Prof. Janabi: Mbinu za kuepuka kuzeeka mapema

Prof. Janabi: Mbinu za kuepuka kuzeeka mapema

Prof tunakuelewa vizuri kabisa, barikiwa lakini Elimu yako hii nzuri uwe unaitoa kwa kuzingatia pia
1.Kazi ya mtu, maana mbeba mzigo kumwambia apunguze Wanga, sijui kama kiafya ni sawa
2.Umri: Sidhani kama mtoto, kijana na mzee wanatakiwa waende sawa
3.Sex: naamini hapa napo utuweke vizuri
4.Eneo analoishi mlaji: Kuna maeneo hivyo vyakula vya wanga ndio main dishes..mf Msukuma leo umwambie asile ugali..nadhani hawa nao wanahitaji elimu yao flani
Mwisho
Swali la kizushi, unatuambia tutembee hatua 10elfu,hizo nguvu tutazitoa wapi sasa?
 
Kwahiyo Janabi hapo alipo anajiona kijana? Eti wote ndio tunaelekea huko kwenye uzee 😀😀

BTW Janabi nilikuwa namuona mjanja kumbe nae anavaa hayo mapete ya Kiswahili? He is cancelled.
Mapete ya maagano hayo
 
Sana,sijui kwa nini
Wanywa pombe wanamuda mwingi wa kufurahi na kupeana ofa za bia huku wakifunguka kuyaongea mambo yao na mengine.
Asiyekunywa pombe hawezi kufurahi kwa asilimia 100 na kuchangamka. Na wengi wanakuwa Wabahili.
 
Kwahiyo Janabi hapo alipo anajiona kijana? Eti wote ndio tunaelekea huko kwenye uzee 😀😀

BTW Janabi nilikuwa namuona mjanja kumbe nae anavaa hayo mapete ya Kiswahili? He is cancelled.
Pete!!?

Ni vigumu kuwaepuka hao jamaa ukishafanikiwa kielimu sana au kipesa sana!Lau uongozi!

Labda uwe na hivi vipesa vyetu vya mboga ambavyo hatujui kesho kama vitakiwepo au lah!
 
Back
Top Bottom