculation will never be safe. Uwekezaji wa Kuvizia lini uingie na lini utoke sio uwekezaji.

Nasikitika unafikra kuwa akili ya prof haiwezi kuelewa simple concepts za crypto world.

There is no practical possibility ya any crypto coin Kuoverule fiat currency. Kiuchumi na kijamii wealth requires protection. Only a centralized System Can offer that.

Kuna mawili iwapo crypo coins zitatumika kama mbadala wa current currencies either the shark investors Will form their own protection blocks or chaos will arise. Either way haitakuwa na msaada kwa mabilioni ya wanadamu.

Well kutakuwa na swali pia la wealth redistribution au itashuhudiwa inequality ambayo haijawi kutokea.
 
Tuna viongozi wa aina gani, unaanzaje kutoa hitimisho kabla ya hoja. Eti "Crypto hazipo safe, ila bado tunafanya utafiti"...Kama security ni main concern, Block Chain ni most secured technology tuliyo nayo kwa sasa na ndio future inapoelekea

Kila kitu ni centralized in China, Communist Party Of China inataka ku control kila kitu, na wapo sahihi cause bila hivyo system nzima ya uongozi ita collapse,Crypto ni decentralized, watumiaji wake ndio wenye total control
Lakini hawajawahi sema Crypto sio salama
Mkuu, safety ya uwekezaji wowote inapungua pale risk inapoongezeka. Ndio maana Government Bonds au debentures ni safe kuliko aina nyingine za uwekezaji.

Cryptocurrencies have highest value volatility. You can wake up with nothing. Price ya coin kama bitcoin ni unrealistic na slight Changes zinaweza kuiaffect vibaya. Unawezaje kuita hiyo kitu safe?
 
Kwa nini anashindwa kusema kuwa bado wanasubiria waone jinsi baba zao US wanavyokwenda na haya makitu ndio waige

kupiga marufuku kwa nchi kama Tz yenye makondoo wengi inaweza kuwezekana ila bado akina sirjeff wao bado wataendelea kutajirika kupitia crypto
 
Cryptocurrency itakuja ila haitakuwa decentralized

Pili ingawa dunia itaingia kwenye mifumo ya block chain lakini usitegemee legal tender worldwide ikawa bitcoin, itakuwa ni mfumo wa digital currency ila sio hizo ambazo sasa hivi watu wanavuna. hakuna serikali itakayokubali kutokuwa na control of some sort

Wanachofanya BOT ni sahihi..., kama muhimili wa kuaminiwa haiwezekani ishauri watu kwenye mambo ya speculations..., kila mtu aende at their own risk..., kama Taifa hatuwezi kuingia kwenye Kamari
 
Speculation will never be safe. Uwekezaji wa Kuvizia lini uingie na lini utoke sio uwekezaji.

Nasikitika unafikra kuwa akili ya prof haiwezi kuelewa simple concepts za crypto world.

There is no practical possibility ya any crypto coin Kuoverule fiat currency. Kiuchumi na kijamii wealth requires protection. Only a centralized System Can offer that.

Kuna mawili iwapo crypo coins zitatumika kama mbadala wa current currencies either the shark investors Will form their own protection blocks or chaos will arise. Either way haitakuwa na msaada kwa mabilioni ya wanadamu.

Well kutakuwa na swali pia la wealth redistribution au itashuhudiwa inequality ambayo haijawi kutokea.
kama unaona kitu kipo risky waachie wanaotaka kukitumia kuwa fursa, yeye kaona ni risky akae pembeni awaachie wanaotakaa kuchukua risks
 
Yaani mtu ununue mahindi gunia 20 then uyahifadhi ghalani, baada ya mwaka ukute gunia 25.
😆😆😆
Aise! Sio idadi ya gunia itaongezeka ila ni thamani ya mahindi itaongezeka. Kama ulinunua gunia 20 kwa Tsh30,000 kisha ukazihifadhi kwa mwaka mmoja huwezi jua utakuja ziuza kwa Tsh55,000 !!! Ndivyo crypto zilivyo sasa, haziongezeki idadi bali zinaongezeka thamani 🙂
 
Aise! Sio idadi ya gunia itaongezeka ila ni thamani ya mahindi itaongezeka. Kama ulinunua gunia 20 kwa Tsh30,000 kisha ukazihifadhi kwa mwaka mmoja huwezi jua utakuja ziuza kwa Tsh55,000 !!! Ndivyo crypto zilivyo sasa, haziongezeki idadi bali zinaongezeka thamani 🙂
Na ndio nlivomjibu, sema JF kila mtu ni mchumi yeye. Ila muda ni Mwalimu tosha.
 
Cryptocurrencies ni investment nzuri ila is not recommended kwa nchi zenye poor computing technologies kwa sababu zina support criminal activities with zero Identity.
 
Speculation will never be safe. Uwekezaji wa Kuvizia lini uingie na lini utoke sio uwekezaji.

Nasikitika unafikra kuwa akili ya prof haiwezi kuelewa simple concepts za crypto world.

There is no practical possibility ya any crypto coin Kuoverule fiat currency. Kiuchumi na kijamii wealth requires protection. Only a centralized System Can offer that.

Kuna mawili iwapo crypo coins zitatumika kama mbadala wa current currencies either the shark investors Will form their own protection blocks or chaos will arise. Either way haitakuwa na msaada kwa mabilioni ya wanadamu.

Well kutakuwa na swali pia la wealth redistribution au itashuhudiwa inequality ambayo haijawi kutokea.
Wananchi na serikali wapi wenye nguvu dunia inapoelekea Watu wanataka wajiongoze wenyewe,serikAl inalazimisha lock down,inalazimisha chanjo sasa wananchi wanachoka wanatafuta uhuru wao binafsi, We nenda kapande maindi usubiri mvua
 
Wananchi na serikali wapi wenye nguvu dunia inapoelekea Watu wanataka wajiongoze wenyewe,serikAl inalazimisha lock down,inalazimisha chanjo sasa wananchi wanachoka wanatafuta uhuru wao binafsi, We nenda kapande maindi usubiri mvua
Ndugu, unajua maana ya serikali Lakini?
 
Cryptocurrency itakuja ila haitakuwa decentralized

Pili ingawa dunia itaingia kwenye mifumo ya block chain lakini usitegemee legal tender worldwide ikawa bitcoin, itakuwa ni mfumo wa digital currency ila sio hizo ambazo sasa hivi watu wanavuna. hakuna serikali itakayokubali kutokuwa na control of some sort

Wanachofanya BOT ni sahihi..., kama muhimili wa kuaminiwa haiwezekani ishauri watu kwenye mambo ya speculations..., kila mtu aende at their own risk..., kama Taifa hatuwezi kuingia kwenye Kamari

Unaposema hakuna serikali itayo kubali bitcoin inaoneka uko nyuma kidogo kwenye mambo ya kimataifa... sio kosa lako na sikulaumu.. ila kuanzia sasa jua kwamba..

El Salvador kwa sasa ili kununua chakula au kulipia huduma yotote ya kijamii au kiuchumi unatumia BITCOIN.

Kwa lugha nyepesi kwa nchi ya El Salvador BITCOIN ndio legal tender yao.
 
Gavana wa benki kuu ya Tanzania Prof. Florens Luoga amesema wanachojua mpaka sasa ni kuwa sarafu za kidijitali sio salama. Aidha amesema kwamba hawawezi kusema ni lini watatoa maelekezo kwani bado wanafanya utafiti.

Watatoa kanuni na miongozo wakishamaliza endapo watakamilisha utafiti wao.

======


"As far as we know Crypto-currencies are not safe. We cannot give timelines when to issue regulations, we are still researching – we will give regulations when we have finished our research" - Prof. Florens Luoga, Governor, Bank of Tanzania.

SOURCE: Bank of Tanzania
Huyu Profesa yuko smart sana ukianzia na muonekano wake ule wa nje tu. Maskini ameona huruma watu wake wanaweza kuiibiwa pesa!. Naona muda bado
 
Unaposema hakuna serikali itayo kubali bitcoin inaoneka uko nyuma kidogo kwenye mambo ya kimataifa... sio kosa lako na sikulaumu.. ila kuanzia sasa jua kwamba..

El Salvador kwa sasa ili kununua chakula au kulipia huduma yotote ya kijamii au kiuchumi unatumia BITCOIN.

Kwa lugha nyepesi kwa nchi ya El Salvador BITCOIN ndio legal tender yao.
Sasa kuongelea nchi unaongelea hio Banana Republic Mkuu nchi kama hio sitashangaa kama president mwenyewe hana Bitcoin za kutosha...

Kwahio nchi yenye gangstars wa kutosha na wasafisha pesa na waficha pesa kitu ambacho kinaweza kuwa anonymous na sio centralized kwao itakuwa ni Heaven on Earth...

Ila nchi ambayo inapenda kujua kinachoendelea hata itakapoingia kwenye Cryptocurrency itakuwa ni Crypto ambayo ni centralized na sio centralized kama Bit Coin Kwahio kwa Tanzania huenda tukawa na Tanzania Coin na sio any other coin..., Hii Bitcoin naiangalia zaidi kama Diamond / Gold kwamba ni asset fulani ila sababu hatujui kesho huenda hii so called Diamond / Gold kesho ikawa valueless tofauti na Diamond ambayo ina kazi nyingine zaidi ya cosmetic

Overview of El Salvador​

Safety​

  • Violent crime, often involving guns and street gangs, is widespread. It increases at night. Don't travel alone or after dark. Gang-related crime is common. Gangs have killed police, bombed cars and public transport, and set grenades in public places. Pay close attention to your surroundings. Ensure your accommodation is secure.
  • Petty crime is common around transport hubs and tourist areas. Safeguard your belongings.
  • Road travel outside the capital, San Salvador, is dangerous. Criminals target highways and the road to the international airport. Plan to arrive or depart the airport during the day. Keep vehicle doors and windows locked.
  • Protests and public gatherings can turn violent. Don't take part in any political activities. Authorities may detain or deport you.
 
Shida yao na shida yako ni nini kama tunatumia hela zetu wenyewe kununua?
Ndio unatumia hela zako kununua Ila madhara ya speculations yanapoibuka ni sekta zote za uchumi huathirika.

Speculations zilichangia financial crisis kubwa zilizotokea duniani. Asian financial crisis ya mwaka 1997 ilisababishwa na currency speculations ambayo ilisababisha capital outflow na kupangalanyika Kwa Forex reserves Kwa nchi nyingi kama Thailand na Indonesia, baadhi ya kampuni Korea Kusini zikafirisika mfano Kia na kununualiwa na Hyundai watu walipoteza KAZI sababu ya speculators.

Uchumi WA tz na financial system bado ni immature hivyo resource zote zinapaswa zielekezwe real economy na sio non productive activities.

Uzuri nimesema Bloomberg kuwa TZ ina mpango WA kuanzisha digital currency ambayo IPO Chini ya BOT.
Tena ni vizuri wakapiga marufuku kabisa hizo coin na speculations kiujumla.
 
Sasa kuongelea nchi unaongelea hio Banana Republic Mkuu nchi kama hio sitashangaa kama president mwenyewe hana Bitcoin za kutosha...

Kwahio nchi yenye gangstars wa kutosha na wasafisha pesa na waficha pesa kitu ambacho kinaweza kuwa anonymous na sio centralized kwao itakuwa ni Heaven on Earth...

Ila nchi ambayo inapenda kujua kinachoendelea hata itakapoingia kwenye Cryptocurrency itakuwa ni Crypto ambayo ni centralized na sio centralized kama Bit Coin Kwahio kwa Tanzania huenda tukawa na Tanzania Coin na sio any other coin..., Hii Bitcoin naiangalia zaidi kama Diamond / Gold kwamba ni asset fulani ila sababu hatujui kesho huenda hii so called Diamond / Gold kesho ikawa valueless tofauti na Diamond ambayo ina kazi nyingine zaidi ya cosmetic

Overview of El Salvador​

Safety​

  • Violent crime, often involving guns and street gangs, is widespread. It increases at night. Don't travel alone or after dark. Gang-related crime is common. Gangs have killed police, bombed cars and public transport, and set grenades in public places. Pay close attention to your surroundings. Ensure your accommodation is secure.
  • Petty crime is common around transport hubs and tourist areas. Safeguard your belongings.
  • Road travel outside the capital, San Salvador, is dangerous. Criminals target highways and the road to the international airport. Plan to arrive or depart the airport during the day. Keep vehicle doors and windows locked.
  • Protests and public gatherings can turn violent. Don't take part in any political activities. Authorities may detain or deport you.
Bukele(Rais WA hiyo nchi) ana miliki Pia bitcoins.
Amesababisha mdororo WA uchumi WA nchi yake tangu mwaka alipochaguliwa kuwa Rais mwaka 2019.
Sasa hivi ukuaji WA uchumi WA el Salvador ni -7%(hasi Saba).
Huu mpango wananchi wake wengi wanaupinga, baada ya kufanya BTC kuwa legal tender kukaibuka maandamano makubwa.


Ni Rais anayeiongoza nchi Kwa mawazo ya mtu mmoja anachoamua yeye ndio kinafanyika.
Alivaimia Bunge na wanajeshi na kuwalazimisha wabunge wapitishe mswada kilazima mwaka 2020.
Ni banana republic haswa.
 
Hata hii pesa ya madafu sio salama huwa kuna kipindi inapitia kwenye maporomoko acha tu🐒
 
Back
Top Bottom