Prof. Issa Shivji: Nilihudhuria birthday ya Mwalimu, sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha

Prof. Issa Shivji: Nilihudhuria birthday ya Mwalimu, sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha

mr mkiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
5,588
Reaction score
11,668
"Nilihudhuria 70th (1992) birthday ya Mwalimu. Sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha. Alipokuwa anaondoka, mama mmoja kampa portrait yake aliyechora mama huyo mwenyewe. Akamambia msaidizi wake apokee. Zawadi ya Benz kwa Mzee wetu ikanishtua kidogo."

-- Issa Shivji kupitia Twitter

Shivji.JPG


Sijui kwa nini wazo la Vijana kuwa na Baraza/Jumuia yao rasmi nje ya vyama vya siasa linapuuzwa hasa na serikali.

Vijana hawawezi kuwa wamoja kupitia Jumuia za vyama kwa kuwa Jumuia hizi zinawagawa kuliko kuwaunganisha!

Magufuli alimjengea KIKWETE nyumba.

Magufuli alimjengea MWINYI nyumba.

Rais Suluhu amemnunulia MWINYI Gari la Anasa, aina ya Benz.

Hivi Marais hao wastaafu wenye kulipwa nusu ya Mishahara ya Rais aliyeko madarakani Wanashida hizo?

Hawamudu gharama?

Mr mkiki
 
Miaka 96 na 70 kuna tofauti kubwa,
kumpa zawadi haimaanishi yeye hana uwezo, ni kuonesha jinsi gani mnamthamini na kumpongeza kufikia umri ambao ni wachache wanapata bahati ya kuufikia
Nadhani alipaswa kutoa hela zake sio umma. Yote haya bado wanatoa hela za umma tu.

 
Nilihudhuria 70th (1992) birthday ya Mwalimu. Sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha. Alipokuwa anaondoka, mama mmoja kampa portrait yake aliyechora mama huyo mwenyewe. Akamambia msaidizi wake apokee. Zawadi ya Benz kwa Mzee wetu ikanishtua kidogo.




Sijui kwa nini wazo la Vijana kuwa na Baraza/Jumuia yao rasmi nje ya vyama vya siasa linapuuzwa hasa na serikali.
Vijana hawawezi kuwa wamoja kupitia Jumuia za vyama kwa kuwa Jumuia hizi zinawagawa kuliko kuwaunganisha!

Magufuli alimjenge KIKWETE nyumba

Magufuli alimjengea MWINYI nyumba

Rais Suluhu amemnunulia MWINYI Gari la Anasa, aina ya Benz.

Hivi Marais hao wastaafu wenye kulipwa nusu ya Mishahara ya Rais aliyeko madarakani Wanashida hizo?.
Hawamudu gharama?

Mr mkiki
Eti mwinyi kashindwa nunua benzi [emoji15]

Siamini hata mwanae anaweza mnunulia .

Mi naona wamemdhalilidha tu

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani alipaswa kutoa hela zake sio umma. Yote haya bado wanatoa hela za umma tu.

Nyumba alizo toa Magu hela ni zake?
 
Miaka 96 na 70 kuna tofauti kubwa,

Someni na hapa.
 
Alijenga nyumba za wastaafu wote

80% ya mshahara wa aliyepo madarakani. Magu alishusha mshahara wake ili kukabiliana na huo mzigo mzito, wanahudumiwa kwa kila kitu.
Rais hata asipolipwa mshahara, urais unamplipa zaidi
 
Yani wale wazee wa dar juzi walipewa hata nauli kweli?? Huyu mzee serikali bado inamuhudumia mwanzo mwish alafu leo kodi zetu wanatumia kumnunulia gari... Mara magu nae aliwajengea nyumba kwamba wakiwa madarakani huwa hawajipangi kuwa ipo siku watatoka. Mama anaanza kukwama sana
 
Back
Top Bottom