Jagwanana
Senior Member
- Jul 3, 2024
- 130
- 224
Lugha ya wasiosoma. Anyway mko huru kuongea upuuziBwege huyo hana akili.akiona amesema Janaba anadhani kila kitu ni sahihi. Janaba ana tatizo la afya na akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha ya wasiosoma. Anyway mko huru kuongea upuuziBwege huyo hana akili.akiona amesema Janaba anadhani kila kitu ni sahihi. Janaba ana tatizo la afya na akili.
Ni wewe usiye na elimuYaani unywe maji na chai kavu basi.huyu professor atakuwa na matatizo ya akili.
Kama alivyo huru kuongea huo upuuzi. Amesoma hajaelimika.anachoongea ni irrelevant.kwanza hajasomea lishe.Lugha ya wasiosoma. Anyway mko huru kuongea upuuzi
🤣🤣🤣 kwamba huna press wala sukari sio?Mambo ya diet HHhH hayanihusu , asante Mungu
Jamaa ana tatizo la kiakili hakuna daktari ana muda wa kutafuta ku trend kama huyu. Labda anajiandaa kugombea Ubunge mwakaniSijawahi kuona daktari anaongea ongea hovyo kama mwanasuasa
Eh ukitaka kupunguaYaani unywe maji na chai kavu basi.huyu professor atakuwa na matatizo ya akili.
Nina hakika hata akibembea kwenye ndimbo nut haistuki hata kidogo, huyo size 12 ya ukikaza vizuri afungui abadani 😂Anatupotosha sana maana hiyo lishe labda uwe kwenye pension sio upo kwenye harakati za kushusha tairi ya scania ukiitafuta Tunduma.Anataka kutengeneza Taifa la watu wadhoofu mno.
Nimekwambia kuna jamaa nchi moja kusini mwa afrika anapiga mashine kisawasawaSasa chai kavu mpaka jioni kweli ataweza
Hakuna kitu hapo ana matatizo ya akili.hamna kitu hapo.amesomea wapi lishe?nyie hamtumii akili.What? Kaa kimya. Huyu ni mtaalamu niliyeishi naye Marekani! Amefanya makubwa Marekani. Hili ndilo ttz letu wabongo huna akili yoyote unamkosoa Pro. Jababi! Acha. Ndio maana wasomi wanaondoka. Wanabaki mazombie kama wewe. Just stop it!
Swali zuri umemuuliza.🤣Una shule gani wewe?
Kuna majitu yanaudhi kwelikweli. Hayana shule yanaropoka tu juu ya Prof. Janabi. KeroHakuna kitu hapo ana matatizo ya akili.hamna kitu hapo.amesomea wapi lishe?nyie hamtumii akili.
We nawe!Huyu jamaa Serikali iingilie kati. Hayupo sawa. Its either anataka sana attention au ana tatizo kubwa la kisaikolojia. Hayupo sawa. Hakuna Taifa au Jamii inaweza ishi kwa huu Ujinga anao usema. Hii siyo diet ni ujinga. Na amedhoofu sana.
View attachment 3074304
Thank you.We nawe!
Mwenzio yupo vocal aki push malengo yake Fulani ya kisiasa hapo mbeleni!
Anafanya one more push aingie kama sio mjengoni somewhere else!
Hakuna daktari Alie vocal for nothing !tusubiri tuone huyu game changer atatumika ndani ya Baraza la mawaziri ku neutralize specifics!elewa neno "specifics"!
Kweli aisee.Janabi na Watanzania wengi ambacho wanashindwa kujua ni kuwa matatizo ya Afya Tanzania chanzo ni Mamlaka za kiserikali kuruhusu bidhaa fake kuanzia madawa,mbegu za mazao,mbolea,vifaa vya electronics kila kitu Tanzania ni fake.