To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
๐๐๐๐๐Tutaona yeye kama ataishi miaka 900
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Tutaona yeye kama ataishi miaka 900
Sio fair kumuita profesa uchwara mkuu.kakuzidi kila kitu yule hadi dhambi kubwa na ndogo.kumkosoa mtu kupo ila usimvunjie heshimaKama kawaida Profesa uchwara..hahahahaha
Kiki zina mwisho na mwisho wake ni mbaya...
Mwanaume wa masharti mengi hivyo simuwezi hata.Nyumbani kwake kunapikwa kweli?? Sijui kama hata kuna jiko
๐คฃAcha kubishana na wataalamu madam mwili unatakiwa kubalance vitu unapozidisha au kupunguza kunakuwa na hatari ya kudhurika...Jamaa amekuwa ana frustration huyo sio wa kumuamini sana. Eti hata kunywa maji ni hatari kwa afya.
Anaweza kuwa uzito mdogo ila kichwa kikubwaWatoto wenye uzito mdogo wanaongoza kwa kuchana k .sijui ni kwanini.
Mtoto mdogo uchungu unauma hatari havitulii ila bonge linakuja tu mzimamzimaMtoto akitoka mdogo nayo inakuwa nafuu kwa mama kusukuma, sasa akiwa bonge si ndio maumivu makubwa ikiwemo kuchanika msamba? Wamama wale vyakula bora wakati wakiwa wajawazito
Yule anaweza hata kukuacha njiani atasema bao zima sio zuri kiafyaMwanaume wa masharti mengi hivyo simuwezi hata.
Mabonge huwa yanaslide tu.akiamua kutoka ni fasta.wadogo uchungu mwingi pia wanachana sana sijui kwanini??Yule anaweza hata kukuacha njiani atasema bao zima sio zuri kiafya
Kwahiyo yeye ndio mtaalam peke yake? Ukinywa maji mengi yana shida gani sasa?๐คฃAcha kubishana na wataalamu madam mwili unatakiwa kubalance vitu unapozidisha au kupunguza kunakuwa na hatari ya kudhurika...
kumbe! Mi nilidhani mtoto mdogo hutoka kiulaini, mama akikohoa eeeh! Puchu mtoto anatoka kama mkojo mama haumiiMtoto mdogo uchungu unauma hatari havitulii ila bonge linakuja tu mzimamzima
kumbe! Mi nilijua hutoka kiulaini kama mkojo, mama anahema eeeh! Pwa mtoto anatoka bila kuchana hiyo kituWatoto wenye uzito mdogo wanaongoza kwa kuchana k .sijui ni kwanini.
kazi kwelikweli, wanasukuma mtoto atoke na haja kubwa inatoka !Duh! Wamama wapongeze maana kusukuma sio mchezo.
Na unavyopenda kufikishwaYule anaweza hata kukuacha njiani atasema bao zima sio zuri kiafya
Bahati mbaya sasa ulichoandika ni kama unatania au unatoa mfano wa kubeza lakini huo ndio ukweli.Huyu profesa akiona amesahaulika anaibuka na jambo fulani la kutisha, baadaye utasikia kufanya mazoezi ni mbaya kwa afya au ulaji wa matunda unadhoofisha moyo na kutanua mishipa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ss kukojoaa Kila muda nao n ugonjwa mkuu unaosababishwa na maji..nin
ni kweli kunywa maji mengi ni hatari kwa afya maana inakufanya unakojoa kojoa kupita kiasi [emoji2223]
Walishasema hiyo ya mazoezi....kukimbia Jogging ni mbaya Kwa afya ...Kuna Moshi wa magari na vumbi barabarani.... sijui wanataka tukimbie sebuleni.....Huyu profesa akiona amesahaulika anaibuka na jambo fulani la kutisha, baadaye utasikia kufanya mazoezi ni mbaya kwa afya au ulaji wa matunda unadhoofisha moyo na kutanua mishipa
Jaman jaman....๐ฃBahati mbaya sasa ulichoandika ni kama unatania au unatoa mfano wa kubeza lakini huo ndio ukweli.
Ufanyaji wa mazoezi kupitiliza una hatari ya kusababisha presha, kiharusi na pia kupelekea mmomonyoko wa misuli 'rhabdo' ๐ฅฒ
Madam, usisikitike ataa tafuta tu elimu sahihi uvune mafaidaaJaman jaman....๐ฃ