Another one from Professor
View attachment 2843098
Maoni yangu binafsi
huyu Prof awekewe brake, amegeuza udakitari sehemu ya kuchambana, anawajengea wananchi hofu kwenye maisha yao, japo kwake anagain cheap popularity, nahisi pia anatafuta umaarufu wa mitandaoni
Nafahamu alisoma huko nje, nafahamu pia alikua dakitari na swahiba wa Rais mstaafu, nafahamu pia........
Lakini hana mamlaka ya ku conclude kuhusu afya za watu, kuna watu ni wembamba tu lakini pressure yao, kisukari Chao, japo nafahamu anamaanisha ukiwa mnene unaongeza risks, sasa je anataka watu wanene genetically wajione walikosea kuumbwa, yeye amshukuru tu mungu yuko hivyo alivyo lakin asibeze wengine ambao hawawez kupunguza maumbile yao kirahisi , otherwise yeye angei insist tu mazoezi na diet lakin si kutaka dunia nzima watu wafanane,
Nafikiri pia anatafuta umaarufu wa kwenye mitandao kwa kuzingatia hali ya sasa ya dunia, na amewin
mimi ni mwembamba kiasi kama yeye lakini sifurahii namna amekuwa mtu wa kuconclude masuala ya kiafya, kama ana wakubwa zake wamshauri tu, uprofessor si mwisho wa kila kitu,
Au wampe nafasi ya Mobhare Matinyi, au ile ya Ummy Mwalimu, anaonekana ndiyo kazi anayoiweza vizuri kwa sasa, amekua na matamko yanayofuatana kuna nn nyuma yake..? akili kumkichwa