Hakika mkuu, yaani bora hata huyo Janabi angekuwa anashauri namna bora ya kula balanced diet na kuhakikisha tunapunguza ulaji uliopitiliza wa vyakula vya mafuta wanga na protein. Pia angetushauri sukari haswa refined sugar isiwe too much na mengineyo. Ila hii ya mara chapati moja, mara maji tu glasi moja, mara mchana usile, ni upuuzi mtupu kulingana na mfumo wa maisha wa watanzania walio wengi.Wewe sasa utakuwa na elimu gani?maana hata hujui mlo kamili una sifa gani. Hiyo chai ina virutubisho gani we bwege?hivi hujui hata maprofesa wana changamoto ya afya ya akili?wengi tu walipata ukichaa.
Janaba ni kupatwa kwa mwezi. Ana msongo wa mawazo. Kutakuwa na kitu kibaya alifanya sasa akili zime shake.Kuna majitu yanaudhi kwelikweli. Hayana shule yanaropoka tu juu ya Prof. Janabi. Kero
Hata sura yake haina nuru, amechoka.na sijajua kwa nini katika umri huu wa miaka 70 hajastaafuMleta mada ndio unajua leo? Sisi wengine tulishamjua siku nyingi na huwa hatumskilizi kabisa upuuzi wake
Yeye mwenyewe ukimwangal8a tu unajua ana tatiizo la lishe duni.Jeshi la polisi limkamaye limtie.pingu na limlazimishe.kula .Ana shida ya lishe.Mwili ukikosa lishe waweza uona tu kwa kuangalia macho tu
Janabi mwili wake umekosa lishe
Mbona yuko sawa tu katika maelezo yake. Huo ni ushauri wake.Huyu jamaa Serikali iingilie kati. Hayupo sawa. Its either anataka sana attention au ana tatizo kubwa la kisaikolojia. Hayupo sawa. Hakuna Taifa au Jamii inaweza ishi kwa huu Ujinga anao usema. Hii siyo diet ni ujinga. Na amedhoofu sana.
View attachment 3074304
Wajapan ndio wanaongoza duniani kwa kunya kinyesi kidogo shauri hawalliMkuu nadhani wewe ndo unamatatizo ya kisaikolojia. Professor Janabi ni hazina. Na siyo professor Janabi kila mtu ana jukumu la kuelimisha na kuhamasisha wengine kuhusu afya ya ulaji. Nenda Japan huko ujionee. Professor alazimishi taifa lazima kuishi maisha ya afya. Ndo maana IQ zetu dhoofu zina mushkel
Ana miaka 70?.Hata sura yake haina nuru, amechoka.na sijajua kwa nini katika umri huu wa miaka 70 hajastaafu
Hiyo ni lugha ya jumla, lkn pia haulazimishwi. Na kwa akiri ya kawaida miili yetu inatofautiana kutokana na sababu mbali mbali pia hali ya hewa ya maeneo. Mfano watu wa pwana anaweza kula chapati na maharage au chai akalala lkn sio sisi watu wa bara, hatuwezi kamwe tulishazoea wali au ugali tena mgumu.Kwa hiyo ukiwa na AC ndio usile chakula unajua madhara ya kukosa chakula kwa muda mrefu..
Naenda kulala! KeshoJanaba ni kupatwa kwa mwezi. Ana msongo wa mawazo. Kutakuwa na kitu kibaya alifanya sasa akili zime shake.
Ulale salama mkuuNaenda kulala! Kesho
YawazekanaJanaba ni kupatwa kwa mwezi. Ana msongo wa mawazo. Kutakuwa na kitu kibaya alifanya sasa akili zime shake.
Raundi ya dakika ngapi?Akipiga shoooo huwa raundi inaisha kweli???
Chai ya maziwa ina proteinYaani wewe kwa akili yako kweli mtu awe anapiga chai ya rangi kavu asubuhi na mchana maji usiku tena kakikombe kingine?? Vitamin Protein Starch na mengineyo matoke wapi??. Huyu kuna siku si nyingi atadondoka.
Watanzania wengi hasa wa bara nguvu ni z kutafuta hata ukiona wanaocheza mpira wanoweza kupiga mashuti yenye nguvu ni watu kutoka Zanzibar huko na Nchi za magharibi sio Tanzania bara na miili yenyewe ya 28 kg kwa mtu mzima harafu bado mnaambiana msile chakula..Hiyo ni lugha ya jumla, lkn pia haulazimishwi. Na kwa akiri ya kawaida miili yetu inatofautiana kutokana na sababu mbali mbali pia hali ya hewa ya maeneo. Mfano watu wa pwana anaweza kula chapati na maharage au chai akalala lkn sio sisi watu wa bara, hatuwezi kamwe tulishazoea wali au ugali tena mgumu.
Pia hakuna binadamu atakaa na njaa kisa Janabi kasema huyo atakuwa taila.
Duh,Huyu jamaa Serikali iingilie kati.
CDF msitahafu kama alisema jamaa alikuwepo nae.Janaba ni kupatwa kwa mwezi. Ana msongo wa mawazo. Kutakuwa na kitu kibaya alifanya sasa akili zime shake.