Prof. Janabi: Sijanywa juisi aina yoyote takriban miaka 20

Prof. Janabi: Sijanywa juisi aina yoyote takriban miaka 20

Ndiyo maana uso wake hauna nuru, mtu gani Kila kitu yeye hataki tule

Juice hataki tunywe

Nyama hataki tule

Samaki hataki tule

Biryani hataki tule

Beer hataki tunywe

Ugali hataki tule

Juzi nilikuwa mitaa ya Ofisi yake, nilikuwa nimeagiza wali Samaki na kachumbali, kuona anakaribia kwenye Meza yangu akafanya hadi nizuge chakula hakikua changu maana alishaanza kunipa risala zake 🙌

Sasa sijui anataka tufe na njaa kabisa ama nini 🙌
Eti sura yake haina nuru 😀😀😀😀 muacheni Prof Janabi
 
Wakuu!

Mmemsikia Prof. Mohamed Janabi, akiendelea kutupa madini ya kuzidi kulinda afya zetu? Ila hili limeniacha mdomo wazi kidogo kuhusu kunywa juice ambayo tuaamini ni sehemu ya kuboresha afya tena zile juice za kutengeneza mwenyewe.

==================

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema ulaji wa chakula cha kila siku ndio unaotafsiri afya ya sasa na baadae, na kwamba walio na umri kuanzia miaka 35 ama 0 na kuendelea kuwa makini na aina ya mlo.

“Binafsi huwa sinywi juisi iliyotengenezwa au iliyotokea viwandani ni takribani miaka 20 tangu mwaka 2000. Sichanganyi matunda, nakula asubuhi tunda moja labda ndizi, mchana peazi na usiku kipande cha papai,” ameongeza.

“Jamii ibadili mtazamo kwamba uwekezaji wa maisha ya baadae, unaegemea kwenye uwekezaji wa mali, bali hatua hiyo inahitajika kwenye afya pia.”

Soma Pia: Tukifuata ushauri wa Professor Janabi tutaangamia kwa njaa

Prof. Janabi ambaye pia ni daktari bingwa wa magonjwa ya moyo, anayasema hayo kupitia ukurasa wake wa kijamii kuhusu maisha bora, ikiwa ni mwendelezo wa elimu kwa umma, kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) kama vile kisukari, presha na saratani.
"Hili nalo mkalitizame"
 
Wakuu!

Mmemsikia Prof. Mohamed Janabi, akiendelea kutupa madini ya kuzidi kulinda afya zetu? Ila hili limeniacha mdomo wazi kidogo kuhusu kunywa juice ambayo tuaamini ni sehemu ya kuboresha afya tena zile juice za kutengeneza mwenyewe.

==================

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema ulaji wa chakula cha kila siku ndio unaotafsiri afya ya sasa na baadae, na kwamba walio na umri kuanzia miaka 35 ama 0 na kuendelea kuwa makini na aina ya mlo.

“Binafsi huwa sinywi juisi iliyotengenezwa au iliyotokea viwandani ni takribani miaka 20 tangu mwaka 2000. Sichanganyi matunda, nakula asubuhi tunda moja labda ndizi, mchana peazi na usiku kipande cha papai,” ameongeza.

“Jamii ibadili mtazamo kwamba uwekezaji wa maisha ya baadae, unaegemea kwenye uwekezaji wa mali, bali hatua hiyo inahitajika kwenye afya pia.”

Soma Pia: Tukifuata ushauri wa Professor Janabi tutaangamia kwa njaa

Prof. Janabi ambaye pia ni daktari bingwa wa magonjwa ya moyo, anayasema hayo kupitia ukurasa wake wa kijamii kuhusu maisha bora, ikiwa ni mwendelezo wa elimu kwa umma, kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) kama vile kisukari, presha na saratani.
Maisha hayako fair, unajitesa hivi ukilinda afya unakuja angukiwa na ghorofa dah.
 
Ndiyo maana uso wake hauna nuru, mtu gani Kila kitu yeye hataki tule

Juice hataki tunywe

Nyama hataki tule

Samaki hataki tule

Biryani hataki tule

Beer hataki tunywe

Ugali hataki tule

Juzi nilikuwa mitaa ya Ofisi yake, nilikuwa nimeagiza wali Samaki na kachumbali, kuona anakaribia kwenye Meza yangu akafanya hadi nizuge chakula hakikua changu maana alishaanza kunipa risala zake 🙌

Sasa sijui anataka tufe na njaa kabisa ama nini 🙌
Unamuogopa Professor?...
 
Ndiyo maana uso wake hauna nuru, mtu gani Kila kitu yeye hataki tule

Juice hataki tunywe

Nyama hataki tule

Samaki hataki tule

Biryani hataki tule

Beer hataki tunywe

Ugali hataki tule

Juzi nilikuwa mitaa ya Ofisi yake, nilikuwa nimeagiza wali Samaki na kachumbali, kuona anakaribia kwenye Meza yangu akafanya hadi nizuge chakula hakikua changu maana alishaanza kunipa risala zake 🙌

Sasa sijui anataka tufe na njaa kabisa ama nini 🙌

Hadi ugali hataki tule haa....
 
Sio yeye ambaye majuzi tumekunywa naye juice ya tende na maziwa?
Wakuu!

Mmemsikia Prof. Mohamed Janabi, akiendelea kutupa madini ya kuzidi kulinda afya zetu? Ila hili limeniacha mdomo wazi kidogo kuhusu kunywa juice ambayo tuaamini ni sehemu ya kuboresha afya tena zile juice za kutengeneza mwenyewe.

==================

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema ulaji wa chakula cha kila siku ndio unaotafsiri afya ya sasa na baadae, na kwamba walio na umri kuanzia miaka 35 ama 0 na kuendelea kuwa makini na aina ya mlo.

“Binafsi huwa sinywi juisi iliyotengenezwa au iliyotokea viwandani ni takribani miaka 20 tangu mwaka 2000. Sichanganyi matunda, nakula asubuhi tunda moja labda ndizi, mchana peazi na usiku kipande cha papai,” ameongeza.

“Jamii ibadili mtazamo kwamba uwekezaji wa maisha ya baadae, unaegemea kwenye uwekezaji wa mali, bali hatua hiyo inahitajika kwenye afya pia.”

Soma Pia: Tukifuata ushauri wa Professor Janabi tutaangamia kwa njaa

Prof. Janabi ambaye pia ni daktari bingwa wa magonjwa ya moyo, anayasema hayo kupitia ukurasa wake wa kijamii kuhusu maisha bora, ikiwa ni mwendelezo wa elimu kwa umma, kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) kama vile kisukari, presha na saratani.
 
Ndiyo maana uso wake hauna nuru, mtu gani Kila kitu yeye hataki tule

Juice hataki tunywe

Nyama hataki tule

Samaki hataki tule

Biryani hataki tule

Beer hataki tunywe

Ugali hataki tule

Juzi nilikuwa mitaa ya Ofisi yake, nilikuwa nimeagiza wali Samaki na kachumbali, kuona anakaribia kwenye Meza yangu akafanya hadi nizuge chakula hakikua changu maana alishaanza kunipa risala zake 🙌

Sasa sijui anataka tufe na njaa kabisa ama nini 🙌
Ha haaaa haaa. Hadi ulizuga chakula sio chako!? Kazi ipo
 
Back
Top Bottom