Prof. Janabi: Kujifungua Mtoto 'Bonge' si nzuri Kiafya

Prof. Janabi: Kujifungua Mtoto 'Bonge' si nzuri Kiafya

Kwahiyo yeye ndio mtaalam peke yake? Ukinywa maji mengi yana shida gani sasa?
Unauliza kwa kejeli ila kunywa maji mengi kupitiliza ni hatari kwa afya.
Kwa taarifa yako kila kitu kizuri mwilini kinahitaji kiasi, sio excess.

Hata Oxygen gas hii tunayovuta nayo haitakiwi kuzidi inabidi ichanganyike kidogo na hewa nyingine. Ukivuta Oxygen ikiwa peke yake 100% unapata Oxygen poisoning na unaweza kufa.

Sasa wasiojua wanabisha na kuleta ujuaji kwenye afya. Professor halazimishi mtu yeye kafanya kazi yake, asiyetaka kufuata aache sio kesi.
 
Unauliza kwa kejeli ila kunywa maji mengi kupitiliza ni hatari kwa afya.
Kwa taarifa yako kila kitu kizuri mwilini kinahitaji kiasi, sio excess.

Hata Oxygen gas hii tunayovuta nayo haitakiwi kuzidi inabidi ichanganyike kidogo na hewa nyingine. Ukivuta Oxygen ikiwa peke yake 100% unapata Oxygen poisoning na unaweza kufa.

Sasa wasiojua wanabisha na kuleta ujuaji kwenye afya. Professor halazimishi mtu yeye kafanya kazi yake, asiyetaka kufuata aache sio kesi.
Mkitukanwa mnalalamika. Sasa hapo umejibu nini? Nakuuliza tena, yapi madhara ya kunywa maji mengi?
 
Profesa Janabi katoa somo zuri sana, ila wabongo walivyo wapumbavu aidha kwa kumpinga kutokana na udini au kwa ujinga tu. UNENE NI UGONJWA !!! na VITAMBI NI UGONJWA PIA. Hivyo mtoto akizaliwa na kilo 4 sio jambo la kufurahia ni kuomba mungu amuepushe na hayo magonjwa yasioambukizwa. BIG UP profesa kwa kuwapa ukweli mchungu wabongo. Wajitambue, OBESITY NI UGONJWA.
 
Prof Janabi unatakiwa uelezee aina za vyakula na uzito wa kina Mama na mtoto kwa kuanzia mwezi wa kwanza mpaka kipindi cha kujifungua kuelezea hivi hivi tu bila kutatua tatizo ni sawa na wanasiasa haya tufanyeje ili kutatua hilo tatizo kwa Watoto watakaozaliwa hapo baadae njoo na Suluhuhisho sio vitisho tu kila kukicha...
Wahudhurie kliniki,kuna kila kitu
 
Prof Janabi unatakiwa uelezee aina za vyakula na uzito wa kina Mama na mtoto kwa kuanzia mwezi wa kwanza mpaka kipindi cha kujifungua kuelezea hivi hivi tu bila kutatua tatizo ni sawa na wanasiasa haya tufanyeje ili kutatua hilo tatizo kwa Watoto watakaozaliwa hapo baadae njoo na Suluhuhisho sio vitisho tu kila kukicha...
Katafute wataalam wa lishe
 
Muwege mnajisomea makala mbalimbali especially za kingereza badala ya kumlalamikia profesa.Uzito above 4kg ni overweight ndio na si salama sana,japo wazazi tunapenda mtoto awe bonge lakini si nzuri hata kidogo na si tu baada ya kuzaliwa na wakati wa kuzaliwa inaweza kuleta matatizo

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Maneno mengi kumbe unajifunguliaga zahanati za serikali utaacha kupasuka k?
Huna hadhi ya kunidharau.bado sana mkuu pambana ana hali yako mwanzo mwisho.maana wewe ni mshamba tu.kwanza hujui chochote maana maswala ya zahanati za serikali na private hujui ndo maana unadharau.alokuambia kuchanika kunategemea na eneo nani??
 
Back
Top Bottom