Prof Janabi asaidiwe. Ana tatizo la kisaikolojia. Hayupo sawa

Prof Janabi asaidiwe. Ana tatizo la kisaikolojia. Hayupo sawa

Mleta mada ndio unajua leo? Sisi wengine tulishamjua siku nyingi na huwa hatumskilizi kabisa upuuzi wake

Yeye mwenyewe ukimwangal8a tu unajua ana tatiizo la lishe duni.Jeshi la polisi limkamaye limtie.pingu na limlazimishe.kula .Ana shida ya lishe.Mwili ukikosa lishe waweza uona tu kwa kuangalia macho tu

Janabi mwili wake umekosa lishe
 
Wewe sasa utakuwa na elimu gani?maana hata hujui mlo kamili una sifa gani. Hiyo chai ina virutubisho gani we bwege?hivi hujui hata maprofesa wana changamoto ya afya ya akili?wengi tu walipata ukichaa.
Hakika mkuu, yaani bora hata huyo Janabi angekuwa anashauri namna bora ya kula balanced diet na kuhakikisha tunapunguza ulaji uliopitiliza wa vyakula vya mafuta wanga na protein. Pia angetushauri sukari haswa refined sugar isiwe too much na mengineyo. Ila hii ya mara chapati moja, mara maji tu glasi moja, mara mchana usile, ni upuuzi mtupu kulingana na mfumo wa maisha wa watanzania walio wengi.
 
Mleta mada ndio unajua leo? Sisi wengine tulishamjua siku nyingi na huwa hatumskilizi kabisa upuuzi wake

Yeye mwenyewe ukimwangal8a tu unajua ana tatiizo la lishe duni.Jeshi la polisi limkamaye limtie.pingu na limlazimishe.kula .Ana shida ya lishe.Mwili ukikosa lishe waweza uona tu kwa kuangalia macho tu

Janabi mwili wake umekosa lishe
Hata sura yake haina nuru, amechoka.na sijajua kwa nini katika umri huu wa miaka 70 hajastaafu
 
Mkuu nadhani wewe ndo unamatatizo ya kisaikolojia. Professor Janabi ni hazina. Na siyo professor Janabi kila mtu ana jukumu la kuelimisha na kuhamasisha wengine kuhusu afya ya ulaji. Nenda Japan huko ujionee. Professor alazimishi taifa lazima kuishi maisha ya afya. Ndo maana IQ zetu dhoofu zina mushkel
Wajapan ndio wanaongoza duniani kwa kunya kinyesi kidogo shauri hawalli

Familia nzima ya kijapani ya watu watano wakinya mwaka mzima kwenye kidumu cha lita tano kinyesi kitajaa lita mbili tu na chini ya hapo.Kinyesi cha mwaka mzima
 
Kwa hiyo ukiwa na AC ndio usile chakula unajua madhara ya kukosa chakula kwa muda mrefu..
Hiyo ni lugha ya jumla, lkn pia haulazimishwi. Na kwa akiri ya kawaida miili yetu inatofautiana kutokana na sababu mbali mbali pia hali ya hewa ya maeneo. Mfano watu wa pwana anaweza kula chapati na maharage au chai akalala lkn sio sisi watu wa bara, hatuwezi kamwe tulishazoea wali au ugali tena mgumu.
Pia hakuna binadamu atakaa na njaa kisa Janabi kasema huyo atakuwa taila.
 
Siyo Kwa ubaya nikipata kuku inajuta kunifahamu kiti moto mbuzi ngo'mbe soup michemsho samaki uroji urojo siachi...maisha yenyewe bongo usipojipa Raha basi utajipa uzeeni saa ukiambiwa usile nyama mara usile hiki mara kile.....nikipata nakula kufa nitakufa tu...pombe sinywi Kwakweli chakula sitajinyima....liwalo na liwe alisema Mboso.
 
Hiyo ni lugha ya jumla, lkn pia haulazimishwi. Na kwa akiri ya kawaida miili yetu inatofautiana kutokana na sababu mbali mbali pia hali ya hewa ya maeneo. Mfano watu wa pwana anaweza kula chapati na maharage au chai akalala lkn sio sisi watu wa bara, hatuwezi kamwe tulishazoea wali au ugali tena mgumu.
Pia hakuna binadamu atakaa na njaa kisa Janabi kasema huyo atakuwa taila.
Watanzania wengi hasa wa bara nguvu ni z kutafuta hata ukiona wanaocheza mpira wanoweza kupiga mashuti yenye nguvu ni watu kutoka Zanzibar huko na Nchi za magharibi sio Tanzania bara na miili yenyewe ya 28 kg kwa mtu mzima harafu bado mnaambiana msile chakula..
 
Back
Top Bottom