MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Huwa nasikitika sana nikiona mtu mwenye akili timamu anamsikiliza/kumfuatilia huyo jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kuona daktari anaongea ongea hovyo kama mwanasuasaJanabi na Watanzania wengi ambacho wanashindwa kujua ni kuwa matatizo ya Afya Tanzania chanzo ni Mamlaka za kiserikali kuruhusu bidhaa fake kuanzia madawa,mbegu za mazao,mbolea,vifaa vya electronics kila kitu Tanzania ni fake.
Nadhani ufahamu siasa.Huyu jamaa Serikali iingilie kati. Hayupo sawa. Its either anataka sana attention au ana tatizo kubwa la kisaikolojia. Hayupo sawa. Hakuna Taifa au Jamii inaweza ishi kwa huu Ujinga anao usema. Hii siyo diet ni ujinga. Na amedhoofu sana.
View attachment 3074304
Nadhani pia anacho zungumza hakimuhusu kila mtu. Kuna watu kazi zao tu ni mazoezi, lkn kuna wale anatoka na gari kazini kiti cha kuzunguka na ac pembeniAnatupotosha sana maana hiyo lishe labda uwe kwenye pension sio upo kwenye harakati za kushusha tairi ya scania ukiitafuta Tunduma.Anataka kutengeneza Taifa la watu wadhoofu mno.
Hawa jamaa bhana wanaongea kama vile wapo kwenye movie zao za Wakorea au za kutafsiriwa..utatoa tairi ya Scania ya ndani huku umekunywa maji na chai kavu..Yani upo unapiga gear 113 kuanzia chinsali kwenda mpika halafu useme utakuja jioni tu.
Sasa chai kavu mpaka jioni kweli atawezaAnaye ka miss cha kitanga
Yaani wewe kwa akili yako kweli mtu awe anapiga chai ya rangi kavu asubuhi na mchana maji usiku tena kakikombe kingine?? Vitamin Protein Starch na mengineyo yatoke wapi??. Huyu kuna siku si nyingi atadondoka.Mkuu nadhani wewe ndo unamatatizo ya kisaikolojia. Professor Janabi ni hazina. Na siyo professor Janabi kila mtu ana jukumu la kuelimisha na kuhamasisha wengine kuhusu afya ya ulaji. Nenda Japan huko ujionee. Professor alazimishi taifa lazima kuishi maisha ya afya. Ndo maana IQ zetu dhoofu zina mushkel
Kwa hiyo ukiwa na AC ndio usile chakula unajua madhara ya kukosa chakula kwa muda mrefu..Nadhani pia anacho zungumza hakimuhusu kila mtu. Kuna watu kazi zao tu ni mazoezi, lkn kuna wale anatoka na gari kazini kiti cha kuzunguka na ac pembeni
Mtaani kwangu familia nyingi zinaishi hivyo, chai ya rangi na vitumbua viwili saa 5 asubuhi na saa 10 alasiri ugali bamia, imetoka hiyo wenyewe tunaita pasi ndefu.Huyu jamaa Serikali iingilie kati. Hayupo sawa. Its either anataka sana attention au ana tatizo kubwa la kisaikolojia. Hayupo sawa. Hakuna Taifa au Jamii inaweza ishi kwa huu Ujinga anao usema. Hii siyo diet ni ujinga. Na amedhoofu sana.
View attachment 3074304
Na hawatasema kama kadondokaYaani wewe kwa akili yako kweli mtu awe anapiga chai ya rangi kavu asubuhi na mchana maji usiku tena kakikombe kingine?? Vitamin Protein Starch na mengineyo matoke wapi??. Huyu kuna siku si nyingi atadondoka.
Sasa mkuu unajua nimejiuliza sanaHahaha...aisee hili swali limenichekesha lakini pia ni la muhimu sana
Naunga mkono hoja ila wengi hawatakuelewa.Hivi hana mke?
What? Kaa kimya. Huyu ni mtaalamu niliyeishi naye Marekani! Amefanya makubwa Marekani. Hili ndilo ttz letu wabongo huna akili yoyote unamkosoa Pro. Jababi! Acha. Ndio maana wasomi wanaondoka. Wanabaki mazombie kama wewe. Just stop it!Huyu jamaa Serikali iingilie kati. Hayupo sawa. Its either anataka sana attention au ana tatizo kubwa la kisaikolojia. Hayupo sawa. Hakuna Taifa au Jamii inaweza ishi kwa huu Ujinga anao usema. Hii siyo diet ni ujinga. Na amedhoofu sana.
View attachment 3074304
Una shule gani wewe?What? Kaa kimya. Huyu ni mtaalamu niliyeishi naye Marekani! Amefanya makubwa Marekani. Hili ndilo ttz letu wabongo huna akili yoyote unamkosoa Pro. Jababi! Acha. Ndio maana wasomi wanaondoka. Wanabaki mazombie kama wewe. Just stop it!
Bwege huyo hana akili.akiona amesema Janaba anadhani kila kitu ni sahihi. Janaba ana tatizo la afya na akili.Yaani wewe kwa akili yako kweli mtu awe anapiga chai ya rangi kavu asubuhi na mchana maji usiku tena kakikombe kingine?? Vitamin Protein Starch na mengineyo matoke wapi??. Huyu kuna siku si nyingi atadondoka.