Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Akipiga shoooo huwa raundi inaisha kweli???Huyu jamaa Serikali iingilie kati. Hayupo sawa. Its either anataka sana attention au ana tatizo kubwa la kisaikolojia. Hayupo sawa. Hakuna Taifa au Jamii inaweza ishi kwa huu Ujinga anao usema. Hii siyo diet ni ujinga. Na amedhoofu sana.
View attachment 3074304
Mkuu nadhani wewe ndo unamatatizo ya kisaikolojia. Professor Janabi ni hazina. Na siyo professor Janabi kila mtu ana jukumu la kuelimisha na kuhamasisha wengine kuhusu afya ya ulaji. Nenda Japan huko ujionee. Professor alazimishi taifa lazima kuishi maisha ya afya. Ndo maana IQ zetu dhoofu zina mushkelHuyu jamaa Serikali iingilie kati. Hayupo sawa. Its either anataka sana attention au ana tatizo kubwa la kisaikolojia. Hayupo sawa. Hakuna Taifa au Jamii inaweza ishi kwa huu Ujinga anao usema. Hii siyo diet ni ujinga. Na amedhoofu sana.
View attachment 3074304
Hahaha...aisee hili swali limenichekesha lakini pia ni la muhimu sanaHivi hana mke?
Hamalizi. Anaweza angukia hapo hapo....Akipiga shoooo huwa raundi inaisha kweli???
Kuna mwanamke analiwa na jamaa kusini mwa Afrika huko.. na jamaa linakula nyama choma, beer na fujo zote.Hivi hana mke?
Taifa la Al dhoof.... Hilo Taifa halitakuwa na nguvu kazi. Yaani angekuwa na akili angesisitiza watu wafanye mazoezi sana.siyo asubuhi wanywe chai kavu na maji.Anatupotosha sana maana hiyo lishe labda uwe kwenye pension sio upo kwenye harakati za kushusha tairi ya scania ukiitafuta Tunduma.Anataka kutengeneza Taifa la watu wadhoofu mno.
Yani upo unapiga gear 113 kuanzia chinsali kwenda mpika halafu useme utakuja jioni tu.Anatupotosha sana maana hiyo lishe labda uwe kwenye pension sio upo kwenye harakati za kushusha tairi ya scania ukiitafuta Tunduma.Anataka kutengeneza Taifa la watu wadhoofu mno.
Wewe una tatizo la Kisaikolojia kama yeye.hamna lishe ya namna hiyo. Huyu jamaa ana msongo wa mawazo na ana tatizo hayupo sawa. Ana tatizo kubwa la kisaikolojia.Mkuu nadhani wewe ndo unamatatizo ya kisaikolojia. Professor Janabi ni hazina. Na siyo professor Janabi kila mtu ana jukumu la kuelimisha na kuhamasisha wengine kuhusu afya ya ulaji. Nenda Japan huko ujionee. Professor alazimishi taifa lazima kuishi maisha ya afya. Ndo maana IQ zetu dhoofu zina mushkel
Kwa hiyo tuwe na Taifa lisilokula chakula aisee..Taifa la Al dhoof.... Hilo Taifa halitakuwa na nguvu kazi. Yaani angekuwa na akili angesisitiza watu wafanye mazoezi sana.siyo asubuhi wanywe chai kavu na maji.
Anaye ka miss cha kitangaHivi hana mke?