Prof Janabi asaidiwe. Ana tatizo la kisaikolojia. Hayupo sawa

Prof Janabi asaidiwe. Ana tatizo la kisaikolojia. Hayupo sawa

What? Kaa kimya. Huyu ni mtaalamu niliyeishi naye Marekani! Amefanya makubwa Marekani. Hili ndilo ttz letu wabongo huna akili yoyote unamkosoa Pro. Jababi! Acha. Ndio maana wasomi wanaondoka. Wanabaki mazombie kama wewe. Just stop it!
Hakuna kitu hapo ana matatizo ya akili.hamna kitu hapo.amesomea wapi lishe?nyie hamtumii akili.
 
Huyu jamaa Serikali iingilie kati. Hayupo sawa. Its either anataka sana attention au ana tatizo kubwa la kisaikolojia. Hayupo sawa. Hakuna Taifa au Jamii inaweza ishi kwa huu Ujinga anao usema. Hii siyo diet ni ujinga. Na amedhoofu sana.

View attachment 3074304
We nawe!

Mwenzio yupo vocal aki push malengo yake Fulani ya kisiasa hapo mbeleni!

Anafanya one more push aingie kama sio mjengoni somewhere else!

Hakuna daktari Alie vocal for nothing !tusubiri tuone huyu game changer atatumika ndani ya Baraza la mawaziri ku neutralize specifics!elewa neno "specifics"!
 
Janabi yuko sahihi ila ushauri wake unawafaa watanzania wachache mno. Nchi ina shida kubwa ya watu kukosa chakula cha kutosha na sio huo upotoshaji wa kuaminisha kuwa watu wanakula kupita kiasi. Janabi na wenzake wangepigania kwanza watu waweze kupata chakula cha kutosha kuanzia mashuleni, magereza na watu wote kwa ujumla. Baada ya hapo ndo aanze kutoa ushauri kuhusu mambo ya kutokula kupitiliza.
 
We nawe!

Mwenzio yupo vocal aki push malengo yake Fulani ya kisiasa hapo mbeleni!

Anafanya one more push aingie kama sio mjengoni somewhere else!

Hakuna daktari Alie vocal for nothing !tusubiri tuone huyu game changer atatumika ndani ya Baraza la mawaziri ku neutralize specifics!elewa neno "specifics"!
Thank you.
 
Back
Top Bottom