Prof. Janabi: Mbinu za kuepuka kuzeeka mapema

Prof. Janabi: Mbinu za kuepuka kuzeeka mapema

Kwa hizo mbinu ningetegemea Janabi awe na babe face lakini yeye ndio amekongoroka na ngozi kupauka kama ya marehemu ama kama vile ana miaka 90.

Janabi aache watu waishi. Kuchukua tahadhari za kawaida kwenye maisha ni jambo jema ila Janabi anataka tuwe extreme, ngozi zetu zikose nuru kama marehemu haiwezekani.
Umeambiwa ana miaka 97 halafu unataka bebi fesi?
 
Mkurugenzi mtendaji wa hospitali kuu ya taifa ya Muhimbili, Profesa Janabi ameelezea mbinu za kuepuka kuzeeka mapema ambapo ameelezea kama ifuatavyo;

1. Tembea hatua 10,000 kwa siku
2. Kula kwa wastani
3. Punguza wanga
4. Epuka vitu vyenye sukari
5. Epuka sigara, pombe
7. Pata muda kidogo wa kupumzika

Akaongezea, vitu hivyo haviitaji hata senti 5 ya gharama. Akasema tena watu hawafi kwa sababu ni wazee, watu wanakufa kwa sababu ni wagonjwa, ukisoma vitabu vya dini watu walikuwa wanaishi miaka zaidi ya 100.

Leo hii unaweza kukutana na mtu anamiaka 40 na mwingine 30 ukafikiri yule mwenye miaka 30 ndio ana miaka 45.

Sikiliza zaidi.

View attachment 2955861
Kwani professor Janabi ana miaka migapi? Mbona yeye mwenyewe kazeheka?
 
Kuna watu wasiohusika ndoa wanamtolea povu janabi kwa kuwaeleza ukweli wa life style zao mbaya. Wanajilia na kunywa huku hawajui miili yao inahitaji chakula kiasi gani. Hapa walala hoi hawahusiki
 
Ukifanya mazoezi, ukaacha kula vya kula vya wanga na sukari, ukala mara moja kwa siku. Ukawa unapuzika masaa nane kila usiku. Mwisho wa siku bado
utakufa.
 
Uishi miaka mingi au michache hapa duniani hakuna faida yoyote.
Yaani ni sawa na mtu anayekula chakula kizuri na kibaya wote mtaenda chooni.
Kama wote tutakufa maisha yafaa nini sasa mpaka tuanze kutishana.
Kwamba ukifa kwa kuchelewa kuna faida utaipata hapa duniani?
 
Hapo kwenye wanga na kiepe nacho si kipo,mbona ana Hinda huyu babu.
 
Janabi ashukuru Mungu ana uhakika wa huduma ya afya tofauti na hapo ile afya yake sio kabisa
 
Mkurugenzi mtendaji wa hospitali kuu ya taifa ya Muhimbili, Profesa Janabi ameelezea mbinu za kuepuka kuzeeka mapema ambapo ameelezea kama ifuatavyo;

1. Tembea hatua 10,000 kwa siku
2. Kula kwa wastani
3. Punguza wanga
4. Epuka vitu vyenye sukari
5. Epuka sigara, pombe
7. Pata muda kidogo wa kupumzika

Akaongezea, vitu hivyo haviitaji hata senti 5 ya gharama. Akasema tena watu hawafi kwa sababu ni wazee, watu wanakufa kwa sababu ni wagonjwa, ukisoma vitabu vya dini watu walikuwa wanaishi miaka zaidi ya 100.

Leo hii unaweza kukutana na mtu anamiaka 40 na mwingine 30 ukafikiri yule mwenye miaka 30 ndio ana miaka 45.

Sikiliza zaidi.

View attachment 2955861
INAWEZEKANA ANACHEKESHA
 
Kwa hizo mbinu ningetegemea Janabi awe na babe face lakini yeye ndio amekongoroka na ngozi kupauka kama ya marehemu ama kama vile ana miaka 90.

Janabi aache watu waishi. Kuchukua tahadhari za kawaida kwenye maisha ni jambo jema ila Janabi anataka tuwe extreme, ngozi zetu zikose nuru kama marehemu haiwezekani.
Pamoja na kumkandia koote ulikofanya bado kwa mujibu wa sayansi lishe yuko sahihi 💯 percent penda usipende. Angalia maisha ya Wajapan wanavyoishi vizuri na muda mrefu kwa sababu ya kujali sana ulaji sahihi wa vyakula. Mwisho kwa kuwa pia kama jamii tuna tatizo kubwa la elimu na ujinga ni vigumu sana kumuelewa Prof Janabi, na pia wanaosoma comments kama hii ya kwako ndiyo kwanza wanazidi kuchota ujinga.
 
Kwa hizo mbinu ningetegemea Janabi awe na babe face lakini yeye ndio amekongoroka na ngozi kupauka kama ya marehemu ama kama vile ana miaka 90.

Janabi aache watu waishi. Kuchukua tahadhari za kawaida kwenye maisha ni jambo jema ila Janabi anataka tuwe extreme, ngozi zetu zikose nuru kama marehemu haiwezekani.
Kuna comment nilikuwa naitafuta na mwanasheria wangu
 
Na hapa ndipo tunapokosea,
Msomi mshauri anayetoa elimu kwa uzoefu wake tena bila gharama.
Vyema kuchukua hatua sasa kuliko kusubiri udhaifu ukuvae
Mkuu umeongea vizuri sana. Kiukweli hakuna kitu kibaya kama kukosa elimu/ujinga, no wonder Nyerere mapema sana alibaini kwamba ujinga ni adui mkubwa sana kwenye taifa letu, unfortunately 60 years baada ya kauli yake hiyo bado adui ujinga tunaye.
 
Sema mtu asipokunywa pombe anakuwa na karoho kabaya kamejikunja muda wote korosho ikasome
Da hivi ni kwanini ninajirani yangu nilimuazima 250000 muislamu kwa miezi 2 bure bila riba yy siku moja namuomba aniazime 5000 akachomoa da bahati nzuri napigaga tungi kwa jina la tungi nikamsamehe
 
Kwa hizo mbinu ningetegemea Janabi awe na babe face lakini yeye ndio amekongoroka na ngozi kupauka kama ya marehemu ama kama vile ana miaka 90.

Janabi aache watu waishi. Kuchukua tahadhari za kawaida kwenye maisha ni jambo jema ila Janabi anataka tuwe extreme, ngozi zetu zikose nuru kama marehemu haiwezekani.
ila Kuna kaukwel ngozi haina Nuru yeye mwenyewe...kimuonekano Hana siha njema kiafya ni kama ana kaugonjwa kalichojificha ndani yake hilo la ngozi kama marehemu ni kwl kabisa!
 
Back
Top Bottom