Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
OohAna mke mzuri sana alishakuwa miss something huko.
Kwa hiyo anatusanifu sio?
Na mimi sifanyi diety wala baba yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OohAna mke mzuri sana alishakuwa miss something huko.
UmenichekeshaWatanzania wengi hasa wa bara nguvu ni z kutafuta hata ukiona wanaocheza mpira wanoweza kupiga mashuti yenye nguvu ni watu kutoka Zanzibar huko na Nchi za magharibi sio Tanzania na miili yenyewe ya 28kg kwa mtu mzima harafu bado mnaambiana smile chakula..
EwaaMke wa Kiza Bedigye
Ok!
Janabi ni mgonjwa, yuko kwenye grid ya taifa kitambo na mashudu anabugia. Anatuonea wivu tu na afya zetu. Anataka na sisi tufubae kama yeye. SAY NO to that stupidityHuyu jamaa Serikali iingilie kati. Hayupo sawa. Its either anataka sana attention au ana tatizo kubwa la kisaikolojia. Hayupo sawa. Hakuna Taifa au Jamii inaweza ishi kwa huu Ujinga anao usema. Hii siyo diet ni ujinga. Na amedhoofu sana.
View attachment 3074304
Unahitaji tu kutumua common sense kuelewa huyu ana matatizo ya kiakili. Hayupo sawa. Hata huhitaji kuwa na darasa moja. Huyu ni muongo huo si mlo wa Taifa hili lenye utapiamlo. Alivyo tu amedhoofu. Hana nguvu hapo alipo.Ni cardiologist. Lishe na malishe utakayo hayana nafasi kwa huyu professor. Anaunganisha hayo malishe yenu na makuku yenu kuonyesha yanaathiri vipi mfumo mzima w mwili wetu. Kwako kuelew it's just too much. Tusiwe personal lkn natamani uniambie una shule gani kumkosoa Janabi. Wala hata hakusikilizi labda kama ni mwanasiasa maana ndio nyie wenye kila kitu
Nadhani si anaonekana kabisa ni babu?Ana miaka 70?.
Usimpakazie...bado baba mbichiNadhani si anaonekana kabisa ni babu?
Jinga sana huyu prof. Hajui huyo tembo ndo ameumbwa.😂 😂 😂 Nmemdaharau sana! Anawambia watu eti mbona tembo ni mkubwa kuliko wanyama wote na anakula majani tu.!
Ana umri gani?60 plus?Usimpakazie...bado baba mbichi
Ukiona mtu anazungumzia sana elimu jua kwenye familia anayotoka inawezekana yeye ndio wa kwanza kupata Elimu ya juu ila kwa watu Elimu ni kitu cha kawaida hawezi kuponda watu mitandaoni kuhusu Elimu wakati kuferi shule ni kuchagua wala sio kitu kigumu..Wewe sasa utakuwa na elimu gani?maana hata hujui mlo kamili una sifa gani. Hiyo chai ina virutubisho gani we bwege?hivi hujui hata maprofesa wana changamoto ya afya ya akili?wengi tu walipata ukichaa.
I think so....Ana umri gani?60 plus?
Wewe unaona Prof ana sia njema?Mkuu nadhani wewe ndo unamatatizo ya kisaikolojia. Professor Janabi ni hazina. Na siyo professor Janabi kila mtu ana jukumu la kuelimisha na kuhamasisha wengine kuhusu afya ya ulaji. Nenda Japan huko ujionee. Professor alazimishi taifa lazima kuishi maisha ya afya. Ndo maana IQ zetu dhoofu zina mushkel
AnaeHivi hana mke?
Hahahaha! Good luck na elimu yako! Naenda kulalaUnahitaji tu kutumua common sense kuelewa huyu ana matatizo ya kiakili. Hayupo sawa. Hata huhitaji kuwa na darasa moja. Huyu ni muongo huo si mlo wa Taifa hili lenye utapiamlo. Alivyo tu amedhoofu. Hana nguvu hapo alipo.
Sisi wengine tulijua hili zamani sana na ukitaka kujua fahamu kwa kuangalia picha zake za sasa na zamani..Huyu jamaa Serikali iingilie kati. Hayupo sawa. Its either anataka sana attention au ana tatizo kubwa la kisaikolojia. Hayupo sawa. Hakuna Taifa au Jamii inaweza ishi kwa huu Ujinga anao usema. Hii siyo diet ni ujinga. Na amedhoofu sana.
View attachment 3074304
Ziweke watu wajioneee.Sisi wengine tulijua hili zamani sana na ukitaka kujua fahamu kwa kuangalia picha zake za sasa na zamani..
Au niziweke?