mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,588
- 11,668
"Nilihudhuria 70th (1992) birthday ya Mwalimu. Sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha. Alipokuwa anaondoka, mama mmoja kampa portrait yake aliyechora mama huyo mwenyewe. Akamambia msaidizi wake apokee. Zawadi ya Benz kwa Mzee wetu ikanishtua kidogo."
-- Issa Shivji kupitia Twitter
Sijui kwa nini wazo la Vijana kuwa na Baraza/Jumuia yao rasmi nje ya vyama vya siasa linapuuzwa hasa na serikali.
Vijana hawawezi kuwa wamoja kupitia Jumuia za vyama kwa kuwa Jumuia hizi zinawagawa kuliko kuwaunganisha!
Magufuli alimjengea KIKWETE nyumba.
Magufuli alimjengea MWINYI nyumba.
Rais Suluhu amemnunulia MWINYI Gari la Anasa, aina ya Benz.
Hivi Marais hao wastaafu wenye kulipwa nusu ya Mishahara ya Rais aliyeko madarakani Wanashida hizo?
Hawamudu gharama?
Mr mkiki
-- Issa Shivji kupitia Twitter
Sijui kwa nini wazo la Vijana kuwa na Baraza/Jumuia yao rasmi nje ya vyama vya siasa linapuuzwa hasa na serikali.
Vijana hawawezi kuwa wamoja kupitia Jumuia za vyama kwa kuwa Jumuia hizi zinawagawa kuliko kuwaunganisha!
Magufuli alimjengea KIKWETE nyumba.
Magufuli alimjengea MWINYI nyumba.
Rais Suluhu amemnunulia MWINYI Gari la Anasa, aina ya Benz.
Hivi Marais hao wastaafu wenye kulipwa nusu ya Mishahara ya Rais aliyeko madarakani Wanashida hizo?
Hawamudu gharama?
Mr mkiki